warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #61
Aaah ule mtandao hamna kitu...tena kabla ya hapo alishafumuliwaga sema hiyo siku ni kwa sababu ya sembe ndo maana akaharisha sana! Yan bongo movie waliitana kujisevia na kipindi hicho ndo Wema ana kile kijungu cha mchina walikipakua sana...Naskia na msela PHD hapo ndo alipopata maujuzi ya kupakua na kupakuliwa mtandao...Emb Muuza Sura uje uverify haya makitu..!
Binamu tiririka kwa hiyo hemed naye akaliwa tigo apo apo na yeye, wonders shall never end in this land
Last edited by a moderator: