Azam achieni chanel ya TBC Taifa watu waangalie kombe la dunia

Azam achieni chanel ya TBC Taifa watu waangalie kombe la dunia

Ajabu sana CHANEL ya TBC TAIFA ni bure kwenye kisimbuzi cha azam ajabu mda huu wameanza uchambuzi azam wameifunga hiyo CHANEL ya TBC je hii ni halali hii fungeni CHANEL zote

Hii inchi inachezewa sana
Hiyo ni biashara ya watu jomba kwani hutaki watu walipie kifurushi kuona kombe la dinia, kisa tbc inaonyesha bure
 
Hiyo ni biashara ya watu jomba kwani hutaki watu walipie kifurushi kuona kombe la dinia, kisa tbc inaonyesha bure
Tbc ni local chanel ipo bure kisheria za TCRA sio ombi, wala hisani ipo bure kisheria kwaiyo azam wao si wana ligi kuu wabaki na ligi kuu yao ya NBC waachie TBC watu wangalie kabumbu

Msigwa aje atoe ufafanuzi hapa imekuwaje yeye si msemaji wa serikali pia nape naye atuambie imekuwaje azam wanafanya mabavu
 
Mmh! TBC mbona ipo hewani na saa hii wanazungumzia izo mambo za World Cup?

Au TBC ipi unasemea Mkuu?
Mkuu ujapigiwa sm na bibi na babu kule nyumbani eti kuwa Tbc haionyeshi, maana uko tumewanumulia dish woa wanaserereka na local chanel sasa local chanel zikikata sm haizishi muite fundi muite fundi
 
Back
Top Bottom