Ayatollah Khamenei kuongoza Sala ya ijumaa Leo na kutoa hutuba nzito



Wazee kwa miwasho, si muda ataungana na Nasilallah.
 
Sio raisi huu muda ni wa kuishi kwa maandaki km 100 kwenda chini,vichwa vinatafutwa kwa hudi na uvumba na hatutumii simu ni mwendo wa barua tu
Na hata huko chinibya mahandaki yuko na wayahud wanao subiri tu order ya kumuondoa. Kwakifupi hayupo salama
 
Ndani Ya Huo Msikiti Leo Utakuta Mapandikizi Ya Israel, US, UK Tele
Anaweza Asimeze Mate Yakawa Machungu
Huyu ndiye mwanaume hasa anatangaza kabisa atakuwa msikiti upi na sio kama panya wengine kama kina Netapaka wanaishi kama nguchiro.

Hao mapandikizi wakijulikana ni mwendo wa kutia vitanzi tu Iran hana mzaha na mashoga.

Mashushushu kibao wa Israel wamepigwa kitanzi pale Iran baada ya kugundulika wanafanya kazi ya ushushushu.
 
Na hata huko chinibya mahandaki yuko na wayahud wanao subiri tu order ya kumuondoa. Kwakifupi hayupo salama
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wayahudi weusi buana. Hivi kama Mazayuni yangekuwa na uwezo wa kumuua Ali Khamenei unadhani hiyo fursa wangeichezea?

Ayatollah ndiye anayeamrisha Israel ashambuliwe halafu unazungumza mambo mnayopigana kamba na wachungaji wenu uchwara.
 
Ni swala la Muda tu, ataliwa MTU Kichwa.Nahisi tarehe 7 October litakamilishawa hili.
 
AyattoΓΊllah hawezi kuuwawa bila kibari cha Marekani.

Marekani wana spare uhai wa Ayattoullah kwa malengo yao ya kisiasa.
 
Ubabe sio kuuwa viongozi kama ndio tungeona mussa na Ukraine vita ni sayansi nani yupo juu tutamuona akimbutua mwenzie😭😭 sio unamvizia adui yako kalala unampiga jiwe au boom afu majinga mazezeta wanakusifia wkt njia iyo ni ya mnyonge asie na mguvu kupigana waziwazi ukapewa jina zuli la UGAIDI mpaka sasa Iran ndio super powerful. atumii ugaid kukupiga vitoto ndio ukikibutua kinakimbilia maweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kazi kwenu Israel aka jehova tumtazame kuwa ni katoto mbele y Iran atatuambiya mwenyewe kwa jinsi atajibu.tuupe muda heshima😟😟
 
Kitendo cha mwanaume kusimama na kuhutubia DUNIA na uzi umekimbiwa na mayahudi wa mchamba wima.
 
AyattoΓΊllah hawezi kuuwawa bila kibari cha Marekani.

Marekani wana spare uhai wa Ayattoullah kwa malengo yao ya kisiasa.
Ndiyo yalikuwa mahubiri ya Gwajima jumapili iliyopita?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Maana jamaa kwa fiksi tu kwa waumini wake hajambo na mnavyomuamini sasa.πŸ˜‚πŸ˜‚

Iran is there to stay. Huyu ndiye mwanaume halisi wa Mashariki ya Kati.
 
Wakati anatoa hotuba yake leo ya Ijumaa, Ayatollah ilionekana pembeni yake kuna bunduki.

Iliashiria nini kwa kiongozi huyu mwenye miaka zaidi ya 80?? Lengo lilikuwa nini?? Kuna wajuzi wa kijasusi humu watatujuza ! Karibuni!


Ali Khamenei standing by a rifle :Reuters



Rifle in his hand, Iran's Supreme Leader warns Israel 'will not last long'​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…