Aaah ule mtandao hamna kitu...tena kabla ya hapo alishafumuliwaga sema hiyo siku ni kwa sababu ya sembe ndo maana akaharisha sana! Yan bongo movie waliitana kujisevia na kipindi hicho ndo Wema ana kile kijungu cha mchina walikipakua sana...Naskia na msela PHD hapo ndo alipopata maujuzi ya kupakua na kupakuliwa mtandao...Emb Muuza Sura uje uverify haya makitu..!
Aaah ule mtandao hamna kitu...tena kabla ya hapo alishafumuliwaga sema hiyo siku ni kwa sababu ya sembe ndo maana akaharisha sana! Yan bongo movie waliitana kujisevia na kipindi hicho ndo Wema ana kile kijungu cha mchina walikipakua sana...Naskia na msela PHD hapo ndo alipopata maujuzi ya kupakua na kupakuliwa mtandao...Emb Muuza Sura uje uverify haya makitu..!
Ndo mana sura imemshuka kama mzee na huo ufirauni wao eti staa mxiuuu hapo akiaachia sh...z ni shida kazi anayo kweli
HahahahahahahahNdo mana sura imemshuka kama mzee na huo ufirauni wao eti staa mxiuuu hapo akiaachia sh...z ni shida kazi anayo kweli
yani apa binamu natetemeka, mmh nisije mwagiwa tindikali bure, maana nasikia mtandao ni mzito na wanapata support kutoka kwa viongoz wa juu kabisa, ebu ngoja nisikie umbea kwanza, maana hata apa ata hamu ya kula sina binamu nshashiba, nshapata kitulizo cha roho naenda zangu kupata mbil tatu nkalale
HAhahahaaa......sasa hao viongozi hizo pesa si wakafadhili mahospitalini!!!
binamu njooo tupate Wine hapa tushushie umbea
Heaven on Earth, Dinazarde, geniveros, TATIANA, amu, mamakibunju, Mrembo by Nature, BADILI TABIA, Ruttashobolwa, lusungo, zavi, Matola, princess sayuni, qn of sheba, Tour De France, zavi, matumbo, ramu aka mama warumi, Madam B, Heaven Sent, Mimi ebu piteni uku muone balaa la LAMADA HOTEL
Mmh mbona ntakuwa silali leo mwenzenu, haya binamu G Sam endelea kutusimulia hayo maajabu ya hawa so called superstars. Binamu warumi endelea tu kukusanya data, yani kama nakuona ulivyo-concentrate kusikiliza utadhani unapata lecture uje upige test vizuri hahaha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Yan binam kungekuwa na test za umbea nadhan ningekuwa genius darasan maan ninge concentrate kwa roho,mwili na moyo wote
Yan binam kungekuwa na test za umbea nadhan ningekuwa genius darasan maan ninge concentrate kwa roho,mwili na moyo wote
Yaan kana mwili kama kavulana khaa hakajajaa hata kidogoo lo
Yaan kana mwili kama kavulana khaa hakajajaa hata kidogoo lo
Kamejaa kwenye waleti..
Ajae wapi sasa binamu, mbele au nyuma?
We sura aah ata hujali binamu yangu ata mwanaume awe na sura ka dafu la kimbiji we twende ilimrad awe na kifua? Aya binamu na unayawez