Ayatollah Khamenei: Tuna ushahidi kuwa Marekani, Israel na Uturuki walihusika katika kumuondoa Assad madarakani

Ayatollah katokewa na Malaika Jibril kumpasha Habari za Syria
 
Wasyria wameshukuru Sana. Maana watu waliteswa Sana. Wamefanya Jambo jema.
Wewe ni Msyria?? Shida yenu hamsomi hamjui mambo mengi sana katika Dunia hii someni mjue haya masuala.
 
Kwa hiyo akifika tu anajilaza kando ya kijito cha pombe na msuli wake huku anasubiri huba kutoka "seventetu" virgins?Noma kinomanoma!
Hivi akienda huko anakuwa vile vile na madevu na uzee au Allah anamgeuza anakuwa mpya namba E? Ila wale wadada wana kazi sana sasa sijui wapo na WA huku Geita!!!! Au wote wadada niwa middle East?
 
Hivi akienda huko anakuwa vile vile na madevu na uzee au Allah anamgeuza anakuwa mpya namba E? Ila wale wadada wana kazi sana sasa sijui wapo na WA huku Geita!!!! Au wote wadada niwa middle East?
Wenyewe wana macho yenye presha.Wa Geita hawaamini hilo.
 
Nae ajiandae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…