Wajinga ni nyinyi, sheria za nchi ziko wazi. Mnyama akizeeka anauzwa kwa mnada watu wanamlamba risasi wanachukuwa mabaki yake kihalali kabisa.Bi MKORA unamahaba na ccm mpaka umekua mjinga mazima!! Huu upupu ni wa kuandika hapa kweli?
Aiseee umenionesha kitu nilichokuwa sikioni miaka yote hii, AsanteNakala kwa :Lucas Mbwa Wa Shamba.
Yaani mnashangaa na kusikitika kuuliwa Simba lakini kuuliwa watu kwa maelfu na Nyerere huku Zanzibar pamoja na kuuliwa watu kila uchaguzi hamustaajabu wala kusikitikaInasikitisha sana, watu wakubwa wakiua simba na chui huku wanatamba mtaani, halafu hapa nyumbani kuna mtu amepewa mvua ya miaka gerezani kwa kukutwa na nyama ya tandala.
Duninani hakuna usawa kabisa!
Wajomba wamepewa mapori wafanye wayatakayo, Bunge letu litoe tamko tulisikieNi nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
View attachment 2742926
Unajua hiyo taarifa ya lini? Au mnajirushia tu mambo?Ni nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
View attachment 2742926
Wewe ni mpumbavu sana hao hao wanaoua watu ndio hao hao wanaoiba rasilimali za nchi yetu kwa kutumia makaratasi kwa njia zisizofaa.Yaani mnashangaa na kusikitika kuuliwa Simba lakini kuuliwa watu kwa maelfu na Nyerere huku Zanzibar pamoja na kuuliwa watu kila uchaguzi hamustaajabu wala kusikitika
Eti Serengeti shall never die, safari hii the Serengeti is dying.Ni nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
View attachment 2742926
Chadema wametoka wapi hapa kama mmeshindwa na hii aibu yenu acheni vyam vya watuMACHADEMA ni majizi jamani!!
Wewe nawe acha unazi wa kishamba kutetea kila kitu,lile Box wame-scan wameona image haieleweki na Box limeandikwa details za uongo na ndiyo maaana wamelifungua ndiyo wakakuta zile nyara za serikali.Inamaana kama sheria ingefuatwa kuna utaratibu wa kusafirisha kimataifa!Silioni tatizo kama sheria na kanuni zilifatwa.
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Ila hawa Majambazi wa CCM usijekukuta ata sisi raia wa Tanganyika tunatafutiwa soko mahala tuuzwe![emoji1787]Mbona video ya kutengeneza hii..sio uhalisia na ulichoandika!! Hiyo ngozi ya chui si ndio ile alievishwa samia na machifu?
Halafu.wazungu waache ujinga..simba ni simba na chui nichui wataitaje nyau wakubwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini yule Biosecurity officer ame-suspect kama ni halali?Hakuna uhujumu wowote hapo, unafahamu maana ya uhujumu uchumi wewe?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Som hii nini?:
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Sasa wamescan, si lazima walinde usalama wa kwao? Au?Wewe nawe acha unazi wa kishamba kutetea kila kitu,lile Box wame-scan wameona image haieleweki na Box limeandikwa details za uongo na ndiyo maaana wamelifungua ndiyo wakakuta zile nyara za serikali.Inamaana kama sheria ingefuatwa kuna utaratibu wa kusafirisha kimataifa!
Waziri wa utalii alikuwa naniNi nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
View attachment 2742926