Aunty Ezekiel: Natamani kupata mtoto

Aunty Ezekiel: Natamani kupata mtoto

Aaah ule mtandao hamna kitu...tena kabla ya hapo alishafumuliwaga sema hiyo siku ni kwa sababu ya sembe ndo maana akaharisha sana! Yan bongo movie waliitana kujisevia na kipindi hicho ndo Wema ana kile kijungu cha mchina walikipakua sana...Naskia na msela PHD hapo ndo alipopata maujuzi ya kupakua na kupakuliwa mtandao...Emb Muuza Sura uje uverify haya makitu..!

Binamu tiririka kwa hiyo hemed naye akaliwa tigo apo apo na yeye, wonders shall never end in this land
 
Last edited by a moderator:
Aaah ule mtandao hamna kitu...tena kabla ya hapo alishafumuliwaga sema hiyo siku ni kwa sababu ya sembe ndo maana akaharisha sana! Yan bongo movie waliitana kujisevia na kipindi hicho ndo Wema ana kile kijungu cha mchina walikipakua sana...Naskia na msela PHD hapo ndo alipopata maujuzi ya kupakua na kupakuliwa mtandao...Emb Muuza Sura uje uverify haya makitu..!

Ndo mana sura imemshuka kama mzee na huo ufirauni wao eti staa mxiuuu hapo akiaachia sh...z ni shida kazi anayo kweli
 
Last edited by a moderator:
yani apa binamu natetemeka, mmh nisije mwagiwa tindikali bure, maana nasikia mtandao ni mzito na wanapata support kutoka kwa viongoz wa juu kabisa, ebu ngoja nisikie umbea kwanza, maana hata apa ata hamu ya kula sina binamu nshashiba, nshapata kitulizo cha roho naenda zangu kupata mbil tatu nkalale

Hahahaa umeshiba umbea binamu. Umbea kitulizo cha roho yako

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmh mbona ntakuwa silali leo mwenzenu, haya binamu G Sam endelea kutusimulia hayo maajabu ya hawa so called superstars. Binamu warumi endelea tu kukusanya data, yani kama nakuona ulivyo-concentrate kusikiliza utadhani unapata lecture uje upige test vizuri hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mmh mbona ntakuwa silali leo mwenzenu, haya binamu G Sam endelea kutusimulia hayo maajabu ya hawa so called superstars. Binamu warumi endelea tu kukusanya data, yani kama nakuona ulivyo-concentrate kusikiliza utadhani unapata lecture uje upige test vizuri hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Yan binam kungekuwa na test za umbea nadhan ningekuwa genius darasan maan ninge concentrate kwa roho,mwili na moyo wote
 
Last edited by a moderator:
Yan binam kungekuwa na test za umbea nadhan ningekuwa genius darasan maan ninge concentrate kwa roho,mwili na moyo wote

Aaah kwa umbea tu binamu mbona ungekuwa Tanzania One na vyuoni ungekuwa na first class mwanzo mwisho hahaha, nakuaminia sana kwenye hii sector

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaan body namaanisha ajae ajae kifua,sasa kifua cha panzi khaa!!!!!!mwanaume gani huyoo

We sura aah ata hujali binamu yangu ata mwanaume awe na sura ka dafu la kimbiji we twende ilimrad awe na kifua? Aya binamu na unayawez
 
We sura aah ata hujali binamu yangu ata mwanaume awe na sura ka dafu la kimbiji we twende ilimrad awe na kifua? Aya binamu na unayawez

Mwanaume hasifiwi suraa amekua demu, aku! !!!
 
eeeeenh!

ebaneeeeeeenh!

i like this mbinuko... its amazing!

attachment.php
 
Back
Top Bottom