AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Lakini AY ni kati ya wasanii wa kwanza kufanya mziki na wasanii wakubwa wa nje,we huoni somehow kuna connection , kufanya mziki na Sean Kingston clouds walisaidia?hivi mkasi haikuwa yake na ilikuwa haidhaminiwi? ,kimziki inawezekana hana mafanikio makubwa lakini je nje ya mziki hana biashara?
Kilichonifanya nikasirike ni UONGO!

Uongo offends people...And Im offended by these horrendous stupidity!
 
Sijamchukia as a human being..

Nimechukia UONGO unaotoka kwake kwa ku-propagate LIES for stupid reasons like these!

Nikimchukia AY kuna mahali nalipwa?Is there any incentive I get?Nothing

This talk is nonsense!
Kwa nilivyofatilia kuanzia page ya kwanza mpaka hii jinsi unavyojibu, no doubt unalipwa kwa kumchukia mshikaji na kama hulipwi basi unastahili a medal kwa kua volunteer mzuri na mahiri.... lol

Nilijua unamfahamu A to Z kumbe hata wewe hujui ishu anazofanya ila unatamani kuzijua mpaka akamiliki mjengo, inaweza isiwe kama hiyo pichan ila sio big issue kua na nyumba LA bhana.
 
Mkuu,nyumba wanasema kanunua Los Angeles United State of America na sio Oklahoma au Oregon huko madongo kuinama!

Nataka tuelewane hapa!

Uongo ni kitu kibaya sana....

Kama mpo true sana,toeni address ya hiyo property tuwaletee ownership yake hapa tumalize utata!

Kiki za kisenge sana hizi,na zinamfanya AY aonekana hana tofauti na Hamorapa hata chembe!
Naona umewawashia full lights..hahahaaa!

Mimi mtazamaji maana huko yuesiei nakuonaga kwenye movie tu.
 
Ndugu kama ulikua hujui Ay ni broker wa wasanii wote wa kimataifa wanaukuja bongo na afrika mashariki, hata huyo mond bado anatumia mtandao wa Ay kufikia malengo yake.
Zamani sasa hivi ni DMK Global ndie anayewaunganisha wasanii wa kibongo,ila Mond anapata show mpaka kwa mapromota wa Nigeria,sababu Meneja wa Wizkid ,bwana Sunday ndiye anaye meneji kazi za Diamond West Africa.
 
Kwa nilivyofatilia kuanzia page ya kwanza mpaka hii jinsi unavyojibu, no doubt unalipwa kwa kumchukia mshikaji na kama hulipwi basi unastahili a medal kwa kua volunteer mzuri na mahiri.... lol

Nilijua unamfahamu A to Z kumbe hata wewe hujui ishu anazofanya ila unatamani kuzijua mpaka akamiliki mjengo, inaweza isiwe kama hiyo pichan ila sio big issue kua na nyumba LA bhana.

LA hakuna nyumba kanunua,labda kapewa....

Tangu mwanzo nawaomba mnipe just address ya hiyo nyumba mimi niwawekee mmiliki wake hapa tuona kama ni AY!

Makampuni yake mtoe majina tu mengine tuachieni tutatoa data hapa...ila kimya mpaka sasa!

Mnaishia kutoa rhetorics tu!

Msifanye watu watoto bwana,mna-insult our inteligence na we are offended!
 
Yaan sikuwahi kujua kama haters wana exist untill nilipousoma huu uzi, duuh jamaa ana mchukia mtu for no reason, maana muhusika kasema vile wewe unampinga weka basi ukweli wako huweki umekazana tu muongo muongo,

Nawaza mpaka ikifika 2025 tutakavyokua tunapishana na watu wanaongea peke yao na kurusha ngumi barabarani.

Maisha yamekua magumu watu wamewehuka, unaweza msalimia mtu akakutukana🤣🤣🤣🤣

Sijawahi ona mwanaume ana chuki kama huyu sijawahi ona duuh!!
 
LA hakuna nyumba kanunua,labda kapewa....

Tangu mwanzo nawaomba mnipe just address ya hiyo nyumba mimi niwawekee mmiliki wake hapa tuona kama ni AY!

Makampuni yake mtoe majina tu mengine tuachieni tutatoa data hapa...ila kimya mpaka sasa!

Mnaishia kutoa rhetorics tu!

Msifanye watu watoto bwana,mna-insult our inteligence na we are offended!
Mkuuu wewe ni mshindi katika uzi huu naona umeujaza hahahaha duuu kuna kitu AY kakufanyia si bure hahahaha wewe ni bingwa wa ubishi kwenye nchi zilizo chini ya jangwa la sahara hahaha
 
Lakini AY ni kati ya wasanii wa kwanza kufanya mziki na wasanii wakubwa wa nje,we huoni somehow kuna connection , kufanya mziki na Sean Kingston clouds walisaidia?hivi mkasi haikuwa yake na ilikuwa haidhaminiwi? ,kimziki inawezekana hana mafanikio makubwa lakini je nje ya mziki hana biashara?


Mkuu taja hao wasanii....then kwenye column ingine taja wasanii wa Diamond then utajua maharage ni mboga na sio zao la Biashara!

Ndio utaona heavyweight ni nani!

AY amepita pita tu...na kua wa kwanza sio eti ndio umefanikiwa!

Hebu acheni kutuona vilaza bwana....This is too much now!
 
Maisha yamekua magumu watu wamewehuka, unaweza msalimia mtu akakutukana🤣🤣🤣🤣

Sijawahi ona mwanaume ana chuki kama huyu sijawahi ona duuh!!


Chuki wapiiiiii.....

Uongo ukichambuliwa mnasema chuki...Hivi kwanini Africa tuko hovyo hivi?

Culture ya uongo na unafiki mmerithi wapi aisee?
 
Maisha yamekua magumu watu wamewehuka, unaweza msalimia mtu akakutukana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijawahi ona mwanaume ana chuki kama huyu sijawahi ona duuh!!
Hahahaha anakwambia "don't insult our intelligence" yaani anatamani amjue AY ila ndio hawezi sababu sio mtu wa misifa.
 
Mimi kutokua na kitu sio haki ya wewe au AY kudanganya!

Majitu maongo ni bure sana!
Mkuu unaweza thibitisha ikiwa AY kadanganya? Unajua biashara zake nyingine anazofanya nje ya music industry?
Kumiliki nyumba US isikupe woga, zipo nyumba za bei nafuu ambazo hata wewe mbongo ukiwa na biashara ya kati waweza miliki, usiishie tu kutoa maneno ya kejeli bila uthibitisho.
 
Lakini AY ni kati ya wasanii wa kwanza kufanya mziki na wasanii wakubwa wa nje,we huoni somehow kuna connection , kufanya mziki na Sean Kingston clouds walisaidia?hivi mkasi haikuwa yake na ilikuwa haidhaminiwi? ,kimziki inawezekana hana mafanikio makubwa lakini je nje ya mziki hana biashara?
Jamaa ni pathetic hater, kabla ya yote alitakiwa afahamu kuwa AY ni miongoni mwa wasanii wachache ambao walifanikiwa kupata exposure kubwa kimataifa kupitia mziki! AY amekuwa na connections nyingi EA mapema sana wakati ameanza ku peak kimuziki na ameweza kupata connections nyingi za mamtoni iwe kwa msaada wa managers tu ama juhudi binafsi but jamaa amepata exposure kubwa kuwahi kutokea kwa msanii yeyote wa bongo flavour hapa EA! Mr Nice nae alianza vizuri ila aliishia kupuyanga maana hakuwa na business strategies he lost the wand! Ila kwa EA Jose Chameleone ndio alikuwa leader kabla hata ya AY! You can not prove how this benefited him but sote tunajua umuhimu wa connections kwenye support ya biashara na maisha kwa ujumla!

Kingine kinachoonekana dhahiri Cycle ya watu wanaomzunguka AY pia sio wapuuzi wapuuzi na ukijumlisha na maarifa aliyonanyo kibiashara jamaa ameweza fanya investments nyingi tu, zingine tunaziona na zingine tusizoziona ila ameanza piga mkwanja mrefu tu maybe about 9 years ago, sasa ufanye biashara za maana muda wote huo ukose hata B1 kweli? Shida ni kwamba jamaa sio mpiga makelele ndio maana hata wengi hatuwezi elewa anaingizaje hela, ila sura ya pesa inaonekana tu! Pengine ana good financial advisors who knows! Mwisho wa siku mi naamini jamaa ana hela kweli si mboyoyo kwahio wanaochukia waendelee na chuki tu!
 
Labda apartment!.... Asitufanye watoto!!
Kwa hyo apartment ndio mmeona ni bei rahisi kuliko nyumba? Wabongo mnachekesha kweli, kuna apartments kibao hapa dar bei yake ni zaidi mara 3 ya kumiliki nyumba...
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Ha ha ha ha jamaa umechukia kishenzi aloo
 
Mkuu unaweza thibitisha ikiwa AY kadanganya? Unajua biashara zake nyingine anazofanya nje ya music industry?
Kumiliki nyumba US isikupe woga, zipo nyumba za bei nafuu ambazo hata wewe mbongo ukiwa na biashara ya kati waweza miliki, usiishie tu kutoa maneno ya kejeli bila uthibitisho.

Mkuu,ni rahisi sana mimi kuamka asubuhi na kukuna mapumbu yangu sebuleni kwangu na kuanza kuchapa JF eti ninamiliki MELI au MAKAMPUNI 60...

Then kudhibitisha kua ninazo ndio mziki!

Ili kuua mzozo,jamani naomba walao mnitajie majina tu ya hizo kampuni zake,na address ya hiyo nyumba hapo LA!

Just Google norminal price of a house in LA,itakuja ni dola 600,000....Sasa tukupiga hesabu za possible earning scenerios za AY kufikia disposable income ya namna hiyo zinakataa kabisa!

Nisaidieni,orodhesheni hapa,mimi nitafanya uchunguzi binafsi then tutaweka majibu hapa kuondoa utata uliopo!

Ila hii kitu ya kutufanya sisi watoto wadogo muache!
 
Back
Top Bottom