Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Kwa sasa ivi Harmonize ndo anachukua kijiti cha king of bongofleva hii ni lazima tuikubali kuna kitu kinaitwa muda na tusisahau kuwa kila kifikacho juu ni lazima kishuke chini zama za Alikiba zilipita alipokuja Diamond na na sas zama za Daimond ndo zinapita ivyo sasa ivi tunaelekea zama za Harmonize naye ataenda baada ya muda za.a zKe zitapita atakuja mwingine hii ndo kanuni ya maisha wala tusikasirike jamani hii ni kanuni ya asili ya dunia huwezi kuibadili ili wewe uwe juu ni lazima mwingine aanguke wala haina aja ya kutafuta mchawi huu sasa ni wakati wa Harmonize
 
Wimbo wa attitude wa Harmonize yafikisha views million 3 ndani ya masaa 27 you tube. Hii ni record ya aina yake inawekwa na Harmonize. Kama anatania vile lakini ndo anachukua kijiti Cha king of bongofleva kwasasa. Tumsuport jeshi ili tupate kuongeza international artist from Tanzania.
Walimfinya, ila dogo kavunja rekodi, imagine usingekua mwezi mtukufu.
 
Sina hata mpango wa kuuangalia mpaka mzidishe promo bado haijatosha
 
Daaa kiukwel jamaa mbishi sana,imagine timu nzima wanaunganisha nguvu kumuangusha jamaa lkn wap[emoji23][emoji23],ila ngoma ina melody tamu [emoji12]...
Nasikiliza kwenye akg earphone.kila chombo kilivyopigwa nakisikia aki...eko kwa producer
 
Duh! Naona kichapo wanachotembeza Konde Gang kwa Wasafi sio cha nchi hii[emoji28][emoji28][emoji28]

Hizi ndo ngoma zinazo trend Youtube kwa Tz. WCB wanatafutwa kwa tochi[emoji13][emoji13]View attachment 1763180
Huo wimbo wa Ibrah huku nilipo ni kama wimbo wa taifa, kila kona HAYAKUHUSU kale katoto kana kupasha huku kanakubembeleza kwa sauti laini.
 
Kweli mziki wetu unakoenda hatutapata tena vijana wapya wazuri maana kuna watu wazuri sana lakini hawana fan base ndio wanataka kutoka sijui watatokea wapi maana ushindani ni views siku hizi sio mziki bora na wengi watakatishwa tamaa mziki utabaki kama mpira uwe Yanga, Simba au Azam basi na ndio tuna team 3 sasa hivi super league wengine chezeni Voda league. Hatuendi kuzuri hatujadili tena mziki mtamu au hapana ila views so sad lakini ndio hali halisi, ambao hamjatoka kimziki fanyeni kazi zingine mtapata stress na hii industry.
 
Unashngaa nini aise na wakati hio ni kazi ya genge la uhalifu la wcb kuna kitu walienda kufanya au kuna watu wanawatumia kwenye hizi selfish jobs zao, kwanini wasikubali tu kua harmonze ni genious na anajtegemea kwa sasa na hana shobo na mtu, wao waendelee na kununua private jets wao si wana hela bwana
We jamaa acha ushamba hakuna mtu yeyote anaeweza kuchokonoa youtube ya mtu mwingine isipokuwa youtube wenyewe
 
Daaa kiukwel jamaa mbishi sana,imagine timu nzima wanaunganisha nguvu kumuangusha jamaa lkn wap[emoji23][emoji23],ila ngoma ina melody tamu [emoji12]...
Nasikiliza kwenye akg earphone.kila chombo kilivyopigwa nakisikia aki...eko kwa producer
Sh ngapi hizo huko uliko!?
 
[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah wee jamaa umenchekesha mno aseee
Eeeh ndio hivyo chuki ambazo hazisaidii sijui zinatoka wapi. Kwenye haki sifia, kwenye kuhitaji kukosoa unakosoa. Lkn kila kitu ww uko kinegativity huwezi kuwa binadamu wa kawaida.
 
Back
Top Bottom