Huyu muumba aliyemuumba mtoto mchanga wa siku sita kisha akambamiza na ukuta na kumuua katika tetemeko la Turkey au Syria ni muumba wa aina gani? Hicho kichanga kilitenda dhambi gani? Kwanini alimuumba kisha akamuua?
Anayeunda compyuta nzuri kisha akachukua nondo na kuibomoa bila shaka utamuita punguwani. Anayefanya hivyo kwa kichanga je?
Yule rabii wa Israel aliyesema mtetemeko wa Turkey na Syria ni adhabu ya mungu alikuwa maana gani? Hata masheikh na wachungaji wetu wanasema hivyo. Yaani kichanga kimeadhibiwa ! DU!
Anayeunda compyuta nzuri kisha akachukua nondo na kuibomoa bila shaka utamuita punguwani. Anayefanya hivyo kwa kichanga je?
Yule rabii wa Israel aliyesema mtetemeko wa Turkey na Syria ni adhabu ya mungu alikuwa maana gani? Hata masheikh na wachungaji wetu wanasema hivyo. Yaani kichanga kimeadhibiwa ! DU!