Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Japo inaonekana ni kweli Gekul ametenda kosa, ila CHADEMA wamepata fimbo ya kumchapia 'msaliti' wao
Siyo cdm tu hata huko ccm unafikiri
Hawatoleani macho
Mtu mwenyewe kaja juzi juzi ccm kalamba nafasi kubwa

Ova
 
Ndio hayo niliyasema jana sina imani na polisi au mahakama.

Majuzi hapa kina Slaa na Mwabukusi walitangaza maandamano kwa kwa kauli hata hawajafika uwanjani walishazingirwa nyumbani na kuwekwa mahabusu.

Huyu Pauline kavuliwa unaibu waziri ambao ni surplus tu bado ana kofia ya ubunge na yupo mtaani tu.
 
Hayo kasema Emmanuel Gekul bwashee [emoji1][emoji1]

Au una bando la Jero!
Sasa ndiyo mkamshike awaeleze hayo mapanga na rungu walitumia wakati gani na Serikali ilikuwa wapi??? Na je 2020 Pauline Gekul aliwakilisha Chadema??

Uchafu wa dadake haihusiani na Chadema. Na kama huyo Emmanuel Gekul alitumia zana hizo kwa siri ili kuhakikisha dadake anaibuka mshindi basi mkamateni yeye akasaidie Tanpol. Vinginevyo hata wewe huna tofauti na Pauline Gekul.
 
Sasa ndiyo mkamshike awaeleze hayo mapanga na rungu wakitumia wakati gani na Serikali ilikuwa wapi???

Uchafu wa dadake haihusiani na Chadema. Na kama huyo Emmanuel Gekul alitumia zana hizo kwa siri ili kuhakikisha dadake anaibuka mshindi basi mkamateni yeye akasaidie Tanpol. Vinginevyo hata wewe huna tofauti na Pauline Gekul.
Huyo Emma ni Chadema kuliko wewe!
 
Hawa wanaonekana ni wajinga, ndiyo maana wana drama kiasi hicho.
Wenyewe hawajui katika kipindi ambacho wanapaswa kukaa kimya na kuwa na utulivu wa akili ni hiki.
Ona sasa wameingia kwenye mtego. Hasira mbele busara nyuma zilimponza Mr mende kupinduka miguu juu kabla ya kufa. By Chuchu Sound.

Huyo jamaa ndio kakosea. Kutishia watu kisa kasambaza video za huyo kijana akilalamika kuteswa na Mbunge wa Babati Mjini.
 
Undugu unauma, hakuna mtu anayependa kusikia habari mbaya za ndugu yake baada ya kuharibu. Usiombe uzingirwe na Wana harakati na Wana habari baada ya kutenda kosa. Hizi habari ni nzuri ukiwa unazisikiliza zikiwa hazikuhusishi wewe Wala ndugu yako. Ni vyema mambo haya yashugulikiwe kwa mujibu wa sheria, hapo huyo mwanamke amezalisha kosa kwa kumtegesha huyu ndugu yake ambaye yupo matatizoni. Anataka kuiingiza familia nzima kwenye makosa. Ukipata tatizo ndio utamjua ndugu yako na jirani yako wa kweli ni yupi

Sidhani. Huyo dada kaamua kuweka mambo wazi ili jamaa akimdhuru ijulikane. Maana Emma alitumia SMS ya vitisho dada ikabidi ajiongeze.
 
Back
Top Bottom