AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Nyumba au apartment?

AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!

Chezea Tutsi ni high maintenance women...

AY na jumba United States of America wapi na wapi?

Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?

Kiki za kizamani sana hizi!

Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
Mzee baba yako ikowapi
 
Halafu jamaa anaona ishu kubwaa mi huwa natizama Chanel inaitwa Fine living Azam kuna miji USA unapata hadi nyumba za dola 100000 so sio ishu sana

Mkuu,nyumba wanasema kanunua Los Angeles United State of America na sio Oklahoma au Oregon huko madongo kuinama!

Nataka tuelewane hapa!

Uongo ni kitu kibaya sana....

Kama mpo true sana,toeni address ya hiyo property tuwaletee ownership yake hapa tumalize utata!

Kiki za kisenge sana hizi,na zinamfanya AY aonekana hana tofauti na Hamorapa hata chembe!
 
Mkuu 0.5Bil ambayo ni 500milioni kwa lugha ingine inaweza kununua nyumba ya 600,000USD ambayo ni karibu na Bilioni 1.5...Uta-flip hiyo 500mil kwa miezi miwili/mitatu hii kujenga hiyo 1.5Bilion kwa kufanya nini hasa?

Unajua tusiwe tunasema tu inawezekana,how kama sio ndoto wewe?
Mkuu nimekujibu kutokana na ulivyoandika,kama mfano kweli walilipwa 1.5bil na wakagawana 0.5.Je hawezi Fanya kitu ndani ya mwaka akawa na 2.0,?ambayo ikanunua hiyo bangalo ya 1.5?
 
Sina chuki nae,mimi na-expose uongo wa kitoto sana kuhusu hii stupid kiki!

Ni Ifunda Tech,thats my poor part on my side.Tena alisoma na mwanangu marehemu anaitwa Kulembeka!Go and look it up!



Taja jina la show,dates,location na wahusika....Na brother,member wa event crew anapata 150milioni?Get the f.uck outta here!


Brother Mbudya island kila mtu hapa anaenda,ni boti na wala sio yatchs!

Stop lying!

Boti za Mbudya kwa siku zinakusanya kiasi gani vile?Rubbish.....Even Uber driver racks in more than Mbudya boat will ever make in a day!Hebu dont make people laugh here!

Dola 2,000USD?Man,cant you just stop lying this much!Boat ya Mbudya inakodishwa kwa dola 2,000USD?Aisee it shows how shameful you AY people are!



Hakimbizani na mziki wakati jana katoa single na hii kiki kaitoa ili kujenga buzz na hako ka-single kake!

You think people are stupid?

Na biashara unayosema iliyotoa pesa nyingi sana ni hizo boat za kwenda mbudya zinazonuka samaki na zimetoboka ndio biashara really?

Can you mention anything else?

Wekeni na evidence please!
Yaani unasema huna chuki na jamaa but the way maandishi yako yanavyosomeka yaani inaoneka una mchukia sana jamaa sio kwa kwa kejeli hizo

Sijui jamaa kakuosea nini hehehehehh

Daaaah

Anyway am out for this bullshit Convo

Gotta doin my tings
 
Jamaa unaonyesha wazi unachuki na AY,katika wasanii ambao hawapendi kiki AY ni mmoja wao mana ana project nyingi na hakuna ata moja ambayo ameiongelea bila kuulizw.
Mkuu

Kwa rule of thumb tu kwa jinsi wanapenda sifa hawa watu ungekuta zishawekwa habari kwenye media au hata instagram!

Judgement ni kitu cha wazi,na mahakamani waandishi wa habari wanashinda pale..Na hii ilikua ni high profile case including entertainers,ni juicy news hawawezi ziacha hizi habari!

Another strong point ni kuhusu wasanii wengine,wangekimbia kufungua na wao haya makesi,Tigo wangehama nchi eti!Tigo walitumia nyimbo za wasanii wote kabisa,sema AY na MwanaFA na kile kijamaa wakaamua ku-press charges walijua kuna hela watavuna!

Last time I heard kwenye news ni kua Tigo walikata rufaa!...

Tuseme labda wali-settle out of court,na kumbuka walikua watatu,AY,MwanaFA na Msando...

Na pesa waliyokua wanategemea ni nearly 3 Bilion kama wangeshinda kesi....

Katika settling out of court watakubalia hela ndogo zaidi ya hiyo,lets say 2Bilion..

Wakilipwa ukitoa gharama za kesi,gharama za ma-producers,publishers,etc inaweza baki 1.5Bilion wakagawana 0.5Bilion each....

Haya sasa,kwa milion 500 AY anaweza nunua nyumba ya USD 600,000 katika jiji la Los Angeles USA kweli kama sio uongo mtakatifu huu?
 
Halafu uwe unafatilia vizuri yule manzi yuko na mchiz for 10 fvcking years since huyo sista sura imechakaa na kufubaa

Kuhusu huyo manzi kua nae 10years is imaterial hapa...Kamuoa mwaka huu..tunahesabu alipomuoa....Hiyo miaka mingine ni upumbavu..Alikua akitiwa na yeyote!

Tuondolee utoto hapa!
Yule demu baba yake ni mbongo mwenye asili ya uarabu mama yake ndio mnyarwanda .

So acha chuki na maisha ya jamaa

Nenda Rwanda kafate wa kwako wako kibao wazuri na wanavyoshoboka na wabongo mbona easy kuwapata coz nchi yao yenye INA amani ya kimlegezo muda wowote kinanuka so for security purpose hehehehe huwezi kosa mnyarwanda wako

Nigga,kama unadhani mimi naamini picha za Insta or anything in that line you are dead wrong!

Mwanamke ni mwanamke!Akiwa na hulka zake ni zake yeye na AY to worry about!

Na kumtaja demu wake nilitakaja kama ku-suspect tu maana jamaa tangu amuweke ndani,the nigga has never been the same.AY alikua hana kiki za kibwege namna hii,kiki za uongo kama Hamorapa this way!

Hii ya sasa ya kusema anything just to stay relevant ni stupidity ya hali ya juu on his part!
 
Yaani unasema huna chuki na jamaa but the way maandishi yako yanavyosomeka yaani inaoneka una mchukia sana jamaa sio kwa kwa kejeli hizo
Mimi nime-debunk lies!

Sijapenda kutumia UONGO kujenga kiki kama Hamorapa!

AY ni mzee mno kufanya haya!

AY kama entertainer sina shida nae kabisa.He is very talented na napenda kazi zake,ila these lies ni derangements!

Anyway am out for this bullshit Convo

Gotta doin my tings

Mzee,yo' outta this convo coz you deep down know that these are lies!

Na nime-dunk lies perpetuated by his people if not him!

Kama unapenda UONGO then it is okay,you are a free man to like whatever you want,even lies!
 
Jamaa unaonyesha wazi unachuki na AY,katika wasanii ambao hawapendi kiki AY ni mmoja wao mana ana project nyingi na hakuna ata moja ambayo ameiongelea bila kuulizw.
Sina chuki na AY

Infact I like his work very much....Tatizo ni UONGOOOOO!

Why lie to people for the sake of cheap kiki?Why?What does it worth?

Is AY Hamorapa these days?Amuachie Hamorapa kiki za uongo namna hii!
 
Mkuu nimekujibu kutokana na ulivyoandika,kama mfano kweli walilipwa 1.5bil na wakagawana 0.5.Je hawezi Fanya kitu ndani ya mwaka akawa na 2.0,?ambayo ikanunua hiyo bangalo ya 1.5?

Kesi mpaka mwezi wa nane mwaka huu ilikua bado hakijaeleweka!

Tuseme tangu mwezi wa nane na leo mwezi wa 11 ni miezi 3...

Mzee baba,with all due respect onaweza fanya what on earth kwa miezi mitatu kwa milioni 500 kujenga bilioni 2?

Just tueleze any business scenerio it can be done!

Labda uuze unga!

Of which sio kweli,it can not be done!

Tuwe wakweli,yanini kudanganya?For what hasa?
 
Facts ya kusema alichoongea ni uongo au ukweli anajua mwenyewe wewe na Mimi hatuna uhusiano nae Mimi sio Hermy b na wewe sio mwanaFA nikimaanisha watu wake wa karibu .

Anyway i won't comeback lemme sip' my coffee
Mimi nime-debunk lies!

Sijapenda kutumia UONGO kujenga kiki kama Hamorapa!

AY ni mzee mno kufanya haya!

AY kama entertainer sina shida nae kabisa.He is very talented na napenda kazi zake,ila these lies ni derangements!



Mzee,yo' outta this convo coz you deep down know that these are lies!

Na nime-dunk lies perpetuated by his people if not him!

Kama unapenda UONGO then it is okay,you are a free man to like whatever you want,even lies!
 
Facts ya kusema alichoongea ni uongo au ukweli anajua mwenyewe wewe na Mimi hatuna uhusiano nae Mimi sio Hermy b na wewe sio mwanaFA nikimaanisha watu wake wa karibu .

Anyway i won't comeback lemme sip' my coffee

It always boil down to reality here:

Katoa wimbo leo unaitwa SAFARI,ndio unajengewa buzz na kiki zote hizi za UONGO...

Unajua mkuu,AY anazidi kuonekana mpumbavu kwa kutumia these old means kuuza kazi yake!

Na he is even stupidier kwa kutumia UONGO ,ku-claim ana vitu ambavyo hana ilimradi kujenga buzz ya kipumbavu namna hii!

He is just a a naive veteran musician trying hard to remain relevant kwa kusema UONGO.

Ni christmas imefika,ameona atoe single huwenda ikawa hot akapata shows here and there akapata kibarua aka-feed his family which is respectable,ila sio kwa kusema uongo namna hii!

I guess hata kutoa video yake imemshinda,katoa audio pekee yake,na what I do know watu wataitupa kapuni right quick!


Screenshot 2018-11-28 19.08.40.png
 
Kwaio kwa fikra zako unafikiri AY hawezi kumilik hizo 2 billion?
Sina chuki na AY

Infact I like his work very much....Tatizo ni UONGOOOOO!

Why lie to people for the sake of cheap kiki?Why?What does it worth?

Is AY Hamorapa these days?Amuachie Hamorapa kiki za uongo namna hii!
K
 
Kwaio kwa fikra zako unafikiri AY hawezi kumilik hizo 2 billion?

Ni possible,ila kuna possibility kubwa sana asiweze nazo!

Nataka tuangalie scenerio hapa,na kupitia zote AY yupo kwenye bad odds kua hawezikua nazo at 98 percentile range!

Nachotaka ni wewe kunipa evidence hapa kua anazo,then we could put to rest all the doubts here!
 
Hawajalipwa hata mia....Wangelipwa ingekua ni breaking news TZ nzima!

Walikata rufaa,na inavyokwenda,wanaweza settle outta court au wakashindwa all together!

Tigo wakishindwa ni precedence wanamziki wote watafungua na wao kesi wataifungia Tigo mbali,kuna janja wanacheza ngoma ife!
Walilipwa tayari mbona acha kupotosha watu. Watu wamekula ela yao kitambo mbona..... Mahakama ilitupilia mbali rufaa yao
 
Mzee,sijui kwanini mtu aki-refute lies anaonekana hater!

tangu lini mtu muongo akiwekwa wazi anajitetea aliemuweka wazi ni hater?

Tangu lini AY akalipwa milioni 150 kwa show?Ni pure lies!

Kwanini watu waongo namna hii?Ukisema ukweli kuna ubaya gani?
AY ana bizness zake hapa mjini na kawekeza sana kwenye ardhi toka kitambo ndo maana hata mziki anafanya kitajiri siyo kwamba unamlipa sana alijiandaa mapema sana.
Kuna siku Salama alisema AY aliposkia kuwa Mtwara kutaanza kuchimbwa gas alimwambia wakanunue maeneo mengi salama akawa ana mbwera mbwera yeye AY akawahi kununua maeneo mengi akiwa anajiandaa kwa uwekezaji.
Jamaa yuko vizuri kwa kiasi cha ukijana wa Kitanzania..
 
Mkuu

Kwa rule of thumb tu kwa jinsi wanapenda sifa hawa watu ungekuta zishawekwa habari kwenye media au hata instagram!

Judgement ni kitu cha wazi,na mahakamani waandishi wa habari wanashinda pale..Na hii ilikua ni high profile case including entertainers,ni juicy news hawawezi ziacha hizi habari!

Another strong point ni kuhusu wasanii wengine,wangekimbia kufungua na wao haya makesi,Tigo wangehama nchi eti!Tigo walitumia nyimbo za wasanii wote kabisa,sema AY na MwanaFA na kile kijamaa wakaamua ku-press charges walijua kuna hela watavuna!

Last time I heard kwenye news ni kua Tigo walikata rufaa!...

Tuseme labda wali-settle out of court,na kumbuka walikua watatu,AY,MwanaFA na Msando...

Na pesa waliyokua wanategemea ni nearly 3 Bilion kama wangeshinda kesi....

Katika settling out of court watakubalia hela ndogo zaidi ya hiyo,lets say 2Bilion..

Wakilipwa ukitoa gharama za kesi,gharama za ma-producers,publishers,etc inaweza baki 1.5Bilion wakagawana 0.5Bilion each....

Haya sasa,kwa milion 500 AY anaweza nunua nyumba ya USD 600,000 katika jiji la Los Angeles USA kweli kama sio uongo mtakatifu huu?
Achana na hearsay kama umpo kwenye field ebu fatilia vizuri, wale sio watu wa show off kama wasanii wengine
 
Back
Top Bottom