Best analysis ever!Misingi bora, malengo mazuri, kujituma, kujua kinachotakiwa na kukitekeleza, kuwa mkweli na uwezo wako, kuomba kusaidiwa pale unapoona umeshindwa, kuwa na utashi, kuheshimu sheria za nchi, kutaka kuchangia katika uchumi, kujua kuishi na watu vizuri, kujiendeleza kielimu,na kuwa na pua ya kunusa kuwa katika sehemu inayotakiwa katika wakati unaotakiwa.
Nyie ndo hampendagi kumpa mtu credits zake mpk mlete figisu figisu. Kuna mtu aliekuuliza nani mwenye helaKuna watu hii ingekua habari yao ya mwaka mzima.
Anyway, Mwana FA ana hela kuliko msanii yeyote Tz. Hata AY aliyeenda kukaa mbele
Kishule shule hivyo hivyo....Hapo ndiyopenye tatizo, na hivi Kangi Lugola anataka mkataba wa kazi ...
Watu wengi wamekuja kishuleshule wakaunganisha baada ya kumaliza shule.
Halafu kuna machizi wenyewe wanajua hata ukitaka kupita kwa miguu Manzese kwa mfuga mbwa, saa tisa usiku, code zao vua shati na viatu, shika mkononi, katiza, wahuni wakikuona wanajua huyu mwanetu anajua code za hapa msimguse.Hapo nimekupata vyema ...ni sawa sawa uambiwe ukienda kuishi dar iepuke tandale, manzese, na kigogo kwamba kule kuna robbery etc!
Kiranga huwa anajibu vizuri kuliko mabeba box yote yaliyoko huko! Stick to him if u want to get best advice!Nyani ngabu hebu nipe connection huyu kiranga ananizungusha....nipo serious asee
Bado hujatoka Botswana?Mimi hadi niishi South Africa piga ua galagaza
Haa haa haa....mama cajojoNyie ndo hampendagi kumpa mtu credits zake mpk mlete figisu figisu. Kuna mtu aliekuuliza nani mwenye hela
You are far tookind.Kiranga huwa anajibu vizuri kuliko mabeba box yote yaliyoko huko! Stick to him if u want to get best advice!
Ewaa...haaaahaaHalafu kuna machizi wenyewe wanajua hata ukitaka kupita kwa miguu Manzese kwa mfuga mbwa, saa tisa usiku, code zao vua shati na viatu, shika mkononi, katiza, wahuni wakikuona wanajua huyu mwanetu anajua code za hapa msimguse.
Lia basi maana ungeweza kupita wima na ukabaki na beliefs zakoNyie ndo hampendagi kumpa mtu credits zake mpk mlete figisu figisu. Kuna mtu aliekuuliza nani mwenye hela
Mi nabeba boksi UPS mkuu. Ni package handler.
Dah,nilisahau, lazima upitie kwa rais wa wabeba box Nyani Ngabu.
Nimetoka huko leo miseleBado hujatoka Botswana?
Misele wapi!?Nimetoka huko leo misele
UPS umenikumbusha mbali sana .... walinileteaga perfomance car parts hao jamaa... 1jz-gte engine... borge warner turbo.. FMIC...defi gauges...HKS bov na coilovers..I&M cold air intake na mazaga mengi sana ... after instalation gari ilikuwa inapush 385 BHP with top speed 280kph alafu ndan ya miezi 6 ikapiga mzingq beyond repair nilivyoona hyo UPS imenikumbusha hasara kubwa kuwahi kuingia πππ
Chama chochote kitakachonikubali kichaa mimi kuwa rais wake,nitakikataa mara moja, kwa sababu kitakuwa ni chama cha vichaa wakubwa kuliko mimi.Ahahaaaa.
Mimi ntamlostisha.
Kwanza wala sipo huko USA.
Huwa nasema tu.
Hicho cheo wewe ndo unakistahili.
Hawajapewa hiyo hela ..Case imekuwa settled extra judicialIle kesi alishinda AY&FA maana nyimbo zao zilitumiwa bila idhini ya wasanii hao.
So sio hela za FA peke yake.
hahah... ungezi handle ww zingekuwa na baraka bwana ππ maana zile zilikuwa mkosi mtupu nilifanya modificatios worth karibia 4000$ alafu ndan ya miezi 6 mzinga nyang'anyang'aDuh!
Basi hapo UPS mazee mi ndo napiga mzigo.
Hata sasa hivi hapa nipo kwenye conveyor belt nasubiria viboksi vishushwe toka kwenye gari.
Yawezekana kabisa hata hizo package zako nilizi handle mimi.
USA baby.
hahah... ungezi handle ww zingekuwa na baraka bwana ππ maana zile zilikuwa mkosi mtupu nilifanya modificatios worth karibia 4000$ alafu ndan ya miezi 6 mzinga nyang'anyang'a
Karibu Migori mura tunakomaa hapa, kuna totozi za kijaluo.Aisee Napenda Sana Migori.