1.Ay ni msanii kafanya shows kibao kwa muda mrefu.
Kiasi gani cha pesa?
AY as a musician ni even smaller than MwanaFA carrier wise!....Hela za kuperform na music sales MwanaFA is above AY day and night!
Can AY perform anywhere on earth kwa 10mil a show?NEVER!
Lets say kafanya collection baada ya costs zake total
100mil so far ,say that.....
2.Ay ni mfanya biashara akifanya biashara nyingi za aina mbalimbali kikiwepo kilimo,Ay analima mashamba makubwa ya mpunga kabla Masanja mkandamizaji hajaelekea huko.
Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...
Mashamba "makubwa"?Ukubwa upi?Yapo located wapi?Yanafanya uzalishaji upi?Unajua kulima heka say 3 tu za mpunga ni kiasi gani cha mtaji?
Tumpe ana hekari 100,kuzilima unajua anahitaji mtaji kiasi gani?Hivi wewe una mapepo?
Hivi ulishawahi lima ukajua agricultural inputs uzalishe mazao inatakiwa mtaji kiasi gani?
Kumiliki ardhi ya mapori heka 3,000 kila mtu anazo hizo.......jasho la matako ni mtaji kugeuka hekari 100 au 200 kuzalisha mazao...Ni mtaji zaidi ya milioni 500 kwa hekari 300...
Hapa earning alizokusanya,nikimpendelea sana nimpe
50mil so far!
Hivi mna mapepo nyie?
3.Ay ni "link" ya music for east africans artists abroa
This is unsubstantiated!
Huna account of this!Umeandika eti "Link"!Are you really serious?Tupe hesabu zake,nani na nani kashalink so far na makusanyo.
By me being so generous tufanye kapata
150mil kwenye hii biashara hewa ya "link" kama ulivyoiita!
4.Nimeshuhudia kitambo jamaa ananunua kiwanja sehemu kwa pesa inayozidi 80M Tsh
Hii uliona wewe..Who are you for us to believe you?
Hell no...
Hapa earning ni
0mil!
5.Ay racked in for several years pesa za matangazo kutoka Airtel kwa vipindi vya television kama mkasi hivi
Kingine kakuambia atahamishia makazi huko Marekani(Subiri uone).
Artel au kampuni lolote la simu hua haliongei na msanii yeyote kujenga matangazo!
Matanagazo yanajengwa na Advertising Agencies yaliyopata kazi kutoka haya makampuni ya simu..Hivyo AY anaitwa na anapewa kazi tu kama artist model kutokea kwenye haya matangazo...Ujira wake sasa,upumbavu mtupu!
Na hizi deal wanapata wasanii mbali mbali,tuseme Diamond ndio earner mkubwa kabisa wa hizi maana ndie hottest artist of all time in TZ...AY ni kauka nikuvae!
Again,nikimpendelea sana nimpe
50mil kapata so far!
6.Ay kapiga pesa za ulanguzi wa cash crops kitambo kabla hazijaanza hizi mambo za sasa hivi,we ulikuwa umelala na "american dreams" zako wadau wanaingia field wanapiga hela. Sisi ambao tuna struggle kwa nguvu kubwa halafu tuna yield poor huwa tuna hasira,tuendelee tu kukomaa tutashinda mkuu
Hii biashara ya Ulanguzi wa mazao kila mtu anaijua.....Upumbavu mtupu.....
Mazao gani?Mahindi,korosho,Kahawa,etc?
Nikiwa very fair nimpe
70mil made so far kama faida!
HITIMISHO:::::
Jumla ya hela possible alizojenga ni kama 420MILIONI......
Hivi milioni 420 inaweza kununua nyumba ya 1.5BILIONI kama sio mna upungufu wa akili nyie?
UPUMBAVU MTUPU!