Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Huyo jamaa alianza kumtumia meseji za vitisho na meseji zipo. Ndio huyo dada akampigia Ili amueleze vizuri!


Kwahiyo hata kama asingempigia Kuna meseji jamaa alimtumia huyo dada ni za vitisho...
 
Mkuu elimu haimkomboi mtu na asili yake Hata awe Profesa wa digrii Saba .
Kama alitegemea waganga Kwenye maisha yake hataacha

Umenikumbusha mbali sana mkuu, na bosi wangu huko nyuma, shule alikuwa amekwenda, ndani na nje ya nchi, lakini alikua anaamini mno uganga na pasipo kificho! Aliishi kwa hofu mno, kila mtu ofisini alikuwa mbaya wake! Alikuwa hawezi kunywa chai, kwenda msalani, ilikuwa inambidi aende nje ya ofisi, mahotelini au bar! alibadili dereva, na kuleta toka kijijini kwake, baadaye hata mpika chai ya ofisi ili aweze kunywa chai na alimtoa kijijini kwake...! Ukiiangali CV yake utaitamani......Digrii zilikuwa jimejipanga vizuri! Ushirikina unaweza kukutesa!
 
Hongereni wananchi wa Babati.

Haki imeshinda,Umoja wenu ndiyo ulinzi wenu sasa mtuhumiwa wetu yupo katika mikono salama ya Jeshi la Polisi Tz.

Jaribio lake la Kutoroka mkono wa sheria limezimwa na Wananchi na sasa Polisi wamemtia mbaroni mualifu wetu.

Sasa anachukuliwa MAELEZO YA ONYO katika Ofisi za RCO,Manyara

Pauline Gekul alipanga kutokea Nairobi,Kenya [emoji1139] leo alfajiri baada ya jana Gekul kupata taarifa za kutaka
1.kushtakiwa na 2.Kufukuzwa uanachama wa CCM Wilayani Babati.

Umoja mlio onyesha wananchi wa Babati usiishie hapo tu.

Jutitokeze Kwa wingi Mahakamani ili haki iweze Kuonekana ikitendeka.

Najua Babati inafuraha kama imepata uhuru tangu Jana,lakini tuendelee na kazi ya doria.

Ukatili na ualifu dhidi ya utu unapaswa Kupingwa na dini zote,Itikadi zote na jamii yote mahala popote.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
To be honest huyo mama ni mtu mbaya Sana.
Haifai kuwa ndugu, ni kama alikuwa anasubiri jamaa ajikanyage akimbilie mitandaoni.
Huenda katuma sababu ya usalama wake.
 
We matako kweli kwa hiyo masese ndiyo kamtengua uwazir?
Hivi unamuingiziaje binadamu mwenzako chupa matakoni aise?

Sasa ataitwa rasmi mama chupa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya kuamini waganga wa kienyeji? Kwa akili hii tu hafai kuwa kiongozi hata nyumba kumi.

Kesho mganga akimwambia uongo mwingine ataenda kutesa wengine. Bila shaka kwa akili hizi ameshaonea wengi wasio na hatia.
Hawa ndiyo wale waganga wanawaambia wakaue albino wanaenda kuuwa ili wapate vyeo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndio unaona umecheza bonge la mind game!
 
Kabisa, binafsi sijapenda alichofanya huyo mama, japo na jamaa nae kazingua kipindi hiki alibidi awe makini.
 
Huu ni ushahidi mwingine utakaomfunga Gikul, na huyu mdogo wake ingependeza akakamatwa aisaidie polisi, ana mengi yaliyojificha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…