Avatar

Avatar

Sijapata PMs kihivyo sijui big braza unaniekea kamkono hapo???? nabadilisha nieke inayoappeal zaidi halafu nione kama nitapata PMs nyingi au unasemaje????

Ili mradi isihusishe maeneo ya baioloji, ukipata mimba usinilaumu. Hujasikia mambo ya manyoya? Huoni dadako Lily Flower kaamua kuweka milonjo yake kwa avatar? Watu wanahangaika na misheshe yeye anachapa mwendo!
 
hee carmel kumbe ndo umetoa Avatar tayari hebu irudishe bwana mtu mzima hatishiwi nyau!!
 
Jamani kuuliza si ujinga ila ni kutojua na kutaka kujua. Hivi hii Avatar mnayoongelea ni nini? Manake hapa kenya ninapoishi Avatar ni ile filamu ilotoka majuzi na kuvunja record ya Titanic. Samahani jamani nina muda sijaja home ndo maana hii slang siifahamu!
icon8.gif
 
Jamani rudisha avatar Carmel please please please it wont be the same again
 
Jamani rudisha avatar Carmel please please please it wont be the same again
I know but what can i do? nachoka kuwaambia kwamba I am successful and happily married and that i dont need any of them. Natafuta avatar itakayotoa hii msg.
 
I know but what can i do? nachoka kuwaambia kwamba I am successful and happily married and that i dont need any of them. Natafuta avatar itakayotoa hii msg.
bora ukafanya hivyo!THIS IS WHAT ANY RESPONSIBLE AND MARRIED WOMAN WILL DO
 
Jamani nisaidieni,mi sioni avatar hata moja,hata yangu mwenyewe siioni,imesababishwa na nini,ni muda mrefu sasa!!
 
Jamani nisaidieni,mi sioni avatar hata moja,hata yangu mwenyewe siioni,imesababishwa na nini,ni muda mrefu sasa!!
Leo Invisible anatembelea huku sana sijui vp anazichomoa nini?
 
Nimesaidiana na wewe kufatuta avatar hata siipati kwani invisible amezitoa hata kwenye google
 
Usikimbie jamani, mmmh. hata mi nashangaa kulikoni leo hivi, halafu live live.

nilijipa pumziko la moyo my dear kunguru mwoga mie............am back

usianze kunisema mie nakusikia...😀

sasa nyie hata avatar zinawagusa... lol... this shows how ur brain function... sisi wanawake tunakuwa hatukusidii hivyo... hata ukivaa nguo ukapendeza mijitu itaaanza kukubore kama umewavalia wao... 😕

nashanga


sasa tabu ote ya nini kubadili ma-ID?????/// mnakimbia majukumu ya kuwa wanawake????????? huo mnaoita usmbufu ndio fursa za pekee kwenu kuirekebisha na hata kuitawala dunia kama mnataka. ndio mpango wa Mungu huo msichoke mapema hivi jamani, hamtaki tuwatongoze.............mmesahau maji hufuata mkondo?....................hata mkibadili, mtatongozwa tu. si mnatembea na kudhibiti"miundombinu stareheshi"??????.

haya anzeni kututongoza nyie kama mnaweza....................

AK-47.....................
 
Back
Top Bottom