Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

View attachment 2825594
EMMANUEL GEKUL ambaye ni mdogo wake mbunge wa Babati Mjini (CCM), Pauline Gekul akimtishia kumuua kwa kumkata kichwa na kumpiga risasi PAULINA SLAA NARSIS mkazi wa Babati Mjini akimtuhumu kusambaza video za Hashimu Ally.

HASHIMU ameeleza jinsi alivyotekwa, kuteswa akiwa ameshikiwa bastola na kuwekewa chupa sehemu yake ya haja kubwa kwa amri ya Pauline Gekul, akiwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria. Wakazi wa Babati Mjini walichukizwa na kitendo hicho, wengine wakaamua kusambaza taarifa ile WhatsApp.

EMMANUEL GEKUL anasikika katika video hiyo yenye sauti akimchimba mkwara mzito na kumueleza PAULINA SLAA NARSIS atamkata kichwa na kumpiga risasi kwa kusambaza video hizo za Hashimu. Gekul ametukana matusi mengi ya nguoni. Gekul anatamba kwamba anaweza kumuua na Babati ikatulia.

PAULINE na EMMNAUEL wanapata kiburi kwa nani? RPC Manyara upo? RCO upo? Raia wa Babati anatishiwa maisha yake kwa sababu ya kusambaza taarifa za UOVU wa PAULINE GEKUL? Familia ya GEKUL imelimeza jeshi la polisi Manyara na Babati wanaitawala kifalme? Tunataka EMMANUEL anachukuliwa hatua za kisheria iwe fundisho.

PAULINA SLAA NARSIS ametoa taarifa za kutishiwa kuuwawa kwa kuchinjwa na kupigwa risasi na EMMANUEL GEKUL, lakini hadi sasa hakuna lolote ambalo linaendelea. RPC unajua vizuri hili suala. EMMANUEL GEKUL anasema jeshi la polisi Manyara kwake siyo lolote na haogopi. Je, ni kweli familia ya GEKUL imelishika jeshi la polisi Manyara?

IGP, tunataka jeshi la polisi Manyara na Babati, lichunguzwe na ikibainika kuna watu wanakula njama za kutenda uhalifu kwa kushirikiana na familia ya GEKUL, wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria. Hatuwezi kuwa na watu katika utumishi wa jeshi la polisi wanaoshirikiana na wahalifu kutenda UHALIFU wa kutisha kwa binadamu wenzao.
Wamswekw ndani na yeye

Haya mauwaji
 
Mbowe ni gaidi na uaji, anatakiwa kuhukumiwa kunyogwa mpaka kufa kabisa maana ushahidi unazidi kujionesha na genge lake

Unajua ugaidi mkuu? Hivi Tanzania kimewahi kutokea ugaidi?. Tusiongee vitu ambavyo having uhalisia. Nenda Kenya waulize kuhusu West Gate watakuambia ugaidi ni Nini. Tusiongee mambo ya uongo kisa vyama vya siasa.
 
Hekima ya kukaa kimya inaweza kutuliza mambo nyakati za mizozo. Vinginevyo unaweza kufanya hali kuwa mbaya zaidi kwa kutenda kwa mihemuko bila kufikiri. Alichotenda huyo kijana ni kutenda kulingana na hisia, bila kutumia vizuri uwezo wake wa kufikiri.
Hajui kwa wadhifa wake kisiasa na kijamii anapaswa kutendaje. Je ni sawa kuongea irresponsibly na yule mwanamke kana kwamba yeye ni masela wa stendi au kitaani?
Aendelee kujifunza, hasira zisitangulie uwezo na nguvu za kufikiri.

Kweli kabisa nadhani aliruhusu hisia zimtawale kuliko hekima. Angeongea kistaarabu Wala yasingefika huku kwetu.
 
Watanzania wanafurahia masahibu ya wengine, ni kama watafaidika ikiwa Emma ataingizwa majaribuni.
Pauline Gekul alikuwa chadema na akina maranja masese. Alijitoa huko na kurudi ccm kipindi jiwe na cohorts wake wanawanunua upinzani.
Alipofika ccm, alianza kulamba vyeo mpaka sasa maranja masese anapomuonea gere.
Kama jamaa alifanyiwa ukatili kwa amri ya Pauline, kwa nini hakuenda polisi kushitaki?
Masese acha ugaidi wenu

Punguza generalization. Watanzania unawajua wote?.
 
Sijui mnalipwa na nani kumchafua huyo dada wa watu. Kama mzoefu wa siasa za Tanzania, hii ngoma wanapigiwa watu wajinga na wanaicheza.

Acheni hizo, akifanya ujinga Waziri eti ni Ngoma ya wajinga. Lini mtakuwa na ubinadamu. Yani Naibu Waziri akifanya kosa tunaambiwa ni Ngoma ya wajinga ila raia akiumizwa sio ngoma ya wajinga.
 
Mnafaidika nini kwa kuzusha mambo ya uongo..?
Chadema mmekuja kuwa wajinga sana.

Ungeanza kumlaumu mwenyekiti wa CCM aliyemtumbua. Anzia hapo. Na ni wapi CHADEMA wamezusha. Kafuatilie alichosema RPC wa Manyara na Katibu wa Mbunge Gekul.
 
Marehemu Mvungi nyumbani kwake Kibamba 😊

Ukitaka visa vingi zaidi nenda Mikoa ya nyanda za juu, au mfano rahisi Tarime, Kigoma na Kaskazini huko.

Unaongea kujifurahisha maana ID yako imejificha. Waliomuua mvungi walikamatwa na nadhani kesi yao bado ipo mahakamani.
 
Ungeanza kumlaumu mwenyekiti wa CCM aliyemtumbua. Anzia hapo. Na ni wapi CHADEMA wamezusha. Kafuatilie alichosema RPC wa Manyara na Katibu wa Mbunge Gekul.
Nyie mbwa ndo mmeshikilia bango hilo swala. Akianguka kwenye maisha yake mnafaidika na nini..? Tabia zingine za kichawi sana. Nyie sio wa kwanza kukimbiwa, yeye aliona hana manufaa na chama chenu akatoka, chochote mnachomfanyia kibaya hakina faida, zaidi zaidi mnajichumia dhambi tu washenzi nyie.
 
Acheni hizo, akifanya ujinga Waziri eti ni Ngoma ya wajinga. Lini mtakuwa na ubinadamu. Yani Naibu Waziri akifanya kosa tunaambiwa ni Ngoma ya wajinga ila raia akiumizwa sio ngoma ya wajinga.
Wapi amehukumiwa kwamba amefanya makosa. Binadamu mnakuwaje wepesi sana kuona na kuhukumu makosa ya wenzenu..? Let vyombo vya dola ifanye kazi yake na hata kama amekosea, yeye sio wa kwanza. Hakuna mkamilifu duniani. Atapewa adhabu na ataitumikia lakini before then, tumpe benefit yake of the doubt.
 
Duh

"Unakumbuka amsha amsha za Chadema tulitumia Mapanga na Marungu?"

"Kuwa kama mchagga wewe "

"Ulishawahi kuona mchagga anamuangamiza mchagga mwenzake hata kama amekosea?"

😂😂😂😂😀😀🔥
Ahaaaaaa, CHADEMA na Mapanga na marungu tena.........

Hivi wachaga wapo vipi? Mamaaaaaaaa.. hawa hawatufai..Tusiwape nchi kamwe.

Kwa hiyo mchaga akitenda maovu, hulindana. Sasa wakipewa Urais si tutakwisha.

Mnaoshabikia CHADEMA sikilizeni mahojiano haya mara ELFU MOJA. Sijui Mbeya, Mara nk, kumbe ni wasindikizaji tu.
 
Nyie mbwa ndo mmeshikilia bango hilo swala. Akianguka kwenye maisha yake mnafaidika na nini..? Tabia zingine za kichawi sana. Nyie sio wa kwanza kukimbiwa, yeye aliona hana manufaa na chama chenu akatoka, chochote mnachomfanyia kibaya hakina faida, zaidi zaidi mnajichumia dhambi tu washenzi nyie.
Vipi mbona kama una mimba changa?
 
Nyie mbwa ndo mmeshikilia bango hilo swala. Akianguka kwenye maisha yake mnafaidika na nini..? Tabia zingine za kichawi sana. Nyie sio wa kwanza kukimbiwa, yeye aliona hana manufaa na chama chenu akatoka, chochote mnachomfanyia kibaya hakina faida, zaidi zaidi mnajichumia dhambi tu washenzi nyie.
Kama chupa ni Nzuri tumia muda huu ingiza kwenye matyako yako mbweha wewe!!
 
Back
Top Bottom