Dr Mrema lyatonga is a moving corpse!
kama marehemu mama na baba yako, coprse zao bado zina move...........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Mrema lyatonga is a moving corpse!
mkuu mamdenyi inaelekea tumetoka sehemu moja, mbonyi mbee
Noted.Nendeni mkajifunze kiswahili upya jamani lol, hamua=amua, hacha=acha, hogopa=ogopa.......mko wengi na mnakera sana.
Alisema yeye ni Jogoo na Mrema mdogo aliyekuwa ana gombea Vunjo ni Mtetea..... Mrema is really brainy..... ni ugonjwa gani sijui umemkabaaa.... anadhoofika daily.....
hii thread kaanzisha mwenyewe mzee wa kiraracha pole sana mzee
Mnyonge Mnyongeni, lakini haki yake mpeni.
Katika kikao cha saba cha bunge lilohitimishwa jana, kamati yake ya Hesabu za serikali a mitaa ilitoa ripoti moja nzuri sana juu ya ubadhirifu mkubwa ulioonekana katika serikali za mitaa. Kamati yake, tofauti na kamati nyingine za bunge, ilithubutu kutaja kwa majina na mahali walipo wahusika wa ubadhirifu wa mali za halmashauri na kutoa mapendekezo mazuri sana ya hatua za kuchukua dhidi ya wahalifu hao na namna ya kuzuia wizi huo kwa siku zijazo. Mheshimiwa huyu aliongea kwa uchungu sana namna anavyoumizwa na wizi huu, huku huduma za kijamii zikizorota kwa kukosa pesa.
Behind the Scene (vibwagizo)
- Mrema ni mtu pekee ambaye amewahi kupewa cheo kisichotambulika katika katiba ya nchi (Naibu waziri Mkuu), enzi za mzee Ruksa. Enzi hizo pia alikuwa ni waziri wa mambo ya ndani na utendaji wake ulijulikana sana.
- Ni mtu pekee ambaye amekuwa mbunge katika majimbo mawili tofauti. Alikuwa mbunge wa Jimbo la Temeke mkoani Dar Es Salaam mnamo mwaka 1996 baada ya mahakama kutengua ubunge wa Ally Kihiyo, ambaye alighushi elimu yake katika wasifu wake, na kwa sasa Mrema ni mbunge wa jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro
- Ni mtu pekee ambaye amekuwa mwenyekiti wa vyama viwili tofauti vya kisiasa kwa nyakati fofauti na amegombea uraisi kupitia vyama hivi viwili tofauti. Alikuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mnamo mwaka 1995 enzi hizo Mabere Marando akiwa katibu mkuu na aligombea ubunge mwaka huo. Alihama NCCR na kuhamia TLP ambako alimpindua Leo Lwekamwa na kumtimua Thomas Ngawaiya aliyemkuta hapo, na amegombea uraisi mara mbili kwa tiketi ya chama hiki.
- Ni mmoja wa wabunge waliokunywa 'Kikombe' cha Babu Ambilikile Mwasapile wa Loliondo
Mwenye vibwagizo zaidi aongezee
Nawasilisha
Nendeni mkajifunze kiswahili upya jamani lol, hamua=amua, hacha=acha, hogopa=ogopa.......mko wengi na mnakera sana.
Wanasema ana kisukari kikali sana na presha ! Sasa hayo magonjwa yanasifa ya kushambulia chini ya mkanda !Mrema ndiyo JOGOO PEKEE LINALO WIKA TANZANIA
Alimpiga mkwara singa singa akafa kwa presha mjini Arusha, baada kutaka Yeye (mr singh) na wakili wake wamuone ndani ya siku saba ! Siku ilipofika Mrema akapokea summons ya Mahakama Kuu. Akamtaka radhi Wakili !Ni mwanasiasa mbunifu vituo vidogo vya polisi ni ubunifu wake.