Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂🎂 Dah sihami bongoKombe la Dunia ni human right kila mmoja wetu aangalie.
Al Jazeera tangu saa kumi, supersport tangu saa 11TBC uchambuzi umeshaanza tayari?
Tuonaongelea free chanel mzee bibi na babu hatujawanunulia vifurushiWako live...acha upotoshaji
Biashara hiyoAjabu sana CHANEL ya TBC TAIFA ni bure kwenye kisimbuzi cha azam ajabu mda huu wameanza uchambuzi azam wameifunga hiyo CHANEL ya TBC je hii ni halali hii fungeni CHANEL zote
Hii inchi inachezewa sana
Yule siyo mchambuzi wa mpira Bali mpiga porojo za mpira,ndiyo kawaambukiza wachambuzi wa bongo,wanafunzi wake akina kumwembe,wanapiga story tu za mpiraDr licky abdallah, mzee wa mastori
TBC 1 wanaonesha mechi zote? Wee sidhaniWanaonyesha TBC mechi zote 28 na wanazitangaza pia,
Yeah, ni mpiga stori. Mnaweza kupiga stori mpaka kesho za mpira na hachoki. Ana historia kubwa sanaYule siyo mchambuzi wa mpira Bali mpiga porojo za mpira,ndiyo kawaambukiza wachambuzi wa bongo,wanafunzi wake akina kumwembe,wanapiga story tu za mpira
Tangu 1990s huko mwenzako anaenda kuangalia games old Trafford,bernabeu,San Siro..kwenye mpira humuweziYeah, ni mpiga stori. Mnaweza kupiga stori mpaka kesho za mpira na hachoki. Ana historia kubwa sana
Sema na ana chai nyingi kwenye stori zakeTangu 1990s huko mwenzako anaenda kuangalia games old Trafford,bernabeu,San Siro..kwenye mpira humuwezi
Mabaharia ndo walivyoSema na ana chai nyingi kwenye stori zake