Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Mkuu nimeanza kukuelewa kwa mbaali sana,sorry kwa kukuita hater,maelezo ya Nyani Ngabu na ufafanuzi wako umeniingia akilini🤝Mkuu ukishaingia kwenye mortgage tayari inatakiwa uwe walao permanent resident au citizen kabisa!
Sasa,kwa AY he has neither!
Hivyo possibility ya mortgage iondoe..Tunabaki na outright buy,ndio tunatua kwenye mziki wa 600,000USD...
Hesabu zote tumepiga hazipo upande wa AY kabisaaaa!
Mzee wa kutikana mimi nme soma Mocàmbique nikikujibu ki portguees humu tuta elewana?Acha kuonesha upumbavu wako..
Hivi mwaka 2018 bado Tanzania tunalalamika kuhusu Kiingereza?
Hivi kweli?Kabisa?
Acha upumbavu kabisa...
Acha kuonesha you are scared of English language..Ni lugha tu,kwanini unaogopa lugha?
Kitu umesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Chuo Kikuu halafu unageuka unaanza kulalamikia lugha?You people are in cocaine kabisa!
Yaani umegeuzia manung'uniko kwenye lugha ya Kiingereza?Really?Mpaka lini tutaacha hiki kilio cha kipumbavu kabisa cha kujitakia?
Ulienda shule kusoma ugoro?Tangu la kwanza mpaka chuo kikuu ulisoma Kiingereza,hivi leo unalia kwasababu ipi kama sio uzembe wako binafsi?
Mapungufu yako usihamishie kwa wengine...Hujui Kiingereza ni your own problem,usilete ngendembwe kabisa!
Unahalalisha uzembe wako binafsi kipuuzi namna hii?
Rudisha ada yetu tuliyokulipia kuanzia la kwanza mpaka chuo kikuu,huna maana,hufai kabisa...
Zembe kabisa!
Hawa jamaa wakienda marekani wanaakuwa na story za kiduanzi kufikiri wao ni intelligents,they know things wakati sometimes "watupu tu". Huko unakuta walienda au wako kwa pesa za baba zao.Mkuu nimeanza kukuelewa kwa mbaali sana,sorry kwa kukuita hater,maelezo ya Nyani Ngabu na ufafanuzi wako umeniingia akilini🤝
Hili povu mkuu, kuna usalama?Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Kiasi gani cha pesa?1.Ay ni msanii kafanya shows kibao kwa muda mrefu.
Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...2.Ay ni mfanya biashara akifanya biashara nyingi za aina mbalimbali kikiwepo kilimo,Ay analima mashamba makubwa ya mpunga kabla Masanja mkandamizaji hajaelekea huko.
3.Ay ni "link" ya music for east africans artists abroa
4.Nimeshuhudia kitambo jamaa ananunua kiwanja sehemu kwa pesa inayozidi 80M Tsh
5.Ay racked in for several years pesa za matangazo kutoka Airtel kwa vipindi vya television kama mkasi hivi
Kingine kakuambia atahamishia makazi huko Marekani(Subiri uone).
6.Ay kapiga pesa za ulanguzi wa cash crops kitambo kabla hazijaanza hizi mambo za sasa hivi,we ulikuwa umelala na "american dreams" zako wadau wanaingia field wanapiga hela. Sisi ambao tuna struggle kwa nguvu kubwa halafu tuna yield poor huwa tuna hasira,tuendelee tu kukomaa tutashinda mkuu
Mzee wa kutikana mimi nme soma Mocàmbique nikikujibu ki portguees humu tuta elewana?
We jamaa una wivu wa kike sana aiseeMkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Mzee naona umekeshea thread. Kapumzike kidogo unywe na maji. AY anapita humu anasema hiiiii. Afu unaandika kwa emotions kichizi hata sijui tatizo lako ni nini.Kiasi gani cha pesa?
AY as a musician ni even smaller than MwanaFA carrier wise!....Hela za kuperform na music sales MwanaFA is above AY day and night!
Can AY perform anywhere on earth kwa 10mil a show?NEVER!
Lets say kafanya collection baada ya costs zake total 100mil so far ,say that.....
Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...
Mashamba "makubwa"?Ukubwa upi?Yapo located wapi?Yanafanya uzalishaji upi?Unajua kulima heka say 3 tu za mpunga ni kiasi gani cha mtaji?
Tumpe ana hekari 100,kuzilima unajua anahitaji mtaji kiasi gani?Hivi wewe una mapepo?
Hivi ulishawahi lima ukajua agricultural inputs uzalishe mazao inatakiwa mtaji kiasi gani?
Kumiliki ardhi ya mapori heka 3,000 kila mtu anazo hizo.......jasho la matako ni mtaji kugeuka hekari 100 au 200 kuzalisha mazao...Ni mtaji zaidi ya milioni 500 kwa hekari 300...
Hapa earning alizokusanya,nikimpendelea sana nimpe 50mil so far!
Hivi mna mapepo nyie?
This is unsubstantiated!
Huna account of this!Umeandika eti "Link"!Are you really serious?Tupe hesabu zake,nani na nani kashalink so far na makusanyo.
By me being so generous tufanye kapata 150mil kwenye hii biashara hewa ya "link" kama ulivyoiita!
Hii uliona wewe..Who are you for us to believe you?
Hell no...
Hapa earning ni 0mil!
Artel au kampuni lolote la simu hua haliongei na msanii yeyote kujenga matangazo!
Matanagazo yanajengwa na Advertising Agencies yaliyopata kazi kutoka haya makampuni ya simu..Hivyo AY anaitwa na anapewa kazi tu kama artist model kutokea kwenye haya matangazo...Ujira wake sasa,upumbavu mtupu!
Na hizi deal wanapata wasanii mbali mbali,tuseme Diamond ndio earner mkubwa kabisa wa hizi maana ndie hottest artist of all time in TZ...AY ni kauka nikuvae!
Again,nikimpendelea sana nimpe 50mil kapata so far!
Hii biashara ya Ulanguzi wa mazao kila mtu anaijua.....Upumbavu mtupu.....
Mazao gani?Mahindi,korosho,Kahawa,etc?
Nikiwa very fair nimpe 70mil made so far kama faida!
HITIMISHO:::::
Jumla ya hela possible alizojenga ni kama 420MILIONI......
Hivi milioni 420 inaweza kununua nyumba ya 1.5BILIONI kama sio mna upungufu wa akili nyie?
UPUMBAVU MTUPU!
Hawa jamaa wakienda marekani wanaakuwa na story za kiduanzi kufikiri wao ni intelligents,they know things wakati sometimes "watupu tu". Huko unakuta walienda au wako kwa pesa za baba zao.
Watu wako bongo walinunua hisa za makampuni makubwa kama Facebook e.t.c ukiuliza hawa wanakwambia asie resident haruhusiwi wakati kuna njia za mzunguko unapitia hata kwa Charles Schwab ukiwa na kama 30 million unaparticipate NYSE sijui NASDAQ, hivyo hivyo na katika Mortgage kuna njia za mzunguko usiwaamini sana hawa wamarekani watanzania wa hela za baba sijui katoliki,wasikilize Ma OG wenzako kama Masanja Ay na mhalifu kama Mponjoli ukibahatika
We jamaa una wivu wa kike sana aisee
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
AY kasoma Iyunga mwaka gani bob kama sio kutudanganya hapa?
Sijasema hawezi,anaweza,ila mpaka sasa nina haki ya kusema ni UONGO maana hata address ya kudhibitisha ilipo hawatoi na pia hesabu tumepiga hazifiki hiyo 1.5bilion ya nyumba Los Angeles California!NEVER!Na kumikili nyumba US mbona yeye hatakuwa wa kwanza!!! wapo wabongo kule wanamiliki mansions sio nyumba tu.
Pia huwezi ukawa unajua deals za pesa anazofanya kila siku mbali na mziki, watu wanatafuta pesa mkuu.
Dah...acha ujinga aiseee[emoji41]Vipi mkuu nimegusa maslai yako?
Mbona huu mjadala ni rahisi sana kuufunga ? Jamaa kaomba adress ya hiyo property ya Ay huko LA .Mpeni address ubishi wote uwekwe hadharani kama ni Ay ndiye mmiliki basi atakuwa amemaliza calories zake bure and vice-versa is true.Nilimwambia jamaa mchizi alikuwa part of crew ya kuandaa event jamaa kawaka hapa sana hahahahah chuki hizi jamani
Haya muhusika kajibu hapo aangalie vizuri
Alichoandika
Jamaa huyu Wyatt ana chuki sana
Halafu Wyatt si ndo yule fala kwa alie uliwa na Alex mahone kwenye prison break mwanzo alikuwa mbabe sana mwisho akafa kifala sana heheheheheh
Ebhana nimekuvulia kofia...Kiasi gani cha pesa?
AY as a musician ni even smaller than MwanaFA carrier wise!....Hela za kuperform na music sales MwanaFA is above AY day and night!
Can AY perform anywhere on earth kwa 10mil a show?NEVER!
Lets say kafanya collection baada ya costs zake total 100mil so far ,say that.....
Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...
Mashamba "makubwa"?Ukubwa upi?Yapo located wapi?Yanafanya uzalishaji upi?Unajua kulima heka say 3 tu za mpunga ni kiasi gani cha mtaji?
Tumpe ana hekari 100,kuzilima unajua anahitaji mtaji kiasi gani?Hivi wewe una mapepo?
Hivi ulishawahi lima ukajua agricultural inputs uzalishe mazao inatakiwa mtaji kiasi gani?
Kumiliki ardhi ya mapori heka 3,000 kila mtu anazo hizo.......jasho la matako ni mtaji kugeuka hekari 100 au 200 kuzalisha mazao...Ni mtaji zaidi ya milioni 500 kwa hekari 300...
Hapa earning alizokusanya,nikimpendelea sana nimpe 50mil so far!
Hivi mna mapepo nyie?
This is unsubstantiated!
Huna account of this!Umeandika eti "Link"!Are you really serious?Tupe hesabu zake,nani na nani kashalink so far na makusanyo.
By me being so generous tufanye kapata 150mil kwenye hii biashara hewa ya "link" kama ulivyoiita!
Hii uliona wewe..Who are you for us to believe you?
Hell no...
Hapa earning ni 0mil!
Artel au kampuni lolote la simu hua haliongei na msanii yeyote kujenga matangazo!
Matanagazo yanajengwa na Advertising Agencies yaliyopata kazi kutoka haya makampuni ya simu..Hivyo AY anaitwa na anapewa kazi tu kama artist model kutokea kwenye haya matangazo...Ujira wake sasa,upumbavu mtupu!
Na hizi deal wanapata wasanii mbali mbali,tuseme Diamond ndio earner mkubwa kabisa wa hizi maana ndie hottest artist of all time in TZ...AY ni kauka nikuvae!
Again,nikimpendelea sana nimpe 50mil kapata so far!
Hii biashara ya Ulanguzi wa mazao kila mtu anaijua.....Upumbavu mtupu.....
Mazao gani?Mahindi,korosho,Kahawa,etc?
Nikiwa very fair nimpe 70mil made so far kama faida!
HITIMISHO:::::
Jumla ya hela possible alizojenga ni kama 420MILIONI......
Hivi milioni 420 inaweza kununua nyumba ya 1.5BILIONI kama sio mna upungufu wa akili nyie?
UPUMBAVU MTUPU!
Watu tunataka kuhama Marekani, tuhamie Mars, nyie ndiyo mnatamba kuwa na nyumba Marekani?
Seriously, hii habari ilivyoletwa mara ya kwanza hapa, nilimtetea AY, watu walisema kadanganya, mimi nikasema what's the big deal?
Sasa naona inarudiwarudiwa sana.
Nini AY, watu tumefanya ya AZ ya "Get High", lakini huwezi kusikia kelele za kilimbukeni.
I got cribs in the suburbs, the hood, and the city
A low crib with the wiz thats pretty
A crew crib where niggas bring biddies
A crib out mid, thats hid like Diddy's
A tropic spot out in the Caymans
A Cali spot the first time I copped
AZ - Get High
Bro bado tu? hahaha plz naomba upumzike kidogo maana daah i feel energy unayoitumia ni kubwa sana.Hili nimeliongelea sana kwenye comments zangu huko juu..Nilikosea ni Ifunda!
Tena alisoma na my close friend darasa moja marehemu Kulembeka Y...Talk to him,he knows this soldier!
Sijasema hawezi,anaweza,ila mpaka sasa nina haki ya kusema ni UONGO maana hata address ya kudhibitisha ilipo hawatoi na pia hesabu tumepiga hazifiki hiyo 1.5bilion ya nyumba Los Angeles California!NEVER!
Give us the address and then we will look for proof ourselves!
Siwezi jua,ila ALL potential earning scenerios za AY au anyone can be analyzed,tume-analyze hapa,hesabu zinamkataa AY 100%!
Sasa sijui kama ana ukoo na BOT kwenda kuzoa magunia ya hela huko mtuambie!And which can NEVER happen!
Kama unakiri huwezi juna kila mishe ya pesa anayofanya basi hakuna haja ya kupinga uwezo wake kipesa.Hili nimeliongelea sana kwenye comments zangu huko juu..Nilikosea ni Ifunda!
Tena alisoma na my close friend darasa moja marehemu Kulembeka Y...Talk to him,he knows this soldier!
Sijasema hawezi,anaweza,ila mpaka sasa nina haki ya kusema ni UONGO maana hata address ya kudhibitisha ilipo hawatoi na pia hesabu tumepiga hazifiki hiyo 1.5bilion ya nyumba Los Angeles California!NEVER!
Give us the address and then we will look for proof ourselves!
Siwezi jua,ila ALL potential earning scenerios za AY au anyone can be analyzed,tume-analyze hapa,hesabu zinamkataa AY 100%!
Sasa sijui kama ana ukoo na BOT kwenda kuzoa magunia ya hela huko mtuambie!And which can NEVER happen!
Mshkaji ni kama walicross path na A Y then anaona mwenzie anatoboa au maybe kakaa sana mbele kabeba box sasa anamind kuona mbongo anamzidi all in all wabongo tupunguze U-KAA sio lazima kuvutana chini mda woteBro bado tu? hahaha plz naomba upumzike kidogo maana daah i feel energy unayoitumia ni kubwa sana.
Ila nina maswali kwako kabla hujaenda kupumzika (lol) unavyotaka Address yaani mleta mada akupe, wachangia mada wakupe au unaongea na AY ndio akupe je AY yupo humu??
Halafu unasema hujakataa hawezi kumiliki nyumba ila akupe uthibitisho hapo hapo tena unasema kwa hela zake hawezi kumiliki kwa hiyo hapo wewe umesimamia wapi? maana nahofia anaweza akakupa address ukathibitisha bado utaanza kuhoji pesa kapata wapi ukizingatia tayari ulishapiga hesabu ukaona hana pesa hiyo.
Ni hayo tu.