Ni aibu kwa kweli,yaan mpaka parcel inatoka bongo ujue kuna hatua 3
1.Physical inspection ambayo hufanywa na customs na watu maliasili na usalama,Document vs Kilichopo ndani package
2.Kuna Mbwa maalumu ambao hupitia parcel zote before kwa Kunusa
3.Scanner, ambapo mizigo yote inakuwa screened kabla ya kuwatayari kupakiwa airport.
How come vyote hivi havikuonekana/Kuweza gundua.
Inaweza ikawa pia havikutoka Tz.Ila kwa video wakaguzi wa Australia wanasema ni kutoka Tanzania na Kibali Kutoka Tz .je kibari nacho ni feki?