mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Mbona mlimpokea mkampa unaibu wazir?Zao la Chadema
Gekul kijana mtiifu wa Mbowe
Amewaingizia chupa matakoni mnamuona mbaya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mlimpokea mkampa unaibu wazir?Zao la Chadema
Gekul kijana mtiifu wa Mbowe
Atatoa kauli yoyote kumhusu mwanachama wake Gekul kama mwenezi wa chama?Kwenye ishu kama hizi ndipo Makonda anaonekana mwenye maarifa, kipindi kile anatuhumiwa alichagua kukaa kimya.
Sasa hivi anakula mema ya nchi.
Na Wote tunapenda CCM na Viongozi wakeTofauti yako Lucas Mwashambwa ni kwamba wewe ni mpenzi wa Magufuri na kundi lake lakini Lucas ni mpenzi wa Mama na kundi lake.
Haina nguvu yoyote,wamelewa madaraka aliyokuwa nayo dada yaoHii familia itakua ina undugu wa damu kabisa na shetani [emoji35][emoji35] lakini kwa kua wenye nacho hua hawaguswi hata wakiua hadharani hakuna hatua yoyote itachukuliwa zitabaki kelele kwenye mitandao tuu [emoji35][emoji35]
Mtu kasokomekwa chupa mkndWabongo mnapenda umbea sana
Hakika.Na Wote tunapenda CCM na Viongozi wake
Siyo cdm tu hata huko ccm unafikiriJapo inaonekana ni kweli Gekul ametenda kosa, ila CHADEMA wamepata fimbo ya kumchapia 'msaliti' wao
Hili jambo halihitaji kukurupuka kwa kuongea bila tafakuri pana maana linaweza kuibua makubwa zaidi.Atatoa kauli yoyote kumhusu mwanachama wake Gekul kama mwenezi wa chama?
Jamaa anaongea tu anaonekana mshamba,hana exposure boya fulani tuFamilia ya Gekul imeingia kwenye 18 watajua hawajui. Huyu aliyepiga simu na kutishia kuua ni mpuuzi mno.
Sasa ndiyo mkamshike awaeleze hayo mapanga na rungu walitumia wakati gani na Serikali ilikuwa wapi??? Na je 2020 Pauline Gekul aliwakilisha Chadema??Hayo kasema Emmanuel Gekul bwashee [emoji1][emoji1]
Au una bando la Jero!
ni wapuuzi sana, wamejiharibia brand zao wenyewe. Brand hulindwa kwa hali na mali kwa gharama kubwa, ndio image yenyewe kwa ummaCRDB nao wachukue hatua
Huyo Emma ni Chadema kuliko wewe!Sasa ndiyo mkamshike awaeleze hayo mapanga na rungu wakitumia wakati gani na Serikali ilikuwa wapi???
Uchafu wa dadake haihusiani na Chadema. Na kama huyo Emmanuel Gekul alitumia zana hizo kwa siri ili kuhakikisha dadake anaibuka mshindi basi mkamateni yeye akasaidie Tanpol. Vinginevyo hata wewe huna tofauti na Pauline Gekul.
Mti wa Mzee Philipo Gekul naona umeshakauka matawi yameshaanza kupukutisha majani. Hiyo familia Wairaqw wajitenge nayo vinginevyo AIBU itakuwa ya Kabila zima badala ya familia ya Mzee Gekul.Huyo dogo mjinga
Anajazwa naye anaingia kingi
Ova
Hawa wanaonekana ni wajinga, ndiyo maana wana drama kiasi hicho.
Wenyewe hawajui katika kipindi ambacho wanapaswa kukaa kimya na kuwa na utulivu wa akili ni hiki.
Ona sasa wameingia kwenye mtego. Hasira mbele busara nyuma zilimponza Mr mende kupinduka miguu juu kabla ya kufa. By Chuchu Sound.
Undugu unauma, hakuna mtu anayependa kusikia habari mbaya za ndugu yake baada ya kuharibu. Usiombe uzingirwe na Wana harakati na Wana habari baada ya kutenda kosa. Hizi habari ni nzuri ukiwa unazisikiliza zikiwa hazikuhusishi wewe Wala ndugu yako. Ni vyema mambo haya yashugulikiwe kwa mujibu wa sheria, hapo huyo mwanamke amezalisha kosa kwa kumtegesha huyu ndugu yake ambaye yupo matatizoni. Anataka kuiingiza familia nzima kwenye makosa. Ukipata tatizo ndio utamjua ndugu yako na jirani yako wa kweli ni yupi