AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Story za vijiweni,Joe Kusaga aliishi USA miaka 10?
Sasa unabisha?

Kamuulize Lemutuz,walishea hadi apartment!

Ruge kasoma undergrad kule,wamekaa nearly 10 years....sijui wewe unamjua zaidi ya confirmation ya Lemutuz?

I wonder who you are really?
 
Haujui kama AY ni Mtutsi?
 

Huwezi jua mapato yooote ya mtu yeyotee.. Hata mkeo, so relax bro.. Unatuambia sisi tukupe evidence? Aye you serious?

Jamaa anamiliki mjengo USA, hutaki unaacha.
 

UONGO kuujua ni mpaka umjue mtu personally?Man,are you for real kweli?

Really?

AY ni entertainer anajulikana na wapenda muziki,tena wa hiphop!From there,I dont who he is.....

Uongo ni uongo tu,numbers dont add up at all!

Eti leo AY ndio awafundishe Clouds how to book International artists?Are u people on cocaine?
 
Sasa unabisha?

Kamuulize Lemutuz,walishea hadi apartment!

Ruge kasoma undergrad kule,wamekaa nearly 10 years....sijui wewe unamjua zaidi ya confirmation ya Lemutuz?

I wonder who you are really?

Kwa hiyo akisema Le mutuz ndo proof? Dude!!!!!!
 

Ukiambiwa anauza unga?
 
Haujui kama AY ni Mtutsi?

Mama ndio Mnyarwanda....sasa sijui kwanini awe 100% Mtutsi?Anaweza akawa Mhutu vilevile,who knows?

Kwanza hata kua Mtutsi au Mhutu ni debate....

Phenotypically AY looks Mhutu more than Mtutsi.....He has Bantu stature,mfupi,etc,he has not stereotypical Tutsi structure!

Na kumbuka,Rwanda Hutu ni 88% ya population,na pure Tutsi ni 12% tu....Ni very hard kwa AY kua Tutsi in these population percentage!

By rule of thumb,Im bound to be correct kua AY ni Mhutu na never a Tutsi whatsoever!
 
Sasa kama unasema humjui kwa nini unabishana?hujioni kama ni mjinga?
 
Hii ya Nyumba marekani mbona ipo hapa jukwaani miezi kadhaa sasa sema yeye amethibitisha tu
 
Mzee wa kazi basi inatosha
 
Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!

Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?

You people what are you smoking?
Aisee we ni bingwa kwa kubisha Africa Mashariki na kati na nchi za maziwa makuu....
 
Lol man.. mbona umemwaga povu jingi hivyo? Umepata hasira halaf unaandika kama vile wewe ndio unaujua ukweli kuhusu mchizi.

Embu tuambir the truth maana inaonyesha mshkaji muongo ww mkweli.
 
Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!

Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?

You people what are you smoking?
Hiyo ya 1.5 billion imetoka wapi?
 
Garnishee order baada ya rufaa? Je walishinda rufaa? Na je tigo walikuwa hawataki kulipa mpaka wakaomba hiyo garnishee order?
Rufaa mbona ilikataliwa ikatupiliwa mbali na mahakama kuu hata habari humu nimeweka link ililetwa, na nimeweka link ya another source.
Watu walishachukua mpunga wao ila waliuchukua bila matarumbeta kila mtu akafanya yake ndo maana two weeks ago FA alihojiwa akawa anasema kuna biashara kubwa ataizindua hivi karibuni yote jeuri ya pesa hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…