Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ni nini? unaelewa nini kuhusu dini?Ni somo pana zaidi ya pure mathematics kwa sababu hata namba zinatumika kwa Advanced learners .
1.Anza kumeditate
2.Acha kuamini dini yako
3.Follow guidance from within
4.acha kuamini uchawi
5.Follow your feelings
6.Develop your intuition by meditating.
Tafuta thread ya how to meditate then follow procedures
Angalia Vizuri Yawezekana Umeona Ya Muda huo na hiyo alama inahisiana na ubaya ubaya yawezekana ww ni mwizi pia au mchawi au jambazi ama kunatukio baya ulishafanya jeusiAisee mbona kama mie nipo njia panda vile nimejicheki nimegundua kuwa nina aura nyeusi nimeogopa sana wakati hata uchawi wa kutumia ndula siujua au wananichukuaga najumuika nao usiku?Pia hii inaweza ikawa ishara ya kuwa nimerogwa au?
cc Rakims
Hakikisha unaangalia zaidi ya mara saba kwa kurudia kwenye hali tofauti tofauti na mwanga tofauti tofauti ili macho yaweze kuzoea ndipo uendelee na hatua ya pili tatu nne hadi tano..Nimeangalia baadhi ya rangi njano imesoma blue na kijani imesoma zambarau je ni kweli mkuu
Big upHapana Aura Yako Ni moja mkuu sema unaigizia nyingine hapo sio yako na ya kukuongoza ni moja tu,
tunarudi pale pale mtu anakua anapenda kula halafu anapendeshwa kuoga vitu viwili tofauti...
naaanisha ulivyojilea umejiweka kwenye aura mbili lakini yako ni moja na utaijua kwa kufungua kichwa zaidi
Rakims
Namba 2 ndo mnavyoeneza u-atheism wenu hivyo?Ni somo pana zaidi ya pure mathematics kwa sababu hata namba zinatumika kwa Advanced learners .
1.Anza kumeditate
2.Acha kuamini dini yako
3.Follow guidance from within
4.acha kuamini uchawi
5.Follow your feelings
6.Develop your intuition by meditating.
Tafuta thread ya how to meditate then follow procedures
Sijakuelewa mkuu!Ipo katika madhali gani ipo sealed au inatambaa kama nuru hivi?
rakims
Ni kama inatambaa hvI mean ulipokua unaiona ipoje kati ya hizi mbili
View attachment 421868
View attachment 421869
rakims
Unaleta uchawi kwa style mpya eti acha kuamini dini yako kwahiyo nikuamini weweNi somo pana zaidi ya pure mathematics kwa sababu hata namba zinatumika kwa Advanced learners .
1.Anza kumeditate
2.Acha kuamini dini yako
3.Follow guidance from within
4.acha kuamini uchawi
5.Follow your feelings
6.Develop your intuition by meditating.
Tafuta thread ya how to meditate then follow procedures