Nimeota.Umejuaje hayupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeota.Umejuaje hayupo?
Mimi nina ushahidi na hoja za kielimu wewe huna zaidi ya kuleta utoto. Huna uaminifu katika mambo ya kielimu.Kwani wewe ulivyokuwa unasema huu ulimwengu umeumbwa na Mungu, hukujua hapo kuwa ulikuwa unasema tu?
Screenshots hizi hapa zinakuvua nguoSoma maelezo yangu nilikwambia nini kuhusu mtu anayetaka kupewa ushahidi wa jambo ambalo halihitaji ushahidi. Ndiyo maana nakwambia huna hoja ya kujadiliana na Mimi, kingine maswali yangu hujibu unaleta utoto. Sijawahi kukumbia sababu najua huna hoja ila huwa nakupuuza sababu nakuwa najadiliana na mtoto.
Kwa hiyo mtu akisema Mungu hayupo kwasababu ameota, utakubali kuwa kweli hayupo?Nimeota.
Hoja za kielimu kwa perception ya nani?Mimi nina ushahidi na hoja za kielimu wewe huna zaidi ya kuleta utoto. Huna uaminifu katika mambo ya kielimu.
Kwa hiyo wewe ukiambiwa umlete Mungu ili umthibitishie mtu kuwa huyo Mungu yupo utaweza?Sasa nakuuliza umlete mtu wa miguu sita au uthibitishe unasema mpaka atake au umuoe au aamue.
Kama nimemuona kwasababu yeye kataka nimuone, utalazimisha nawe umuone kama ushahidi hata kama hajataka umuone?Maana yake wewe umemuona au umejuaje haya ? Sasa kujadiliana na mtu kama wewe unaye andika haya naona haupo kimjadala bali unapotezea watu muda tu. Unatakiwa ukuwe kielimu na hoja, usiandike andike tu ilimradi.
Nakomea hapa. Kazi yangu nimemaliza.
Mkuu, unaamini Evolution Theory ni valid?Oh... na tusisahau.
Alie propose "big bang theory" alikua ni muamini, tena padre kabisa. Na aliepropose evolution theory (kabla ya C.Darwin kuleta theory yake ya natural selection) alikua ni theist pia. Hii ndo product ya kuthink out of the box, kinyume kabisa na mada ya uzi huu... [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwembwe zao zinamalizwa na swali moja tu: PROVE IT?Wafia dini wamekimbia uzi
Nipe elimu kidogo kuhusu evolution.... Kwa mfano naomba unielezee Human Evolution kabla ya Mtu kuwa Mtu alikua kiumbe gani?
Mzee wakatae wakubali evolution theory ni imani tu hamna cha sayansi wala nini maana wanaenda kwa kuamini kitu ambcho hawajawahi kukishuhudia masna tungekuwa tuli evolve kutoka kwa nyani leo hii tungekuwa na species nyingi katikayi yaani mfano tungekuwa na nyani/watu wenye mikia midogo na nyayo zinazoendelea kubadilika kutoka kwenye kiganja au watu wenye mikia mifupiMkuu, unaamini Evolution Theory ni valid?
Hahhh haswaa, evolution Theory ni Imani tena Imani potofu Maana ukisoma Concepts za Natural Selection; kuhusu Twiga kuwa na shingo ndefu evolution Theory inasema "Twiga alikua na shingo fupiMzee wakatae wakubali evolution theory ni imani tu hamna cha sayansi wala nini maana wanaenda kwa kuamini kitu ambcho hawajawahi kukishuhudia masna tungekuwa tuli evolve kutoka kwa nyani leo hii tungekuwa na species nyingi katikayi yaani mfano tungekuwa na nyani/watu wenye mikia midogo na nyayo zinazoendelea kubadilika kutoka kwenye kiganja au watu wenye mikia mifupi
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Wewe ukiambiwa uprove kwamba Mtu alikua Sokwe utaweza..!?
Ilifaa uwe umeisoma hii shuleni..Nipe elimu kidogo kuhusu evolution.... Kwa mfano naomba unielezee Human Evolution kabla ya Mtu kuwa Mtu alikua kiumbe gani?
Nimeisoma Mkuu., Ila Nina doubts ndyo maana nikakuomba clarification
"...hamna cha sayansi wala nini maana wanaenda kwa kuamini kitu ambcho hawajawahi kukishuhudia..."Mzee wakatae wakubali evolution theory ni imani tu hamna cha sayansi wala nini maana wanaenda kwa kuamini kitu ambcho hawajawahi kukishuhudia masna tungekuwa tuli evolve kutoka kwa nyani leo hii tungekuwa na species nyingi katikayi yaani mfano tungekuwa na nyani/watu wenye mikia midogo na nyayo zinazoendelea kubadilika kutoka kwenye kiganja au watu wenye mikia mifupi
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app