AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Huwezi kumpinga mtu kama humjui hapa kuna mawili la kwanza mnajuana kabisaaa na Ay na kuna kitu alikufanyia ndo maana humsahau katika akili yako na kama humjui kabisaa utakuwa ni mwehu mkubwa sana kumpinga wakati humjui so katika haya kuna moja lazima unalo kwake
Huyu jamaa toka sijui post ya #05 ndo ameonyesha chuki kubwa kuliko member yeyote hapa hadi wadau huko juu wamemletea link za kesi aliyosema AY na Mwana FA walishindwa kesi ila bado hajaridhika nadhani kama unavyohisi ana personal issue na AY maana povu linavyomtoka sio la kawaida kwa mtoto wa kiume.
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Ni wazi humjui AY, hivi unajua kwanini anaitwa mzee wa commercial? ?... Au niulize umeanza kufuatilia huu mziki mwaka gani?? AY lying? Why would he anyways?
 
Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!

Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?

You people what are you smoking?
Acha upoyoyo we dogo kwni alikwambia alikua anategemea za kulipwa na Tigo pekee?? Ww hufai aisee mwanaume gani wewe utakosa hata mke
 
UONGO!

These extra ordinary claims you are putting forward here need extra ordinary proofs,tupe proof washalipwa!

Weka copy ya hukumu hapa,hukumu sio kitu cha siri ni public document,attach hapa mzozo uishe!
Chaaaaaa wewe kijana mbona povu hivi alikuibia nini?
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!


Mkubwa unaweza kuwa sahihi baadhi ya maeneo licha ya kutumia maneno makali.

Lakini kusema AY kasoma Iyunga Tech O'Level sio kweli, hiyo inaniondolea kusadiki mambo mengine uliyoyaandika kuhusu AY.

Lakini pia si sahihi kufikiri mziki pekee ndio chanzo chake cha pesa. Naweza kubaliana na wewe kupinga kulipwa M150 kwa onyesho moja japo sina takwimu.

Shukran
 
Wewe huna unachojua fatilia AY,FA na Msando nwameshalipwa, hiyo rufani ilitupwa na AY,Fa Wakafungua case ya kutaka maafisa wa tigo na mali zao zikamatwe.... wameshalipwa ndio maana wanaitwa mabilionea..
Nimegundua una chuki na AY maana hiyo nyumba unayosema ana tafutia kiki hakuisema leo na watu hawajaijua leo fatilia alipost imeshapita miezi zaidi ya sita kama si mitano
Ndo wachawi wenyewe hawa wenye kaliba kama ya huyu jamaa
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Unaongea mashudu gani kijana
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Ha ha ha, alikuchukulia demu Nini?
 
Mimi simfahamu Ay zaidi ya kumuona kwenye tv. Ila kazi zake naziona alikua na project pia ya mkasi eatv so najua ni bness man ukiachana na mziki. Na siwezi kukomaza misuli ya kukashfu au kukanusha maendeleo yake ikiwa hujui hata bank ac yake ina sh ngapi. Inasikitisha sana mwanaume tena mwanaume mimi sijazoea jamani kuona kama huyo mdau hapo juu mpk anatukana kisa tuu mwenzie kuonesha mafanikio yake. Yani anaongea pumba pumba sijawi kuona. Sasa mafanikio yake na kusoma Iyunga kunahusiana vipi au kingereza chake kinakusaidia nini, ww unaejua kingereza umefikia wapi. Acha unaa mpe mtu credits zake na hata kama hajanunua nyumba atleast anatamka kwa kinywa chake na maneno huumba ipo siku atanunua. Kaa hapo na roho yako mbaya Wyatt Mathewson
 
hilo jamaaa ni chawi, sio kwa roho hiyo
Mimi simfahamu Ay zaidi ya kumuona kwenye tv. Ila kazi zake naziona alikua na project pia ya mkasi eatv so najua ni bness man ukiachana na mziki. Na siwezi kukomaza misuli ya kukashfu au kukanusha maendeleo yake ikiwa hujui hata bank ac yake ina sh ngapi. Inasikitisha sana mwanaume tena mwanaume mimi sijazoea jamani kuona kama huyo mdau hapo juu mpk anatukana kisa tuu mwenzie kuonesha mafanikio yake. Yani anaongea pumba pumba sijawi kuona. Sasa mafanikio yake na kusoma Iyunga kunahusiana vipi au kingereza chake kinakusaidia nini, ww unaejua kingereza umefikia wapi. Acha unaa mpe mtu credits zake na hata kama hajanunua nyumba atleast anatamka kwa kinywa chake na maneno huumba ipo siku atanunua. Kaa hapo na roho yako mbaya Wyatt Mathewson
 
Back
Top Bottom