eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Hawa wanaonekana ni wajinga, ndiyo maana wana drama kiasi hicho.
Wenyewe hawajui katika kipindi ambacho wanapaswa kukaa kimya na kuwa na utulivu wa akili ni hiki.
Ona sasa wameingia kwenye mtego. Hasira mbele busara nyuma zilimponza Mr mende kupinduka miguu juu kabla ya kufa. By Chuchu Sound.
Wenyewe hawajui katika kipindi ambacho wanapaswa kukaa kimya na kuwa na utulivu wa akili ni hiki.
Ona sasa wameingia kwenye mtego. Hasira mbele busara nyuma zilimponza Mr mende kupinduka miguu juu kabla ya kufa. By Chuchu Sound.