Aunt Ezekiel anamaanisha nini kuonesha hii alama?

 
Diamond bwana! mademu zake aliowapitia ndio anawaunganishia madansa na wasanii wa lebo yake!
Pamoja na wasanii wake mfano Harmo amempa Wolper

Enzi hizo unaambiwa Wolper alikuwa hasikii kitu kwa dai tena kipindi hicho dai alikuwa wa kawaida sana alafu Wolper enzi hizo yupo juu sana, maskini ya Mungu Wema akamnyang'anya Wolper dai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…