Ukweli huwa unachoma, ndio uvumilie tu kama yule mchumia tumbo wenu anavyovumilia, sasa hivi atakuwa mwekunduuu.
Umeiona na hii?Jezi ya kwanza mimi kuiona ilikua video aliyonitumia shabiki wa Utopolo kwenye whatsap yangu,uku akiniambia",madekio yenu yamevuja",hapo sasa ndo akawa kanipa tamaa,nikaanza kuzisaka sasa kwa kasi mpaka nikaipata jezi nyeupe.
baada sikumbili mwana Uto mwingine akatuma hapa jf jezi ile ya kijivu kuinanga eti ina makorokoro,doh!,,nakaiona ni kali kuliko nyeupe ikabidi tena nikasake na iyo kijivu.
Mimi naona hii
Kwa hiyo sio mzee JK na mzee Sunday tena?Utopolo anaejitambua ni rizmoko tu
Mi nishauza nguo,huwa inatokea kwenye robota unakutana na nguo au bidhaa imechanika,aidha pengine labda ilo robota la nguo lililaliwa na kitu chenye ncha lilipokuwa store au wakati wa usafirishaji.
Usiombe ujipendekeze kwa watoto wa baba mwingine halafu kila ukijitahidi kuropoka jamaa hawana habari na wewe, Manara asipokuwa makini anaweza kujinyonga.Halafu umegundua baada ya hiyo Audio,Manara kaacha na kupost Vijembe kwa Simba,nahisi amegundua kuwa Wanazi wa Yanga wenye Yanga yao bado hawajamkubali,na mbaya zaidi hana uwezo hata kumnanga Riz 1,ataishia kuwa mwekunduu kama ulivyosema
Kweli nyie Mbumbumbu FC! Mlimkopesha almost nusu ya thamani ya klabu kwa 20B halafu hapa mnasema Mo ana vision for Simba!! Au mmesahau Mwamedi alijifanya kuanzisha timu, lakini alipoona timu haina mashabiki, ndo akaamua kwenda Makorokoro FC ili afanikishe malengo yake ya kibiashara.Mo ntu ya dili lakini ana vision wapi anataka kuiona Simba ila ndugu zetu GSM wapigaji tu wapo kibiashara tu.
Sawa tusubiri lawama kwa TFF na Karia season itaanza hivi karibuni.Kweli nyie Mbumbumbu FC! Mlimkopesha almost nusu ya thamani ya klabu kwa 20B halafu hapa mnasema Mo ana vision for Simba!! Au mmesahau Mwamedi alijifanya kuanzisha timu, lakini alipoona timu haina mashabiki, ndo akaamua kwenda Makorokoro FC ili afanikishe malengo yake ya kibiashara.
Ni kweli kabisa hata kama ni wewe huwezi ukafanya biashara hasaraMo ntu ya dili lakini ana vision wapi anataka kuiona Simba ila ndugu zetu GSM wapigaji tu wapo kibiashara tu.
Kusoma hujui, hata picha ukutanai huzioni?! Kile kifungo cha miaka 5 dhidi ya Mwakalebela kimeishia wapi?! Kile kifungo cha miaka 3 dhidi ya Bumbuli kiliishia wapi?! Kama TFF wanatenda haki, kwanini basi kila adhabu wanayotoa dhidi ya Yanga baadae inaonekana ni batili?Sawa tusubiri lawama kwa TFF na Karia season itaanza hivi karibuni.
Kusoma hujui, hata picha ukutanai huzioni?! Kile kifungo cha miaka 5 dhidi ya Mwakalebela kimeishia wapi?! Kile kifungo cha miaka 3 dhidi ya Bumbuli kiliishia wapi?! Kama TFF wanatenda haki, kwanini basi kila adhabu wanayotoa dhidi ya Yanga baadae inaonekana ni batili?