Ayatollah Khamenei: Tuna ushahidi kuwa Marekani, Israel na Uturuki walihusika katika kumuondoa Assad madarakani

Sasa wenyewe si walikua pale kumtetea ilikuwaje wakasepa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sasa wenyewe si walikua pale kumtetea ilikuwaje wakasepa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ilikuweje wakashindwa?
 
Shehe uko msikiti gani hapo nije? Njoo kwa shehe tumbo hapa
 
Israel hawa jamaa ni hatari balaa. Walichokuwa wanakitaka hiki hapa. Tayari wamejitanua. Tayari wamemega ardhi ya ahadi.
 

Attachments

  • IMG-20241211-WA0097.jpg
    53.5 KB · Views: 3
Wasyria wameshukuru Sana. Maana watu waliteswa Sana. Wamefanya Jambo jema.
Mkuu niliona clip moja watu walikuwa wamefungwa vitambaa usoni wanaambiwa watembee bila kuona wanakoelekea, kumbe mbele walikuwa wamechimba shimo kubwa kama choo, pana. Hivyo kwa sababu hawaoni, wanatumbukia ndani kwa kishindo halafu kuna watu wako kando wanawamalizia kwa risasi. Wakishaua wote wanafukia. Huyu Assad alikuwa katili sana. Hongera kwa Marekani na washirika wake kwa kumlia timing na kumfurumisha.
 
Muhimu nae Ayotollah aratibu mpango vizuri afanye mpango aipindue Marekani,Israel na taifa jirani na Syria. Asaidiane na dictetor Putin
Hahahaha ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Ayatollah nae ataingia kwenye 18
 
Waupeleke Polisi huo ushahidi wao
 
Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท na Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ si ni wababe basi wamrudishe Ayatollah madarakani haha ๐Ÿ˜„ ๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ