Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Hawa ndiyo wale waganga wanawaambia wakaue albino wanaenda kuuwa ili wapate vyeo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wao viongozi ndio inabidi wakemee huu ujinga wa kuamini waganga wa kienyeji. Mganga atakwambia chochote kutokana na anavyoisoma akili yako ili mdomo uende kinywani.

Lakini wao ndio wako mstari wa mbele kuamini huu upumbavu. Wanachotwa akili kiurahisi na kitoto sana.

Hawa viongozi hawana uwezo wa kujiongoza na kujiongeza, wataweza kuongoza nchi?
 
Kuna watu wanaraha sana nchi hii anajiaminisana kuwa yeye sio mwanasiasa hivyo Kwa kuwa haombi kura anaweza kugonga na gari na aktengeneza mazingira kuwa break ilikatika na akaeleweka. Hili SI kosa kabisa yule panya rood Dangote anayetumia viwembe katwezwa utu huyu anayetumia chupa Yuko huru.
 
Mnafaidika nini kwa kuzusha mambo ya uongo..?
Chadema mmekuja kuwa wajinga sana.
 
Nimeisikiliza hii audio kwa makini... alichokosea bwana Emmanuel kwa mtazamo na maoni yangu ni kauli. Baadhi ya Vitisho alivyotoa ni hatari na sheria inaweza kumuadabisha ila huyo Paulina naona anapayukapayuka tu! Anaonesha wazi kweli akili na busara hana!

Pia bwana Emmanuel amekosea sana kuingilia kati makosa aliyoyafanya dada yake.
 
Ni series ya kutafutana kisiasa, na bahati mbaya mtafutwaji hakugundua mapema.
 
Huyu Pauline aliwezaje kuwa naibu waziri? Anaonekana mweupe kabisa kichwani hata kwa uzungumzaji wake tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…