Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Sasa unabisha?Story za vijiweni,Joe Kusaga aliishi USA miaka 10?
Haujui kama AY ni Mtutsi?Nyumba au apartment?
AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!
Chezea Tutsi ni high maintenance women...
AY na jumba United States of America wapi na wapi?
Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?
Kiki za kizamani sana hizi!
Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
Sijachukia mtu...Nachukia jitu zima lenye mvi hadi za matakoni linadanganya umma wa watu milioni 55 sababu ya ka-single alikokatoa kama Hamorapa ili apate kiki...
Is AY this low?
Ngendembwe tupu!
Kila hesabu tulizopiga zinamkataa kabisa....Numbers dont lie but AY lies!
Huwezi kumpinga mtu kama humjui hapa kuna mawili la kwanza mnajuana kabisaaa na Ay na kuna kitu alikufanyia ndo maana humsahau katika akili yako na kama humjui kabisaa utakuwa ni mwehu mkubwa sana kumpinga wakati humjui so katika haya kuna moja lazima unalo kwake
Sasa unabisha?
Kamuulize Lemutuz,walishea hadi apartment!
Ruge kasoma undergrad kule,wamekaa nearly 10 years....sijui wewe unamjua zaidi ya confirmation ya Lemutuz?
I wonder who you are really?
UONGO kuujua ni mpaka umjue mtu personally?Man,are you for real kweli?
Really?
AY ni entertainer anajulikana na wapenda muziki,tena wa hiphop!From there,I dont who he is.....
Uongo ni uongo tu,numbers dont add up at all!
Eti leo AY ndio awafundishe Clouds how to book International artists?Are u people on cocaine?
Haujui kama AY ni Mtutsi?
Sasa kama unasema humjui kwa nini unabishana?hujioni kama ni mjinga?UONGO kuujua ni mpaka umjue mtu personally?Man,are you for real kweli?
Really?
AY ni entertainer anajulikana na wapenda muziki,tena wa hiphop!From there,I dont who he is.....
Uongo ni uongo tu,numbers dont add up at all!
Eti leo AY ndio awafundishe Clouds how to book International artists?Are u people on cocaine?
Tukuamini wewe?Kwa hiyo akisema Le mutuz ndo proof? Dude!!!!!!
Mkuu
AY anapenda show off kama wengine,sema wengine wanamzidi kwenye sector ya creativity ya hizo show off,ni kuzidiana tu,ila anapenda sana!
Pili ni vizuri mkataja hizo biashara zake hapa kwa majina hasa then sisi tutajua jinsi ya ku-prove kama kweli zinapesa hizo au na yeye ni mmiliki kweli.
Tatu,kwanini hii kiki imetoka leo aliyotoa wimbo wa SAFARI na sio wiki iliyopita?Kumbuka katoa kiki ya kumiliki vitu ambavyo HANA!AY kawa low kiasi hiki cha Hamorapa?
Twende,A to Z,taja biashara zake moja baada ya ingine kwa majina na locations then tuwa-debunk hapa hapa kweupee!
Pia tunaomba location ya hiyo property ndani ya LA ili tuwawekee hapa owner halisi wa hiyo property!
Mzee wa kazi basi inatoshaWatu tunataka kuhama Marekani, tuhamie Mars, nyie ndiyo mnatamba kuwa na nyumba Marekani?
Seriously, hii habari ilivyoletwa mara ya kwanza hapa, nilimtetea AY, watu walisema kadanganya, mimi nikasema what's the big deal?
Sasa naona inarudiwarudiwa sana.
Nini AY, watu tumefanya ya AZ ya "Get High", lakini huwezi kusikia kelele za kilimbukeni.
I got cribs in the suburbs, the hood, and the city
A low crib with the wiz thats pretty
A crew crib where niggas bring biddies
A crib out mid, thats hid like Diddy's
A tropic spot out in the Caymans
A Cali spot the first time I copped
AZ - Get High
Mzee wa kazi basi inatosha
Aisee we ni bingwa kwa kubisha Africa Mashariki na kati na nchi za maziwa makuu....Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!
Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?
You people what are you smoking?
Nyumba au apartment?
AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!
Chezea Tutsi ni high maintenance women...
AY na jumba United States of America wapi na wapi?
Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?
Kiki za kizamani sana hizi!
Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
Hiyo ya 1.5 billion imetoka wapi?Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!
Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?
You people what are you smoking?
Rufaa mbona ilikataliwa ikatupiliwa mbali na mahakama kuu hata habari humu nimeweka link ililetwa, na nimeweka link ya another source.Garnishee order baada ya rufaa? Je walishinda rufaa? Na je tigo walikuwa hawataki kulipa mpaka wakaomba hiyo garnishee order?
Anafanya collabo na Mr FlavorSasa hivi ni rahisi mbona Ommy anashindwa kufanya hiyo Colabo.
Kijiwe cha kahawa lazima yawepo hayaSijui ni kutoelewa au ni makusudi, hakuna sehemu rahisi kununua nyumba kama US! It’s not that big of a deal!