Audio: Ridhiwani Kikwete asema Manara ni mchumia tumbo, Yanga hawako serious

Audio: Ridhiwani Kikwete asema Manara ni mchumia tumbo, Yanga hawako serious

Status
Not open for further replies.

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
kaongea mengi msikilize mwenyewe ,audio ina dakika tatu, kwa kifupi anasikitika sana team yake ya utopolo fc haipo serious zaidi ya propaganda za media na mitandaoni kuongelea jezi za machampion wa nchi na klabu bora afrika mashariki

Team iko bize na mambo ya kiutopolo hata matayarisho ya champions league hayaeleweki, kaongelea pia kuhusu logo yao chafuchafu yenye mabondia kwamba ni wakati sahihi wa kuibadili

Kikubwa zaidi kaliongelea lopolopo , jitu fulani la hovyohovyo ambalo hata Yuda iskarioti huko alipo jehanamu mwenyewe analishangaa

 
Mo ntu ya dili lakini ana vision wapi anataka kuiona Simba ila ndugu zetu GSM wapigaji tu wapo kibiashara tu.
Hao wanajulikana tangu awamu ya nne wakati ule wakiitwa HSC kazi yao ni kukwepa kodi, na sasa upepo wao umerudi tena kwa mlango wa pembeni ndiyo wanababua kweli kweli
 
kaongea mengi msikilize mwenyewe ,audio ina dakika tatu, kwa kifupi anasikitika sana team yake ya utopolo fc haipo serious zaidi ya propaganda za media na mitandaoni kuongelea jezi za machampion wa nchi na klabu bora afrika mashariki

Team iko bize na mambo ya kiutopolo hata matayarisho ya champions league hayaeleweki, kaongelea pia kuhusu logo yao chafuchafu yenye mabondia kwamba ni wakati sahihi wa kuibadili

Kikubwa zaidi kaliongelea lopolopo , jitu fulani la hovyohovyo ambalo hata Yuda iskarioti huko alipo jehanamu mwenyewe analishangaa


Yeye mbona ndiyo mchumia tumbo sana, manara anataka mkono uwende kinywani, yeye ridhwani kabula ya ubunge alikuwa wapi, Mama yake pamoja na kuwa mke wa raisi miaka kumi bado anachumia tumbo na pesa zote hizo za familia, Ina maana hakuna mtu mwingine anaweza kuwa mbunge hilo Jimbo, lakini yumo tu , mtoto yumo ,baba ndo amekuwa tena foreign minister.
 
,
kaongea mengi msikilize mwenyewe ,audio ina dakika tatu, kwa kifupi anasikitika sana team yake ya utopolo fc haipo serious zaidi ya propaganda za media na mitandaoni kuongelea jezi za machampion wa nchi na klabu bora afrika mashariki

Team iko bize na mambo ya kiutopolo hata matayarisho ya champions league hayaeleweki, kaongelea pia kuhusu logo yao chafuchafu yenye mabondia kwamba ni wakati sahihi wa kuibadili

Kikubwa zaidi kaliongelea lopolopo , jitu fulani la hovyohovyo ambalo hata Yuda iskarioti huko alipo jehanamu mwenyewe analishangaa


🤣🤣 Kasema kweli,kuna jina lingine hapo MAZUZU FC
 
Jezi ya kwanza mimi kuiona ilikua video aliyonitumia shabiki wa Utopolo kwenye whatsap yangu,uku akiniambia",madekio yenu yamevuja",hapo sasa ndo akawa kanipa tamaa,nikaanza kuzisaka sasa kwa kasi mpaka nikaipata jezi nyeupe.
baada sikumbili mwana Uto mwingine akatuma hapa jf jezi ile ya kijivu kuinanga eti ina makorokoro,doh!,,nakaiona ni kali kuliko nyeupe ikabidi tena nikasake na iyo kijivu.
 
Yeye mbona ndiyo mchumia tumbo sana, manara anataka mkono uwende kinywani, yeye ridhwani kabula ya ubunge alikuwa wapi, Mama yake pamoja na kuwa mke wa raisi miaka kumi bado anachumia tumbo na pesa zote hizo za familia, Ina maana hakuna mtu mwingine anaweza kuwa mbunge hilo Jimbo, lakini yumo tu , mtoto yumo ,baba ndo amekuwa tena foreign minister.
Inaonekana hujui maana ya mchumia tumbo
 
Jezi ya kwanza mimi kuiona ilikua video aliyonitumia shabiki wa Utopolo kwenye whatsap yangu,uku akiniambia",madekio yenu yamevuja",hapo sasa ndo akawa kanipa tamaa,nikaanza kuzisaka sasa kwa kasi mpaka nikaipata jezi nyeupe.
baada sikumbili mwana Uto mwingine akatuma hapa jf jezi ile ya kijivu kuinanga eti ina makorokoro,doh!,,nakaiona ni kali kuliko nyeupe ikabidi tena nikasake na iyo kijivu.
Waache waendelee kuhangaika na jezi ikifika tarehe 12 Rivers wawashangaze.
 
Uzushi mtupu......

Huyu wala si mh.Ridhiwani Kikwete.....

Mmefeli WAJOMBA 🤣🤣🤣
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom