AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Nimpe hongera sijui. Any way.. sina hakika na habari hizi lakini nahisi kabisa anashahiri Pongezi.

Labda mziki wetu wa TZ unalipa sana hivyo kuwafnya ma Underground wengi kuutamani mziki kusudi na wao wajenge States na maeneo mengine Most beautiful and Popular.

Hongera AY
 
B
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Bwanamkubwa, mbona povu tena??????????????????
Furahia mafanikio ya mwenzako na utakuwa na amani moyoni
 
Kachafukwaaa[emoji23]
Kuna sehemu kanijibu hadi ka bold na capital letters eti niache upumbavu.Teh teh nikajua hawa ndio wale huwa wanatupiga ngumi mitaani ukitofautiana nae[emoji23][emoji23].
Mara "Whatcha Yu Smokin Yu High On Sum Shit[emoji35]" Lakini tathmini zake za benefit of doubt anataka tukubali,ukibisha tu ..."You Niggaz Are Smokin Sumting Strong ....Stupid Weak As https://jamii.app/JFUserGuide".
Nikakimbia back to back reply ataniua huyuu kisa AY[emoji38][emoji38]
 
Leo mnaikataa nyumba yenu?

Hahahaaaaaa,maajabu aiseee!

AY na mkewe wamesimama hapo cluelessly kama strangers na vipochi vyao makwapani eti ndio nyumba yao!!!

What a LIE!

Kadanganyeni watoto!
Hii picha aliipost tangu july huko, mawasiliano ya dada Sheila hayo hebu cheki nae, halafu ni California sio LA, AY bado hajapatikana jitihada zinaendelea,
Screenshot_2018-11-29-17-17-10-1.jpeg
2018-11-29%2017.22.37.jpeg
Screenshot_2018-11-29-17-18-49-1.jpeg
 
Acha kuonesha upumbavu wako..

Hivi mwaka 2018 bado Tanzania tunalalamika kuhusu Kiingereza?

Hivi kweli?Kabisa?

Acha upumbavu kabisa...

Acha kuonesha you are scared of English language..Ni lugha tu,kwanini unaogopa lugha?

Kitu umesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Chuo Kikuu halafu unageuka unaanza kulalamikia lugha?You people are in cocaine kabisa!

Yaani umegeuzia manung'uniko kwenye lugha ya Kiingereza?Really?Mpaka lini tutaacha hiki kilio cha kipumbavu kabisa cha kujitakia?

Ulienda shule kusoma ugoro?Tangu la kwanza mpaka chuo kikuu ulisoma Kiingereza,hivi leo unalia kwasababu ipi kama sio uzembe wako binafsi?

Mapungufu yako usihamishie kwa wengine...Hujui Kiingereza ni your own problem,usilete ngendembwe kabisa!

Unahalalisha uzembe wako binafsi kipuuzi namna hii?

Rudisha ada yetu tuliyokulipia kuanzia la kwanza mpaka chuo kikuu,huna maana,hufai kabisa...

Zembe kabisa!
Ahaaaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...mpaka hapa nimekufahamu mkuu!...almanusura niwe empty set, imbecile kabisa!
 
Kiasi gani cha pesa?

AY as a musician ni even smaller than MwanaFA carrier wise!....Hela za kuperform na music sales MwanaFA is above AY day and night!

Can AY perform anywhere on earth kwa 10mil a show?NEVER!

Lets say kafanya collection baada ya costs zake total 100mil so far ,say that.....


Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...

Mashamba "makubwa"?Ukubwa upi?Yapo located wapi?Yanafanya uzalishaji upi?Unajua kulima heka say 3 tu za mpunga ni kiasi gani cha mtaji?

Tumpe ana hekari 100,kuzilima unajua anahitaji mtaji kiasi gani?Hivi wewe una mapepo?

Hivi ulishawahi lima ukajua agricultural inputs uzalishe mazao inatakiwa mtaji kiasi gani?

Kumiliki ardhi ya mapori heka 3,000 kila mtu anazo hizo.......jasho la matako ni mtaji kugeuka hekari 100 au 200 kuzalisha mazao...Ni mtaji zaidi ya milioni 500 kwa hekari 300...

Hapa earning alizokusanya,nikimpendelea sana nimpe 50mil so far!

Hivi mna mapepo nyie?



This is unsubstantiated!

Huna account of this!Umeandika eti "Link"!Are you really serious?Tupe hesabu zake,nani na nani kashalink so far na makusanyo.

By me being so generous tufanye kapata 150mil kwenye hii biashara hewa ya "link" kama ulivyoiita!



Hii uliona wewe..Who are you for us to believe you?

Hell no...

Hapa earning ni 0mil!



Artel au kampuni lolote la simu hua haliongei na msanii yeyote kujenga matangazo!

Matanagazo yanajengwa na Advertising Agencies yaliyopata kazi kutoka haya makampuni ya simu..Hivyo AY anaitwa na anapewa kazi tu kama artist model kutokea kwenye haya matangazo...Ujira wake sasa,upumbavu mtupu!

Na hizi deal wanapata wasanii mbali mbali,tuseme Diamond ndio earner mkubwa kabisa wa hizi maana ndie hottest artist of all time in TZ...AY ni kauka nikuvae!

Again,nikimpendelea sana nimpe 50mil kapata so far!



Hii biashara ya Ulanguzi wa mazao kila mtu anaijua.....Upumbavu mtupu.....

Mazao gani?Mahindi,korosho,Kahawa,etc?

Nikiwa very fair nimpe 70mil made so far kama faida!


HITIMISHO:::::


Jumla ya hela possible alizojenga ni kama 420MILIONI......

Hivi milioni 420 inaweza kununua nyumba ya 1.5BILIONI kama sio mna upungufu wa akili nyie?


UPUMBAVU MTUPU!
Bwaaaaaahaaaahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] .....I'm done[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Hii picha aliipost tangu july huko, mawasiliano ya dada Sheila hayo hebu cheki nae, halafu ni California sio LA, AY bado hajapatikana jitihada zinaendelea,View attachment 950542View attachment 950544View attachment 950545

hahahaha

Sheila Kiwanuka,Mnyarwanda Mhutu mwenzie......

Get the f.uck outta here!

Dada fanya la maana,m-DM huyo dada akupe physical address ya hiyo nyumba nikuwekee real owner wake hapa uone kama kuna any noun called Ambwene who God knows who!

Hizi ni sifa za instagram za maneno ya mbwembwe za Wanyarwanda ndugu zao na Wahaya....

Everybody know them!
 
Kiasi gani cha pesa?

AY as a musician ni even smaller than MwanaFA carrier wise!....Hela za kuperform na music sales MwanaFA is above AY day and night!

Can AY perform anywhere on earth kwa 10mil a show?NEVER!

Lets say kafanya collection baada ya costs zake total 100mil so far ,say that.....


Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...

Mashamba "makubwa"?Ukubwa upi?Yapo located wapi?Yanafanya uzalishaji upi?Unajua kulima heka say 3 tu za mpunga ni kiasi gani cha mtaji?

Tumpe ana hekari 100,kuzilima unajua anahitaji mtaji kiasi gani?Hivi wewe una mapepo?

Hivi ulishawahi lima ukajua agricultural inputs uzalishe mazao inatakiwa mtaji kiasi gani?

Kumiliki ardhi ya mapori heka 3,000 kila mtu anazo hizo.......jasho la matako ni mtaji kugeuka hekari 100 au 200 kuzalisha mazao...Ni mtaji zaidi ya milioni 500 kwa hekari 300...

Hapa earning alizokusanya,nikimpendelea sana nimpe 50mil so far!

Hivi mna mapepo nyie?



This is unsubstantiated!

Huna account of this!Umeandika eti "Link"!Are you really serious?Tupe hesabu zake,nani na nani kashalink so far na makusanyo.

By me being so generous tufanye kapata 150mil kwenye hii biashara hewa ya "link" kama ulivyoiita!



Hii uliona wewe..Who are you for us to believe you?

Hell no...

Hapa earning ni 0mil!



Artel au kampuni lolote la simu hua haliongei na msanii yeyote kujenga matangazo!

Matanagazo yanajengwa na Advertising Agencies yaliyopata kazi kutoka haya makampuni ya simu..Hivyo AY anaitwa na anapewa kazi tu kama artist model kutokea kwenye haya matangazo...Ujira wake sasa,upumbavu mtupu!

Na hizi deal wanapata wasanii mbali mbali,tuseme Diamond ndio earner mkubwa kabisa wa hizi maana ndie hottest artist of all time in TZ...AY ni kauka nikuvae!

Again,nikimpendelea sana nimpe 50mil kapata so far!



Hii biashara ya Ulanguzi wa mazao kila mtu anaijua.....Upumbavu mtupu.....

Mazao gani?Mahindi,korosho,Kahawa,etc?

Nikiwa very fair nimpe 70mil made so far kama faida!


HITIMISHO:::::


Jumla ya hela possible alizojenga ni kama 420MILIONI......

Hivi milioni 420 inaweza kununua nyumba ya 1.5BILIONI kama sio mna upungufu wa akili nyie?


UPUMBAVU MTUPU!
Yatch za mbudya mkuu hukuhesabu...
 
Yatch za mbudya mkuu hukuhesabu...
Mkuu google neno "YATCH" na picha inakuja hii:

Screenshot 2018-11-29 17.38.50.png


Then Google "minimum price of a second-hand yatch"..bei ni 8.4Milion USD!

AY hata auze his butthole for 10yrz straight can NEVER afford this thing called "YATCH"!

-----------------------------------

Ukitoka hapo Google neno "Mbudya Island yatch",picha zinazokuja ni:

Screenshot 2018-11-29 17.39.29.png


na picha ingine ni hii:

Screenshot 2018-11-29 17.40.00.png


Sasa sijui hizi ni "YATCH" au "MITUMBWI"?

Na sijui AY anaokoteza nauli kiasi gani kwa siku hapa?Lets be honest,these people are on cocaine!

Sijui kwa mitumbwi hii AY anaokoteza hela ya kushindana na dereva wa Uber kweli?

These people are smoking something really strong!
 
Acha hearsay,refute my analysis hapo kama unaweza!

Hujaelewa comment ya Kiranga vizuri nadhani....Jikaze umuelewe vizuri kabisa!

Thats poor part on your side,not us!

---------------------

Nyumba ya jamaa yako ni proven sio yake hata kwa analysis ndogo tu kwenye hii picha!

Kuna watoto wadogo I guess hapo mlangoni wawili,wamevaa vests(relaxing wear) nyeupe,hapo inaelekea ni kwao...AY ana watoto kwanza?Hana!

Alienda nao USA kwenye hiyo safari yake,jibu ni nooooo!

Kati ya hao watoto hapo mlangoni na AY na mkewe waliosimama hapo,inaoesha wazi wamiliki/wanaokaa hapo ni hao na akina AY ni wageni/strangers tu wamepiga picha!

Photos dont lie!

Thats my analysis,hutaki andamana!

Au lete yako tuone logics zake!

View attachment 950339
Haahaaaaahaaaaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] .....mkuu zihurumie mbavu zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28]
 
Mkuu google neno "YATCH" na picha inakuja hii:

View attachment 950554

Then Google "minimum price of a second-hand yatch"..bei ni 8.4Milion USD!

AY hata auze his butthole for 10yrz straight can NEVER afford this thing called "YATCH"!

-----------------------------------

Ukitoka hapo Google neno "Mbudya Island yatch",picha zinazokuja ni:

View attachment 950561

na picha ingine ni hii:

View attachment 950562

Sasa sijui hizi ni "YATCH" au "MITUMBWI"?

Na sijui AY anaokoteza nauli kiasi gani kwa siku hapa?Lets be honest,these people are on cocaine!

Sijui kwa mitumbwi hii AY anaokoteza hela ya kushindana na dereva wa Uber kweli?

These people are smoking something really strong!
Ahaaaahaaaaaa[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji23] [emoji28] [emoji23] haki ya nani leo nafwazz uwiii! .....mkuu hizi Yatch za mbudya mbona ziko kama guta za buguruni malapa?

Nimeanza kukuelewa mkuu!
 
Back
Top Bottom