Kwa macho yangu ya kibinadamu, naona kama bwana harusi mdogo sijui!
Anyways, hayo ni ya kibinadamu bado nawatakia heri kwenye maisha yao ya ndoa. Tusimshambulie Aunt jamani, kwani kila binadamu ana nafasi ya kubadilika na kusonga na maisha kiupya...remember every devil has a future and every saint had an evil past.....wahenga walinena jama....
Anyways, hayo ni ya kibinadamu bado nawatakia heri kwenye maisha yao ya ndoa. Tusimshambulie Aunt jamani, kwani kila binadamu ana nafasi ya kubadilika na kusonga na maisha kiupya...remember every devil has a future and every saint had an evil past.....wahenga walinena jama....