Mzee baba yako ikowapiNyumba au apartment?
AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!
Chezea Tutsi ni high maintenance women...
AY na jumba United States of America wapi na wapi?
Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?
Kiki za kizamani sana hizi!
Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
Halafu jamaa anaona ishu kubwaa mi huwa natizama Chanel inaitwa Fine living Azam kuna miji USA unapata hadi nyumba za dola 100000 so sio ishu sana
Sina,na mimi kutokua nayo haikupi wewe haki ya kusema UONGO!Mzee baba yako ikowapi
Prove basj kama ni uongoSina,na mimi kutokua nayo haikupi wewe haki ya kusema UONGO!
Usijifiche na upumbavu wa kwamba "HANA" ndio maana....Uongo ni Uongo,na it has to be busted accordingly!
Mkuu nimekujibu kutokana na ulivyoandika,kama mfano kweli walilipwa 1.5bil na wakagawana 0.5.Je hawezi Fanya kitu ndani ya mwaka akawa na 2.0,?ambayo ikanunua hiyo bangalo ya 1.5?Mkuu 0.5Bil ambayo ni 500milioni kwa lugha ingine inaweza kununua nyumba ya 600,000USD ambayo ni karibu na Bilioni 1.5...Uta-flip hiyo 500mil kwa miezi miwili/mitatu hii kujenga hiyo 1.5Bilion kwa kufanya nini hasa?
Unajua tusiwe tunasema tu inawezekana,how kama sio ndoto wewe?
Yaani unasema huna chuki na jamaa but the way maandishi yako yanavyosomeka yaani inaoneka una mchukia sana jamaa sio kwa kwa kejeli hizoSina chuki nae,mimi na-expose uongo wa kitoto sana kuhusu hii stupid kiki!
Ni Ifunda Tech,thats my poor part on my side.Tena alisoma na mwanangu marehemu anaitwa Kulembeka!Go and look it up!
Taja jina la show,dates,location na wahusika....Na brother,member wa event crew anapata 150milioni?Get the f.uck outta here!
Brother Mbudya island kila mtu hapa anaenda,ni boti na wala sio yatchs!
Stop lying!
Boti za Mbudya kwa siku zinakusanya kiasi gani vile?Rubbish.....Even Uber driver racks in more than Mbudya boat will ever make in a day!Hebu dont make people laugh here!
Dola 2,000USD?Man,cant you just stop lying this much!Boat ya Mbudya inakodishwa kwa dola 2,000USD?Aisee it shows how shameful you AY people are!
Hakimbizani na mziki wakati jana katoa single na hii kiki kaitoa ili kujenga buzz na hako ka-single kake!
You think people are stupid?
Na biashara unayosema iliyotoa pesa nyingi sana ni hizo boat za kwenda mbudya zinazonuka samaki na zimetoboka ndio biashara really?
Can you mention anything else?
Wekeni na evidence please!
Mkuu
Kwa rule of thumb tu kwa jinsi wanapenda sifa hawa watu ungekuta zishawekwa habari kwenye media au hata instagram!
Judgement ni kitu cha wazi,na mahakamani waandishi wa habari wanashinda pale..Na hii ilikua ni high profile case including entertainers,ni juicy news hawawezi ziacha hizi habari!
Another strong point ni kuhusu wasanii wengine,wangekimbia kufungua na wao haya makesi,Tigo wangehama nchi eti!Tigo walitumia nyimbo za wasanii wote kabisa,sema AY na MwanaFA na kile kijamaa wakaamua ku-press charges walijua kuna hela watavuna!
Last time I heard kwenye news ni kua Tigo walikata rufaa!...
Tuseme labda wali-settle out of court,na kumbuka walikua watatu,AY,MwanaFA na Msando...
Na pesa waliyokua wanategemea ni nearly 3 Bilion kama wangeshinda kesi....
Katika settling out of court watakubalia hela ndogo zaidi ya hiyo,lets say 2Bilion..
Wakilipwa ukitoa gharama za kesi,gharama za ma-producers,publishers,etc inaweza baki 1.5Bilion wakagawana 0.5Bilion each....
Haya sasa,kwa milion 500 AY anaweza nunua nyumba ya USD 600,000 katika jiji la Los Angeles USA kweli kama sio uongo mtakatifu huu?
Halafu uwe unafatilia vizuri yule manzi yuko na mchiz for 10 fvcking years since huyo sista sura imechakaa na kufubaa
Yule demu baba yake ni mbongo mwenye asili ya uarabu mama yake ndio mnyarwanda .
So acha chuki na maisha ya jamaa
Nenda Rwanda kafate wa kwako wako kibao wazuri na wanavyoshoboka na wabongo mbona easy kuwapata coz nchi yao yenye INA amani ya kimlegezo muda wowote kinanuka so for security purpose hehehehe huwezi kosa mnyarwanda wako
Mimi nime-debunk lies!Yaani unasema huna chuki na jamaa but the way maandishi yako yanavyosomeka yaani inaoneka una mchukia sana jamaa sio kwa kwa kejeli hizo
Anyway am out for this bullshit Convo
Gotta doin my tings
Sina chuki na AYJamaa unaonyesha wazi unachuki na AY,katika wasanii ambao hawapendi kiki AY ni mmoja wao mana ana project nyingi na hakuna ata moja ambayo ameiongelea bila kuulizw.
Mkuu nimekujibu kutokana na ulivyoandika,kama mfano kweli walilipwa 1.5bil na wakagawana 0.5.Je hawezi Fanya kitu ndani ya mwaka akawa na 2.0,?ambayo ikanunua hiyo bangalo ya 1.5?
Mimi nime-debunk lies!
Sijapenda kutumia UONGO kujenga kiki kama Hamorapa!
AY ni mzee mno kufanya haya!
AY kama entertainer sina shida nae kabisa.He is very talented na napenda kazi zake,ila these lies ni derangements!
Mzee,yo' outta this convo coz you deep down know that these are lies!
Na nime-dunk lies perpetuated by his people if not him!
Kama unapenda UONGO then it is okay,you are a free man to like whatever you want,even lies!
Facts ya kusema alichoongea ni uongo au ukweli anajua mwenyewe wewe na Mimi hatuna uhusiano nae Mimi sio Hermy b na wewe sio mwanaFA nikimaanisha watu wake wa karibu .
Anyway i won't comeback lemme sip' my coffee
KSina chuki na AY
Infact I like his work very much....Tatizo ni UONGOOOOO!
Why lie to people for the sake of cheap kiki?Why?What does it worth?
Is AY Hamorapa these days?Amuachie Hamorapa kiki za uongo namna hii!
Kwaio kwa fikra zako unafikiri AY hawezi kumilik hizo 2 billion?
Acha roho mbayaNgoja Trump amsikie, American Embassy mkuje huku kuna illegal aliens
Walilipwa tayari mbona acha kupotosha watu. Watu wamekula ela yao kitambo mbona..... Mahakama ilitupilia mbali rufaa yaoHawajalipwa hata mia....Wangelipwa ingekua ni breaking news TZ nzima!
Walikata rufaa,na inavyokwenda,wanaweza settle outta court au wakashindwa all together!
Tigo wakishindwa ni precedence wanamziki wote watafungua na wao kesi wataifungia Tigo mbali,kuna janja wanacheza ngoma ife!
AY ana bizness zake hapa mjini na kawekeza sana kwenye ardhi toka kitambo ndo maana hata mziki anafanya kitajiri siyo kwamba unamlipa sana alijiandaa mapema sana.Mzee,sijui kwanini mtu aki-refute lies anaonekana hater!
tangu lini mtu muongo akiwekwa wazi anajitetea aliemuweka wazi ni hater?
Tangu lini AY akalipwa milioni 150 kwa show?Ni pure lies!
Kwanini watu waongo namna hii?Ukisema ukweli kuna ubaya gani?
Achana na hearsay kama umpo kwenye field ebu fatilia vizuri, wale sio watu wa show off kama wasanii wengineMkuu
Kwa rule of thumb tu kwa jinsi wanapenda sifa hawa watu ungekuta zishawekwa habari kwenye media au hata instagram!
Judgement ni kitu cha wazi,na mahakamani waandishi wa habari wanashinda pale..Na hii ilikua ni high profile case including entertainers,ni juicy news hawawezi ziacha hizi habari!
Another strong point ni kuhusu wasanii wengine,wangekimbia kufungua na wao haya makesi,Tigo wangehama nchi eti!Tigo walitumia nyimbo za wasanii wote kabisa,sema AY na MwanaFA na kile kijamaa wakaamua ku-press charges walijua kuna hela watavuna!
Last time I heard kwenye news ni kua Tigo walikata rufaa!...
Tuseme labda wali-settle out of court,na kumbuka walikua watatu,AY,MwanaFA na Msando...
Na pesa waliyokua wanategemea ni nearly 3 Bilion kama wangeshinda kesi....
Katika settling out of court watakubalia hela ndogo zaidi ya hiyo,lets say 2Bilion..
Wakilipwa ukitoa gharama za kesi,gharama za ma-producers,publishers,etc inaweza baki 1.5Bilion wakagawana 0.5Bilion each....
Haya sasa,kwa milion 500 AY anaweza nunua nyumba ya USD 600,000 katika jiji la Los Angeles USA kweli kama sio uongo mtakatifu huu?