Sijapata PMs kihivyo sijui big braza unaniekea kamkono hapo???? nabadilisha nieke inayoappeal zaidi halafu nione kama nitapata PMs nyingi au unasemaje????
hapana FL1.Ada ya mja hunena,muungwana ni vitendo.hee carmel kumbe ndo umetoa Avatar tayari hebu irudishe bwana mtu mzima hatishiwi nyau!!
mwaya wee wach nisiwakwaze wananchi my sister.
bora ukafanya hivyo!THIS IS WHAT ANY RESPONSIBLE AND MARRIED WOMAN WILL DOI know but what can i do? nachoka kuwaambia kwamba I am successful and happily married and that i dont need any of them. Natafuta avatar itakayotoa hii msg.
wewe wasiliana na invizibo mojakwamoja.Lakini nadhani umeepuka vishawashi vingi kwa tatizo hilo.Jamani nisaidieni,mi sioni avatar hata moja,hata yangu mwenyewe siioni,imesababishwa na nini,ni muda mrefu sasa!!
umeona eeh, hata mi nimejaribu nimeshindwa. anyway thanks for trying.
Usikimbie jamani, mmmh. hata mi nashangaa kulikoni leo hivi, halafu live live.
nilijipa pumziko la moyo my dear kunguru mwoga mie............am back
usianze kunisema mie nakusikia...😀
sasa nyie hata avatar zinawagusa... lol... this shows how ur brain function... sisi wanawake tunakuwa hatukusidii hivyo... hata ukivaa nguo ukapendeza mijitu itaaanza kukubore kama umewavalia wao... 😕
nashanga
sasa tabu ote ya nini kubadili ma-ID?????/// mnakimbia majukumu ya kuwa wanawake????????? huo mnaoita usmbufu ndio fursa za pekee kwenu kuirekebisha na hata kuitawala dunia kama mnataka. ndio mpango wa Mungu huo msichoke mapema hivi jamani, hamtaki tuwatongoze.............mmesahau maji hufuata mkondo?....................hata mkibadili, mtatongozwa tu. si mnatembea na kudhibiti"miundombinu stareheshi"??????.
haya anzeni kututongoza nyie kama mnaweza....................
AK-47.....................
yangu inamsumbua mtu yeyote?