Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Itakuwa!Mbona kama anafanyiwa vipimo vya macho?
"Funga jicho moja, soma zile herufi pale"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa!Mbona kama anafanyiwa vipimo vya macho?
"Funga jicho moja, soma zile herufi pale"
Mtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman" Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni mfuasi wa dini ya kishetani ya illuminati
View attachment 406150
Wafuasi wengine wa dini hiyo
View attachment 406151
View attachment 406152
View attachment 406153
View attachment 406154
View attachment 406155
Naona maisha yashaanza kumshinda akaona siyo kweli hawezi kufa na kiu baharini ngoja ajaribu upande wa pili
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati##siyo mtu##wa mchezo mchezo##[/QUOTEana muenzi mzee gurumo
Damn,nmecheka knoma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda Illuminati wa Sumbawanga.
Pamoja na wasanii wake mfano Harmo amempa WolperDiamond bwana! mademu zake aliowapitia ndio anawaunganishia madansa na wasanii wa lebo yake!
Diamond bwana! mademu zake aliowapitia ndio anawaunganishia madansa na wasanii wa lebo yake!
Ili wasiende mbali, sometimes timing ikikaa fresh anapiga la fasta Ata toilet.
😀😀😀Ili wasiende mbali, sometimes timing ikikaa fresh anapiga la fasta Ata toilet.
bwege kweli kwa nn usi seme tangaLabda Illuminati wa Sumbawanga.