Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Huu ulimwengu una uzuri gani sasa? Hauko perfect hata kwanzia kwenye maisha ya hapa duniani nk... kama kila kitu kiliumbwa, sayari nyingine ziliumbwa kwa sababu ipi haswa? Mass extinctions zinavotokea kila baada ya muda fulani, hio ni perfection?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwepo wa Oxygen, maji, ardhi inayomea, bahari yenye kila rasilimali, hali ya hewa tulivu (ukitaka joto njoo Afrika ukitaka baridi nenda scandinavia),

Ishawahi tokea mass extinction ikaua binaadamu? Hivi vyote ni kusupport maisha ya binaadamu

Kama hutaki mass extinction wale dinasors wangekuwepp unadhani binaadamu wangeishi?

Hao viunge wanaoextinct kila leo wangeendelea kuwepo unadhani pangekalika hapa duniani?

Binaadamu asingekufa pangekuaje? Hapa kwenyewe tumefanikiwa kupunguza idadi ya vifo lakini Wataalamu wanahofia idadi tuliyopo inaweza leta shida sasa pata picha ndiyo wasingekufa na kusingekuwa na extinction hali ingekuaje

Fikiria angalau kidogo mimi nasema uhai ktk mfumo wa dunia ni mzuri maana dunia ina namna yake ya kuji maintain ili maisha yaendelee

Pata picha porini kuna Simba, vultures, fisi, raven, swala n.k

Hawa wote ni kama checks and balancies kukosekana kimoja kunahatarisha sana uhai wa binaadamu

Fikiria Hata kidogo halafu uone kama huta appreciate
 
Hizo natural calamities huoni zinaondoa maana halisi ya uzuri wa dunia?

Au huo uzuri unaouzungumzia ni pamoja na majanga kama hayo?


Kwanza uzuri kwako una maana gani??

Tazama mfumo mzima wa uhai hapa duniani, nenda hata mbugani ujifunze namna wanyama wanaishi au tazama food chain uone system iliyokamilika ya maisha, tazama bahari ilivyo na rasilimali nyingi na uhai huko

Mbona ni rahisi sana kuona uzuri wa dunia

kwangu hizi calamities ni checks and balance ya uhai

Wewe ungeweza kuishi na Dinasors?
Achilia mbali makundi ya virusi yaliyoganda huko arctic,

Binaadamu angeishi milele kwa idadi toka uhai kuanza unadhanj tungeweza wote kuishi kwa pamoja?

Kwa rasilimali gani? Hapa kwenyww tuko bilioni saba tu hofu imetanda kila kona maji yanakwenda kuwa bidhaa adimu
 
Ushahidi wa Mungu kuumba dunia na vingine uko wapi kama yeye alitoka from nothing kwanini sisi isiwe ivo?
Tatizo hiko kichochoro unachojifichia hukijui vyema

Nikuulize Swali na unijibu

Viumbe wote tumetoka wapi?

Huko tulikotoka tumetoka wapi?

Na huko tumetoka wapi!?

Na huko tumetoka wapi?

Nina hakika huna literature itakayokusaidia kujibu maswali haya na kama huna sijui unapata wapi nguvu ya kukataa kuwa ipo nguvu/kitu/mtu aliyeanzisha haya yote

Hiyo nguvu/mtu/kitu sisi tunaita Mungu…
 
Kwanza uzuri kwako una maana gani??

Tazama mfumo mzima wa uhai hapa duniani, nenda hata mbugani ujifunze namna wanyama wanaishi au tazama food chain uone system iliyokamilika ya maisha, tazama bahari ilivyo na rasilimali nyingi na uhai huko
Uzuri ni yale yote ambayo hayana athari mbaya kwa namna yeyote ile

Food chain haikuwa hoja sahihi kuitumia kwa upande wako kama sababu ya msingi kuonesha ukuu wa Mungu

Kwanini Mungu aumbe ulimwengu ambao ili kiumbe kingine ki-survive basi kingine lazima kife?

Mungu alishindwa kumfanya Simba aishi bila kumtegemea swala?
 
Mbona ni rahisi sana kuona uzuri wa dunia

kwangu hizi calamities ni checks and balance ya uhai
Checks kwa maana ipi?

Mungu alishindwa kuumba ulimwengu wenye kufanya balance ya uhai bila kuathiri maisha ya watu wasio na hatia wakiwemo watoto wachanga?
 
Uzuri ni yale yote ambayo hayana athari mbaya kwa namna yeyote ile
Well, kama unaodefine hivyo ulimwengu huo upo huko tunaita peponi

Kama unamwamini yeye na ukatenda mema ametuahidi tutakaa humo milele na kama humuamini na ukatenda mabaya kuna ulimwengu huo mbaya kabisa na utakaa humo
Milele
Food chain haikuwa hoja sahihi kuitumia kwa upande wako kama sababu ya msingi kuonesha ukuu wa Mungu
Mkuu unanipangia na hoja kuendana na matakwa yako?
Kwanini Mungu aumbe ulimwengu ambao ili kiumbe kingine ki-survive basi kingine lazima kife?
Wrong Question
Kwanini aumbe ulimwengu ambao ili kiumbe kimoja kisurvive lazima kingine kife?
Unampangia Mungu?
Mungu alishindwa kumfanya Simba aishi bila kumtegemea swala?
Hakushindwa ndiyo maana kaumba pepo

Huko zipo raha zote unazoweza fikiria hakuna tabu, machungu, huzuni wala lolote lenye kukuudhi
 
Kichwa cha habari tu umeanza na kashfa japo me si mmoja wao.
Kwanini usitetee hoja yako bila kashfa.
 
Checks kwa maana ipi?

Mungu alishindwa kuumba ulimwengu wenye kufanya balance ya uhai bila kuathiri maisha ya watu wasio na hatia wakiwemo watoto wachanga?
Hakushindwa… Nimekwambia kuna pepo ambapo huko hakuna tabu ila ili uingie sharti umuamini na ufanye mema

Wewe ndio una huruma sana na viumbe kuliko aliyeviumba?
 
Wewe ungeweza kuishi na Dinasors?
Achilia mbali makundi ya virusi yaliyoganda huko arctic,
Umeona Dinosaur ndio kiumbe wa hatari

Mbona Dinosaur hawapo na bado watu wanauliwa na Simba, mamba, nyoka nk.

Mbu tu peke yake ameua mamilioni ya watu, kwa hatari hiyo kwanini Mungu aliumba ulimwengu ambao haumzuii mbu kuishi?
 
Umeona Dinosaur ndio kiumbe wa hatari
Huyu mbu anaua mamilioni ya watu sasa pata picha combination ya mbu, simba, Dinasour na viumbe wengine hatari

Hebu fikiria kidogo
Mbona Dinosaur hawapo na bado watu wanauliwa na Simba, mamba, nyoka nk.

Mbu tu peke yake ameua mamilioni ya watu, kwa hatari hiyo kwanini Mungu aliumba ulimwengu ambao haumzuii mbu kuishi?
 
,

Binaadamu angeishi milele kwa idadi toka uhai kuanza unadhanj tungeweza wote kuishi kwa pamoja?

Mungu si ni muweza wa yote? ina maana alishindwa namna ya kufanya watu waishi milele bila tatizo?

Huko mbinguni mnakosema kuna maisha ya milele mnawezaje kuishi kwa pamoja?
 
Mungu si ni muweza wa yote? ina maana alishindwa namna ya kufanya watu waishi milele bila tatizo?

Huko mbinguni mnakosema kuna maisha ya milele mnawezaje kuishi kwa pamoja?
Sio tunasema
Ndiyo uhalisia

Yeye muweza yote asiyepangiwa na yoyite ameamua dunia iwe hivi halafu mbinguni iwe vile

Hakuna wa kubadili hilo mkuu
 
Kwa rasilimali gani? Hapa kwenyww tuko bilioni saba tu hofu imetanda kila kona maji yanakwenda kuwa bidhaa adimu
Mbinguni kuna kilomita ngapi za mraba kutosha watu bilion zaidi ya 7?
 
Kwani huu umeumbwa na Mungu mwenye hana sifa za upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote?.

Mpaka uwe hivi ulivyo?
sikiliza mkuu Mungu ni mkuu sana kiasi hawajibiki kwako wala kwa yoyote

Wewe na mimi ni viumbe dhaifu sana kiasi tukahoji au kujifanya kumhold accountable

Kwa msin Huo Mungu halazimiki kuthibitisha chochote kwako wala kukushawishi chochote wewe ila kwa faida yako tu

Usijipe umuhimu ukadhani ni lazima Mungu aje akuelezee kwanini anafanya anachofanya

Mjumbe wa nyumba kumi hapo mtaanj kwako hakufanyii hivi seuze Mungu?
 
Kama unamwamini yeye na ukatenda mema ametuahidi tutakaa humo milele na kama humuamini na ukatenda mabaya kuna ulimwengu huo mbaya kabisa na utakaa humo
Milele
Yeye yupi?

Allah, Yahweh, Yehova, Enlil, Euplois, Euros , Eurybe,Euryleia, Euterpe, Fates,Fortuna, Gaia, Gaieokhos, Galea, Gamelia, Gamelios, Gamostolos, Genetor, Genetullis, Geryon, Gethosynos, giants, Gigantophonos, Glaukopis, Gorgons, Gorgopis, Graiae, griffin, Gynaikothoinas, Gynnis, Hagisilaos, Hagnos, Haides, Harmothoe, harpy, Hegemone, Hegemonios, Hekate, Hekatos, Helios, Hellotis, Hephaistia, Hephaistos, Hera, Heraios, Herakles, Herkeios, Herme nk.
 
Back
Top Bottom