Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja

Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja

Israel huwa wanapigana kimkakati hapo kifuatacho ayatollah ajiandae
 
Ki[pigo na kichapo kwa israel kitaendelea kama kawaida, mdogo mdogo mpaka aiteme ardhi ya Wapalestina.

Ushauri wangu wadai uhuru waanze na mizizi mingine ya fitina, Egypt, Jordan, Saidi Arabia, UAE, Kuwait, Bahrain.

Bila hao hakuna nchi inayoitwa israel.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo

Soma taarifa kamili hapo chini:

Adonai walinde Watoto wako

LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024

Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing

Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.

The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Taratibu Netanyau ataiingiza Marekani vitani na Iran.
 
Mimi ni muumini wa dini ya Kikristo. Ila kamwe siyaungi mkono mataifa ya uovu duniani yakiwemo ya Marekani, Israel, na vibaraka wao.
Ila unaunga mkono ugaidi wa Hamas, Hezbollah, Houth etc
 
Walidhani ni mchezo.Ukweli sasa umedhihiri.
Hata awe na silaha gani Israel amelikoroga na sasa atalinywa.Hakuna anayemuogopa na hana ubavu wa kupambana na maadui lukuki wanaomzunguka.
Wewe umezaliwa leo,unafahamu vita ya 1967 Israel alipigana na mataifa mangapi ya Kiarabu ikiwemo Egypt?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo

Soma taarifa kamili hapo chini:

Adonai walinde Watoto wako

LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024

Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing

Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.

The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Hii sio habari mpya juzi juzi tu hapa SI alituma viroba vya makombora kwenda Israel viliishia wapi!!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo

Soma taarifa kamili hapo chini:

Adonai walinde Watoto wako

LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024

Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing

Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.

The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Hapo kinachosubiliwa ni vitendo tu. Kauli za huyo mzee huwazinatekelezwa. Netanyau anakwenda kupata aibu nyingine
 
Nasikia kuna mganga toka ujiji Katimba ukanda wa ghaza na kuanza kupiga manyanga akimloga Netanyahu vibuyu vimlipukia
 
Back
Top Bottom