Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Lakini AY ni kati ya wasanii wa kwanza kufanya mziki na wasanii wakubwa wa nje,we huoni somehow kuna connection , kufanya mziki na Sean Kingston clouds walisaidia?hivi mkasi haikuwa yake na ilikuwa haidhaminiwi? ,kimziki inawezekana hana mafanikio makubwa lakini je nje ya mziki hana biashara?
Kilichonifanya nikasirike ni UONGO!
Uongo offends people...And Im offended by these horrendous stupidity!