ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Laki6... tena wanasayansi About mi 600.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki6... tena wanasayansi About mi 600.
Embu andika kwa kutulia mkuu, yamkini una kitu kizuri cha kuwakilisha jukwaani ili tujifunze lakini namna ya uwasilishwaji wako imekuwa changamoto.Wazayuni wajinga sana walikubaliana ceasefire na Hezb wakajifanya wajanja wakabaki Lebanon kusini wanarandaranda na kushambulia hovyo hovyo huku mwenzake kafuata masharti, sasa hezb kanwambia hamtujui kategesha mabomu baadhi ya tannel mfu na majengo wameingia tuu boom 18 pembeni wapuuzi kabisa, leo naona wameshika virago wenyewe ndio dawa hiii
PUNGIZA HASIRA ANDIKA VIZURI UELEWEKE VIPI SINDANO INAWAINGIA AU TUONGEZEEEWazayuni wajinga sana walikubaliana ceasefire na Hezb wakajifanya wajanja wakabaki Lebanon kusini wanarandaranda na kushambulia hovyo hovyo huku mwenzake kafuata masharti, sasa hezb kanwambia hamtujui kategesha mabomu baadhi ya tannel mfu na majengo wameingia tuu boom 18 pembeni wapuuzi kabisa, leo naona wameshika virago wenyewe ndio dawa hiii
Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amedai kwamba Tehran inayo ushahidi unaoonyesha kuwa Marekani na Israel walipanga njama ya kuuangusha utawala wa Rais Bashar al-Assad wa Syria
Kauli hii ya Khamenei inakuja siku chache baada ya Rais Bashar al-Assad wa Syria kukimbilia Moscow kufuatia Damascus kukamatwa na vikosi vya upinzani vinavyoongozwa na Hayat Tahrir al-Sham (HTS) na kiongozi wake Abu Mohammad al-Jawlani.
"Hakuna shaka kwamba kilichotokea Syria ni matokeo ya mpango wa pamoja wa Wamarekani na Wazayuni," alisema Khamenei
Khamenei alidai kuwa ingawa nchi jirani ya Uturuki imekuwa na mchango dhahiri katika hali ya Syria, jukumu kuu liko kwa mataifa ya Magharibi.
"Ndiyo, nchi jirani ya Syria imehusika sana katika jambo hili lakini mchochezi mkuu na chumba cha amri kuu viko Marekani na utawala wa Kizayuni," alisema.
==================
Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei claimed Tehran possesses evidence that the United States and Israel orchestrated the collapse of Syria's Assad regime, according to Iranian state news agency IRNA.
An opposition fighter steps on a broken bust of the late Syrian President Hafez Assad in Damascus, Syria, Sunday Dec. 8, 2024 (AP /Hussein Malla))
The comments come just days after Syrian President Bashar al-Assad fled to Moscow following the rapid capture of Damascus by opposition forces led by Hayat Tahrir al-Sham (HTS) and its leader Abu Mohammad al-Jawlani, marking a dramatic end to the Assad family's decades-long rule over Syria.
"There should be no doubt that what happened in Syria is the result of a joint American and Zionist plan," Khamenei said, according to IRNA, in his first public comments since the fall of his longtime regional ally.
In his remarks reported by IRNA, Khamenei alleged that while a neighboring country – presumably Turkey – has played an evident role in Syria's situation, the primary responsibility lies with Western powers. "Yes, the neighboring country of Syria has played a clear role in this matter and continues to do so – this is evident to all – but the primary conspirator, the main planner, and the central command room are in the United States and the Zionist regime," he said.
The Supreme Leader further claimed to have definitive proof of these allegations, stating: "We have evidence. This evidence leaves no room for doubt." The statement marks Iran's first official response to the fall of Assad's government, which Tehran had supported militarily and financially throughout Syria's civil war.
Source: Reuters
Iran amepata hasara inamuuma sana sana sana dah billion 52usd. Kamwe hatoacha kulalama ila hakuna wa kumlipa na Israel ndie last man Stand
Khe; Ije mara ngapi mkuu? Shoka limeshawekwa shinani.Ni kweli, ila Ayatollah aache maneno mengi sasa, atie maji chap maana zamu yake yaja
Huyo anajinyima uhuru mwenyeweKwani wewe hapo kuna uhuru gani unaukosa mkuu?
Sijakuelewa embu soma ulichoandika Kisha andika tenaWa Syria wamefurahi? Ijumaa siku ya kuchinja imeandaliwa na hao jamaa watachinjwa wa Syria kibao kama ambavyo baadhi wameuliwa tena wanasayansi About mi 600. Kiukweli walipiga maehesabu hovyo Hata mabadiliko sio kwa namna hio Syria inatakiwa iongozwe na wasyria wenyewe
Huo ndio ukweli, sasa sijajua kama na yeye anazo evidences za kumhusu na kufurushwa kwake hapo baadae. Maana kituo kinachofuata ni yeye.Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amedai kwamba Tehran inayo ushahidi unaoonyesha kuwa Marekani na Israel walipanga njama ya kuuangusha utawala wa Rais Bashar al-Assad wa Syria
Kauli hii ya Khamenei inakuja siku chache baada ya Rais Bashar al-Assad wa Syria kukimbilia Moscow kufuatia Damascus kukamatwa na vikosi vya upinzani vinavyoongozwa na Hayat Tahrir al-Sham (HTS) na kiongozi wake Abu Mohammad al-Jawlani.
"Hakuna shaka kwamba kilichotokea Syria ni matokeo ya mpango wa pamoja wa Wamarekani na Wazayuni," alisema Khamenei
Khamenei alidai kuwa ingawa nchi jirani ya Uturuki imekuwa na mchango dhahiri katika hali ya Syria, jukumu kuu liko kwa mataifa ya Magharibi.
"Ndiyo, nchi jirani ya Syria imehusika sana katika jambo hili lakini mchochezi mkuu na chumba cha amri kuu viko Marekani na utawala wa Kizayuni," alisema.
==================
Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei claimed Tehran possesses evidence that the United States and Israel orchestrated the collapse of Syria's Assad regime, according to Iranian state news agency IRNA.
An opposition fighter steps on a broken bust of the late Syrian President Hafez Assad in Damascus, Syria, Sunday Dec. 8, 2024 (AP /Hussein Malla))
The comments come just days after Syrian President Bashar al-Assad fled to Moscow following the rapid capture of Damascus by opposition forces led by Hayat Tahrir al-Sham (HTS) and its leader Abu Mohammad al-Jawlani, marking a dramatic end to the Assad family's decades-long rule over Syria.
"There should be no doubt that what happened in Syria is the result of a joint American and Zionist plan," Khamenei said, according to IRNA, in his first public comments since the fall of his longtime regional ally.
In his remarks reported by IRNA, Khamenei alleged that while a neighboring country – presumably Turkey – has played an evident role in Syria's situation, the primary responsibility lies with Western powers. "Yes, the neighboring country of Syria has played a clear role in this matter and continues to do so – this is evident to all – but the primary conspirator, the main planner, and the central command room are in the United States and the Zionist regime," he said.
The Supreme Leader further claimed to have definitive proof of these allegations, stating: "We have evidence. This evidence leaves no room for doubt." The statement marks Iran's first official response to the fall of Assad's government, which Tehran had supported militarily and financially throughout Syria's civil war.
Source: Reuters
Wasayuni nnoma,wameanzia mbali sana ukrein,gaza,lebanon kumbe tageti Syria duhWazayuni wajinga sana walikubaliana ceasefire na Hezb wakajifanya wajanja wakabaki Lebanon kusini wanarandaranda na kushambulia hovyo hovyo huku mwenzake kafuata masharti, sasa hezb kanwambia hamtujui kategesha mabomu baadhi ya tannel mfu na majengo wameingia tuu boom 18 pembeni wapuuzi kabisa, leo naona wameshika virago wenyewe ndio dawa hiii
Watu wanatekwa hovyo huku serikali iliyoapa kulinda watu na mali zao ikiangalia bila kujali. Ccm wamekataa uchaguzi usifanyike Tanzania badala yake kuna uhuni tu unafanyika ili miradi tu watawale kwa nguvu hata kama watu hawawataki.Kwani wewe hapo kuna uhuru gani unaukosa mkuu?
Kila nikiangalia hii ramani nashangaa yani israel nchi ndogo lakini hapo middle east ni kiboko yao.Huo ndio ukweli, sasa sijajua kama na yeye anazo evidences za kumhusu na kufurushwa kwake hapo baadae. Maana kituo kinachofuata ni yeye.
View attachment 3174683
Story za kusadikika hiziWazayuni wajinga sana walikubaliana ceasefire na Hezb wakajifanya wajanja wakabaki Lebanon kusini wanarandaranda na kushambulia hovyo hovyo huku mwenzake kafuata masharti, sasa hezb kanwambia hamtujui kategesha mabomu baadhi ya tannel mfu na majengo wameingia tuu boom 18 pembeni wapuuzi kabisa, leo naona wameshika virago wenyewe ndio dawa hiii
Hiyo clip inauzunisha sana,haifai kuangalia mara mbili mbili😭😭Mkuu niliona clip moja watu walikuwa wamefungwa vitambaa usoni wanaambiwa watembee bila kuona wanakoelekea, kumbe mbele walikuwa wamechimba shimo kubwa kama choo, pana. Hivyo kwa sababu hawaoni, wanatumbukia ndani kwa kishindo halafu kuna watu wako kando wanawamalizia kwa risasi. Wakishaua wote wanafukia. Huyu Assad alikuwa katili sana. Hongera kwa Marekani na washirika wake kwa kumlia timing na kumfurumisha.
Six hundred I meanLaki6
Tunga na weweStory za kusadikika hizi
Wapenye mara ngapi?ni mwendelezo tu.Mabeberu Yamepenyezwa Mpaka Ndani Kabisa Uarabuni Yanafanya Maamuzi