Augustino Mrema kufunga ndoa Machi 24, 2022. Amepata kimwana mdogo

mzee naona ,anahamu ya kuondoka mapema.hajajifunza kwa tajiri wa ayipipi midia!!? Hako kabint katazaa mtt na msela wake ,halafu mzee asingiziwe wake. Baada yapo tujiandae kupata thread za ugomvi wa mirathi!! Hawa wazee wa Kanda maalum sijui vipi!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…