Augustino Mrema: Behind the Scene

Ni kiongozi pekee wa upinzani aliyepigwa mabomu kuliko wote.
Mpiga mabomu baadaye akaja kuwa IGP (mahita)
 
ni mwanasiasa pekee aliyewahi kuwa mbunge kwenye vyama vitatu tofauti...vunjo akiwa ccm, temeke akiwa nccr, na sasa vunjo tena akiwa na TLP, Jogoo
 
Alitoa somo kwa Rais wa nchi kutokwenda katika kampeni za chaguzi ndogo kwani baada ya Ben na serekali yake kuangukia pua pale temeke alikoma kwenda kwenye kampeni za by-election.
 
  1. Mujahidina waliovunja mabucha ya Kitimoto pale magomeni kagera hawatomsahau kwa kichapo walichoshushiwa
  2. Ni waziri pekee aliekuwa anaingia front line kusaka polisi wanakula rushwa kuvusha mali za magendo.
  3. Mkristu ambae mda wote ametinga kibarakashea
  4. alianzisha utaratibu wa kuwazawadia wananchi wanaofichua uhalifu. kwa kuwapa 10%
  5. Alianzisha utaratibu wa kukutana na wananchi one to one ambapo baadae mzee Mwinyi akau copy
 
Alisema yeye ni Jogoo na Mrema mdogo aliyekuwa ana gombea Vunjo ni Mtetea..... Mrema is really brainy..... ni ugonjwa gani sijui umemkabaaa.... anadhoofika daily.....
 
Alisema yeye ni Jogoo na Mrema mdogo aliyekuwa ana gombea Vunjo ni Mtetea..... Mrema is really brainy..... ni ugonjwa gani sijui umemkabaaa.... anadhoofika daily.....

Unamaanisha lile jogoo la Lusinde pale Usa River?? Lol... walau nimetabasamu.
 
hii thread kaanzisha mwenyewe mzee wa kiraracha pole sana mzee

Mkuu najua hujapendezwa na kile kilicho elezwa hapo juu, ila ki'ukweli yakupasa kumpatia Mrema heshima. huyu mzee anafanya kazi zake vizuri sana, yan beyond our expectations, pamoja ni mzee anawakamata mafisadi vyema! MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE APEWE. BIG UP DR. MREMA!
 
Join Date : 18th March 2007
Location : Bremen
Posts : 2,834
Rep Power : 5267
Likes Received195
Likes Given141


majungu.blogspot.com...nasikia utaaaaaaaaaamuuuuuuuuuuu
 
Mwache huyu mzee apumzike na hata afya yake imekuwa mgogoro, naona kama unampigia Debe!!!
 
Heshima kwako Idimi Mnazi mwenzangu wa mashetani wekundu.


Naomba niweke records sawa.Cheo cha naibu waziri mkuu kiliwahi kushikwa na Mheshimiwa Salim A Salim kipindi hicho Rais alikuwa Mzee Ruksa waziri mkuu alikuwa Mzee J Warioba kabla hajapigwa chini na nafasi yake kushikwa na Cigweimisi Malecela.Mrema A L alipewa nafasi ya nibu waziri mkuu baada ya kumaliza mgogoro wa Meru ambao ulikuwa umetia doa serekali ya Mzee Ruksa.

 
Ni mwanasiasa mbunifu vituo vidogo vya polisi ni ubunifu wake.
 
Ni mwanasiasa mbunifu vituo vidogo vya polisi ni ubunifu wake.
Alimpiga mkwara singa singa akafa kwa presha mjini Arusha, baada kutaka Yeye (mr singh) na wakili wake wamuone ndani ya siku saba ! Siku ilipofika Mrema akapokea summons ya Mahakama Kuu. Akamtaka radhi Wakili !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…