Halafu hana hasira ana composure ya juuHuyo PAULINA ana elimu gani? Mbona ana akili sana? Amavyowaumbua wenye vyeo na elimu Kama watoto wadogo!
APEWE ULINZI
Hii ya Chadema kutumia Mapanga na Marungu lazima UVCCM waitengenezee Bango 😂🔥
Emma WA CRDB alikuwa akimtumia SMS za vitisho ndio akaamua aende nae hewani amrekodi.Hapo kategeshwa tuu na huyo mama. Huyo mama kampigia simu mwenyewe with malice kwa lengo la ku aggravate tatizo kuimsliza familia nzima. Unaona jinsi alivyokuwa anamvutia pole pole huku aki mprovoke kitaalamu. Kwa vyovyote ndugu yako akiwa kwenye peril lazima uta provoke kirahisi
Hao polisi walitakiwa kumshauriJeshi la polisi linajidharirisha [emoji706][emoji706]
Ndugu wakigomba shika jembe ukalime, wakipatana shika Kapu ukavune...
Nimesikia hapo Kinagongwa Kilugha hadi sio poa, seems hao ni ndugu 🙌
Haha alimjaza akajaaaEmma WA CRDB alikuwa akimtumia SMS za vitisho ndio akaamua aende nae hewani amrekodi.
Hii ni evidence nzuri sana kuwa Lisu alipigwa risasi na Mbowe. Mbowe anaongoza genge la wezi, mauaji
Zao la Chadema
Gekul kijana mtiifu wa Mbowe
Dada yake CCM yeye yuko Ufipa st kwenye amsha amsha za Mapanga Shwaaa 😂
Kalikamata vizuri linajieleza kabisa eti mimi Emma hajui hii inaenda kumcost dadake daaahHuyo PAULINA ana elimu gani? Mbona ana akili sana? Amavyowaumbua wenye vyeo na elimu Kama watoto wadogo!
APEWE ULINZI
tayari dada ake aishapoteza image ya kisiasa, itamuathiri kutaka tena kuwania ubunge. Hapo ndio basi tena, aanze kutafuta kazi ya kufanya nje na siasa. Keshaonekana ni muhuniMengi yataibuka Sana. Jamaa anadai hakuna wa kumfanya kitu.
Yaani AIBU tupu. Emmanuel na dadake sijui ni Ma Graduate wa wapi. Wamekalia majungu na ushirikina. Mganga kamuambia kuna Vijana wawili wametumwa na mbaya wako kuja kuvuruga biashara yako kisha kukuua wewe mwenyewe. Kusikia tu hivyo kamuagiza Dereva wake kuwasha gari na Kumuambia twende nyumbani mara moja. Alipofika akaenda kuwatendea Vijana wale alichowatendea bila hata kuzungumza nao.Hasira hasara, Emma amefanya upumbavu tayari kwenye clip anasema ana akili mwenye akili anatishia kukata kichwa cha mtu kwenye simu! mwenye akili anapigiwa simu na adui ana ongea huo ujinga bila kujua ana rekodiwa! Huyo ndio ile mtu naambianga ni pusi!
Akina gekul ndiyo watoto wa gaidi mbowe, yaani hao ndiyo uthibitisho wa mauaji aliyowahi fanya mbowe
mbombo ngafu....🙌
Mkuu elimu haimkomboi mtu na asili yake Hata awe Profesa wa digrii Saba .Yaani AIBU tupu. Emmanuel na dadake sijui ni Ma Graduate wa wapi. Wamekalia majungu na ushirikina. Mganga kamuambia kuna Vijana wawili wametumwa na mbaya wako kuja kuvuruga biashara yako kisha kukuua wewe mwenyewe. Kusikia tu hivyo kamuagiza Dereva wake kuwasha gari na Kumuambia twende nyumbani mara moja. Alipofika akaenda kuwatendea Vijana wale alichowatendea bila hata kuzungumza nao.
Amewaumbua wangapi mkuu?Huyo PAULINA ana elimu gani? Mbona ana akili sana? Amavyowaumbua wenye vyeo na elimu Kama watoto wadogo!
APEWE ULINZI
Kifupi wameingia kwenye 18 za mbunge ajaye...tena inawezekana ni mwanaCCM mwenzake...
Siasa hiyo