Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Pohamba amejibu sawa KabisaSuccession ya ufalme Uingreza inakuwaje? Charles ndiye anakuwa King, why Charles and not any other member from the royal family? Malkia na King wanakupatikanaje?
Mwenyekiti anapatikana by default baada ya kuwa Rais wa nchi hata kama ni Kichaa.Nadhani Pohamba amejibu sawa Kabisa
Hapo Chadema mwenyekiti anapatikanaje? Samahani lakini rafiki yangu!
Pole na msiba wa Bibi ako mkwe ewe Mrs Prince WilliamIts a birth right...u take after ur parent
There is a defined line of ascension to the throne...
Na inafata uzao wa mzaliwa wa Kwanza na familia yake
TunashukuruPole na msiba wa Bibi ako mkwe ewe Mrs Prince William
UmeshafuraMwenyekiti anapatikana by default baada ya kuwa Rais wa nchi hata kama ni Kichaa.
Uzi na ufungwe jibu tayari hukuWafalme wote; Kunakuwa na mtu fulani mbabe. Anakusanya jamaa zake, wanapiga watu na kuanza kuwatawala. Hawafanyi kazi bali wanawatoza kodi hao watu na kuishi kifahari. Wale jamaa zake nao wanapewa vyeo vinono. Kisha wanatunga stori kuwa utawala wao umepangwa na Mungu na kuwa wao na vizazi vyao ndiyo wenye haki ya kutawala. Viongozi wa dini nao wanakubaliano na kuwafundisha watu hivyo, maana nao kuna chochote wanapata.
So, wafalme unaona leo ni vitukuu wa mbabe fulani huko zamani.
[emoji1787][emoji1787]Mwenyekiti anapatikana by default baada ya kuwa Rais wa nchi hata kama ni Kichaa.
Nalo nenoWafalme wote; Kunakuwa na mtu fulani mbabe. Anakusanya jamaa zake, wanapiga watu na kuanza kuwatawala. Hawafanyi kazi bali wanawatoza kodi hao watu na kuishi kifahari. Wale jamaa zake nao wanapewa vyeo vinono. Kisha wanatunga stori kuwa utawala wao umepangwa na Mungu na kuwa wao na vizazi vyao ndiyo wenye haki ya kutawala. Viongozi wa dini nao wanakubaliana na kuwafundisha watu hivyo, maana nao kuna chochote wanapata.
So, wafalme unaona leo ni vitukuu wa mbabe fulani huko zamani.
Wafalme wote; Kunakuwa na mtu fulani mbabe. Anakusanya jamaa zake, wanapiga watu na kuanza kuwatawala. Hawafanyi kazi bali wanawatoza kodi hao watu na kuishi kifahari. Wale jamaa zake nao wanapewa vyeo vinono. Kisha wanatunga stori kuwa utawala wao umepangwa na Mungu na kuwa wao na vizazi vyao ndiyo wenye haki ya kutawala. Viongozi wa dini nao wanakubaliana na kuwafundisha watu hivyo, maana nao kuna chochote wanapata.
So, wafalme unaona leo ni vitukuu wa mbabe fulani huko zamani.
SIKUSHANGAI MANA WATANZANIA 99.99% NI KAMA WEWEAnapatikana kwa kubet
CCM mwenyekiti anapatikanaje?Nadhani Pohamba amejibu sawa Kabisa
Hapo Chadema mwenyekiti anapatikanaje? Samahani lakini rafiki yangu!
hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa Mungu yupo, ni mastory tu ya watu walitunga yakaota mizizi isiyoweza kun'goleka!Mungu
Ajira hakunaSIKUSHANGAI MANA WATANZANIA 99.99% NI KAMA WEWE