mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Heri yako mkuu, mimi toka asubuh umeme upo, mida yao ya kuubeba ndiyo huu, mtanijuza matokeoMimi huku TMK wameshawasha nasubiri kabumbu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri yako mkuu, mimi toka asubuh umeme upo, mida yao ya kuubeba ndiyo huu, mtanijuza matokeoMimi huku TMK wameshawasha nasubiri kabumbu.
Mechi ziko 64 ..sema wanaonyesha mechi 28 tuu na sio mechi zote 28 as if mechi ziko 28 tuuWanaonyesha TBC mechi zote 28 na wanazitangaza pia,
Tanasko wenyewe wanajua leo ni ufunguzi wa Kombe la Dunia.Heri yako mkuu, mimi toka asubuh umeme upo, mida yao ya kuubeba ndiyo huu, mtanijuza matokeo
Sidhani, ngoja tuoneTanasko wenyewe wanajua leo ni ufunguzi wa Kombe la Dunia.
Lazima walegeze.
Anataka bureHiyo ni biashara ya watu jomba kwani hutaki watu walipie kifurushi kuona kombe la dinia, kisa tbc inaonyesha bure
Kama hujalipia huoni kitu... ndo mdau anachomaanishaMmh! TBC mbona ipo hewani na saa hii wanazungumzia izo mambo za World Cup?
Au TBC ipi unasemea Mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aise Azam wahuni hadi namba za customer service hazifanyi kazi
Ndio wanaonyesha zote 28 au kiswahili kigumu, basi sawa wewe upo sahihi mechi 64Mechi ziko 64 ..sema wanaonyesha mechi 28 tuu na sio mechi zote 28 as if mechi ziko 28 tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
28 sio zote mkuu,TBC 1 wanaonesha mechi zote? Wee sidhani
Nmeelewa mkuuMechi zote ni 64 siyo 28
Mechi zipo 64 jumlaWanaonyesha TBC mechi zote 28 na wanazitangaza pia,
Acha kukurupuka Tbc wapo hewaniAjabu sana CHANEL ya TBC TAIFA ni bure kwenye kisimbuzi cha azam ajabu mda huu wameanza uchambuzi azam wameifunga hiyo CHANEL ya TBC je hii ni halali hii fungeni CHANEL zote
Hii inchi inachezewa sana
Yes mkuu zipo 64Mechi zipo 64 jumla
Wapi mwenye dhamanaAjabu sana CHANEL ya TBC TAIFA ni bure kwenye kisimbuzi cha azam ajabu mda huu wameanza uchambuzi azam wameifunga hiyo CHANEL ya TBC je hii ni halali hii fungeni CHANEL zote
Hii inchi inachezewa sana
Wamekata wapi mkuu?Wameshakata umeme. Hii nchi ni mateso sana ccm kwanini mnatufanyia hivi lakini?
Wewe endelea kufuata sheria kwenye biashara za watu, we kalipia chochote tbc utaipata tu.Tbc ni local chanel ipo bure kisheria za TCRA sio ombi, wala hisani ipo bure kisheria kwaiyo azam wao si wana ligi kuu wabaki na ligi kuu yao ya NBC waachie TBC watu wangalie kabumbu
Msigwa aje atoe ufafanuzi hapa imekuwaje yeye si msemaji wa serikali pia nape naye atuambie imekuwaje azam wanafanya mabavu