Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

MNADANGANYANA

Kama kufa kwa muislamu katika jihad ni fahari mbona kiongozi wa Hamas alikimbilia Qatar? Si angekuwa mstari wa mbele vitani afe aende huko kweny ufahari.

STUPID!
Ktk vita unakimbia ili upate muda wa kumua adui yako. Akikuwahi wewe ktk uislam huyo muislam amefaulu..ukimuua yeye pia ni unapata thawabu nyingi. Ktk uislam ktk kupigania haki yako na dini yako hupotezi kitu tofauti na wewe KAFIRI. wewe lazima uogope kwa sababu hujui adhabu gani umeandaliwa ukifa nje ya uislam
 
ARE YOU STUPID?

Hao makafiri wanaogopa ni akina nani? Ushawahi kuona wapi kiongozi au mfalme anaacha jeshi lake likapigane vita yeye akakimbilia mafichoni, Haniyeh ambae akifa ana dhawabu tele huko kwa allah alikimbilia Qatar, Netanyahu kafiri kabaki nchini kwake kama inavyopaswa kwa kiongozi japokuwa kazungukwa na maadui kila kona alaf unataka kusema makafiri waoga, mnafiki ni huyo aliyekimbilia Qatar kweny 5 star hotel wakati wanamgambo wake wakiuliwa na makafiri.
 
Halafu unaandika maelezo.marefu utumbo mtupu. Wapigani ulombozi wakiishi wapi
 
NATO, USA, UK na silaha zote za dunia kapewa Isreal wakati Palestina wamezuia kupewa hata kisu mwaka wa 29 sasa. Lkn tunaona majeneza yanarudishwa Telaviv kwa mamia. Huoni maajabu hayo wewe mwehu?
 
Upuuzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…