Unakumbuka amsha amsha za Chadema tulitumia Mapanga na Marungu 😂😂😂😂😂😂Huyu Mjinga akamatwe haraka
Anaaibisha "taasisi"!Crdb inabidi wamchukulie hatua huyu.... Anaaibisha hadhi ya kampuni
Huu utetezi hauwezi kusimama mahakamani.Undugu unauma, hakuna mtu anayependa kusikia habari mbaya za ndugu yake baada ya kuharibu. Usiombe uzingirwe na Wana harakati na Wana habari baada ya kutenda kosa. Hizi habari ni nzuri ukiwa unazisikiliza zikiwa hazikuhusishi wewe Wala ndugu yako. Ni vyema mambo haya yashugulikiwe kwa mujibu wa sheria, hapo huyo mwanamke amezalisha kosa kwa kumtegesha huyu ndugu yake ambaye yupo matatizoni. Anataka kuiingiza familia nzima kwenye makosa. Ukipata tatizo ndio utamjua ndugu yako na jirani yako wa kweli ni yupi
Hii ya Chadema kutumia Mapanga na Marungu lazima UVCCM waitengenezee Bango 😂🔥Undugu unauma, hakuna mtu anayependa kusikia habari mbaya za ndugu yake baada ya kuharibu. Usiombe uzingirwe na Wana harakati na Wana habari baada ya kutenda kosa. Hizi habari ni nzuri ukiwa unazisikiliza zikiwa hazikuhusishi wewe Wala ndugu yako. Ni vyema mambo haya yashugulikiwe kwa mujibu wa sheria, hapo huyo mwanamke amezalisha kosa kwa kumtegesha huyu ndugu yake ambaye yupo matatizoni. Anataka kuiingiza familia nzima kwenye makosa. Ukipata tatizo ndio utamjua ndugu yako na jirani yako wa kweli ni yupi
Sio utetezi. Kinachotakiwa Sasa ni kuhakikisha huyo mtuhumiwa Pauline Gekul anakamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zake ili haki ya huyo mtoto ipatikane.Huu utetezi hauwezi kusimama mahakamani.
Anapaswa kufungwa, nje ya kifungo tunamuonea Paulina...Na chupa ni nyenzo kuu kiutesaji.
Nadhani hadi Ufipa st mtafikiwaFamilia imeingia kwenye mfumo
Kipindi cha Mapanga na Marungu?Waovu hawa wanafikiri bado wapo kipindi cha Magufuri.
Acha kabisa unapigwa kama upo gazaWabongo wakikubahatisha utakoma