AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Nimpe hongera sijui. Any way.. sina hakika na habari hizi lakini nahisi kabisa anashahiri Pongezi.

Labda mziki wetu wa TZ unalipa sana hivyo kuwafnya ma Underground wengi kuutamani mziki kusudi na wao wajenge States na maeneo mengine Most beautiful and Popular.

Hongera AY
 
B
Bwanamkubwa, mbona povu tena??????????????????
Furahia mafanikio ya mwenzako na utakuwa na amani moyoni
 
Kachafukwaaa[emoji23]
Kuna sehemu kanijibu hadi ka bold na capital letters eti niache upumbavu.Teh teh nikajua hawa ndio wale huwa wanatupiga ngumi mitaani ukitofautiana nae[emoji23][emoji23].
Mara "Whatcha Yu Smokin Yu High On Sum Shit[emoji35]" Lakini tathmini zake za benefit of doubt anataka tukubali,ukibisha tu ..."You Niggaz Are Smokin Sumting Strong ....Stupid Weak As https://jamii.app/JFUserGuide".
Nikakimbia back to back reply ataniua huyuu kisa AY[emoji38][emoji38]
 
Leo mnaikataa nyumba yenu?

Hahahaaaaaa,maajabu aiseee!

AY na mkewe wamesimama hapo cluelessly kama strangers na vipochi vyao makwapani eti ndio nyumba yao!!!

What a LIE!

Kadanganyeni watoto!
Hii picha aliipost tangu july huko, mawasiliano ya dada Sheila hayo hebu cheki nae, halafu ni California sio LA, AY bado hajapatikana jitihada zinaendelea,
 
Ahaaaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...mpaka hapa nimekufahamu mkuu!...almanusura niwe empty set, imbecile kabisa!
 
Bwaaaaaahaaaahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] .....I'm done[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Hii picha aliipost tangu july huko, mawasiliano ya dada Sheila hayo hebu cheki nae, halafu ni California sio LA, AY bado hajapatikana jitihada zinaendelea,View attachment 950542View attachment 950544View attachment 950545

hahahaha

Sheila Kiwanuka,Mnyarwanda Mhutu mwenzie......

Get the f.uck outta here!

Dada fanya la maana,m-DM huyo dada akupe physical address ya hiyo nyumba nikuwekee real owner wake hapa uone kama kuna any noun called Ambwene who God knows who!

Hizi ni sifa za instagram za maneno ya mbwembwe za Wanyarwanda ndugu zao na Wahaya....

Everybody know them!
 
Yatch za mbudya mkuu hukuhesabu...
 
Yatch za mbudya mkuu hukuhesabu...
Mkuu google neno "YATCH" na picha inakuja hii:



Then Google "minimum price of a second-hand yatch"..bei ni 8.4Milion USD!

AY hata auze his butthole for 10yrz straight can NEVER afford this thing called "YATCH"!

-----------------------------------

Ukitoka hapo Google neno "Mbudya Island yatch",picha zinazokuja ni:



na picha ingine ni hii:



Sasa sijui hizi ni "YATCH" au "MITUMBWI"?

Na sijui AY anaokoteza nauli kiasi gani kwa siku hapa?Lets be honest,these people are on cocaine!

Sijui kwa mitumbwi hii AY anaokoteza hela ya kushindana na dereva wa Uber kweli?

These people are smoking something really strong!
 
Haahaaaaahaaaaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] .....mkuu zihurumie mbavu zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28]
 
Ahaaaahaaaaaa[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji23] [emoji28] [emoji23] haki ya nani leo nafwazz uwiii! .....mkuu hizi Yatch za mbudya mbona ziko kama guta za buguruni malapa?

Nimeanza kukuelewa mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…