Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Wamezifungia hizo.Mnapenda vya bure sana wabongo.angalia Kenya au Rwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezifungia hizo.Mnapenda vya bure sana wabongo.angalia Kenya au Rwanda
Azam lipia kifurushi,Wamezifungia hizo.
Watu walitazame sioView attachment 2422394
![]()
Home - Silvio Gazzaniga
Silvio Gazzaniga L’artista milanese che ha disegnato e realizzato la Coppa del Mondo di calcio Silvio Gazzaniga, Milano 23 Gennaio 1921 – Milano 31 Ottobre 2016 Non è semplice raccontare in poche righe la storia professionale e umana dello scultore milanese Silvio Gazzaniga. Appassionato artista...www.silviogazzaniga.com
Kisimbuzi cha azamMmh! TBC mbona ipo hewani na saa hii wanazungumzia izo mambo za World Cup?
Au TBC ipi unasemea Mkuu?
Tbc1?Wanaonyesha TBC mechi zote 28 na wanazitangaza pia,
Nimelipia, na naangalia tbc. Ila hzo station zingine km kbc ubc wamezifungia.Azam lipia kifurushi,
Startimes ni bure bila malipo unaangalia,
Ndio mechi 64 ila TBC wanaonyesha 28, DStv ndio wanaonyesha zoteTbc1?
Mimi naangalia Kabumbu TBC1 hapa... Asante sana mleta uzi nilikuwa sijui na ilikuwa kesho nifunge Dish la Dstv lakini elfu 90 yangu imepona... [emoji23]TBC uchambuzi umeshaanza tayari?
Kwa nini ninunue Dstv wakati nina Dish la Azam na kupitia humo TBC1 wanarusha?Ina maana hauna DStv ?
Hadi kuangaika na TBC ili uone world cup?
TBC wanaonyesha mechi 28 kati ya 64, DStv wanaonyesha zote 64Mimi naangalia Kabumbu TBC1 hapa... Asante sana mleta uzi nilikuwa sijui na ilikuwa kesho nifunge Dish la Dstv lakini elfu 90 yangu imepona... [emoji23]
Umelipia?Ajabu sana CHANEL ya TBC TAIFA ni bure kwenye kisimbuzi cha azam ajabu mda huu wameanza uchambuzi azam wameifunga hiyo CHANEL ya TBC je hii ni halali hii fungeni CHANEL zote
Hii inchi inachezewa sana
Sasa kama unapiga porojo na watu wanakuelewa, ina maana yuko vizuri. Kwanza tukubali kwamba ndiye muasisi wa uchambuzi wa soka hapa nchini, kitu ambacho zamani hakikuwepo. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Yule siyo mchambuzi wa mpira Bali mpiga porojo za mpira,ndiyo kawaambukiza wachambuzi wa bongo,wanafunzi wake akina kumwembe,wanapiga story tu za mpira
Funga tu hutaona mechi Zote. Kil siku mechi moja..Mimi naangalia Kabumbu TBC1 hapa... Asante sana mleta uzi nilikuwa sijui na ilikuwa kesho nifunge Dish la Dstv lakini elfu 90 yangu imepona... [emoji23]
Ryoba kapewa mpunga😂😂😂Ajabu sana CHANEL ya TBC TAIFA ni bure kwenye kisimbuzi cha azam ajabu mda huu wameanza uchambuzi azam wameifunga hiyo CHANEL ya TBC je hii ni halali hii fungeni CHANEL zote
Hii inchi inachezewa sana
Acha uwongo tbc hailipiw ni bure tena nisheriaUjue sisi watanzania tunapenda kulalamika sana bila ya kusoma au kutafuta maarifa ya kitu fulani… ipo hivi Mpira wa sasa ni biashara kubwa sana ambayo watu wanawekeza pesa… Mwenye haki ya kuonyesha mechi zote ni DSTV ambae amelipia pesa za kutosha sasa hakuna mwingine ambae ataweza kuonyesha mechi hizi bure. TBC wana ile haki ya utaifa ambayo wanapewa kuonyesha mechi moja kila siku au nusu au robo ya mechi zote, kwa hiyo DSTV hawezi kuruhusu Azam au mtu mwingine kuonyesha bure anakuwa amefanya wizi kwenye vingamuzi vyao ( ni ngumu kunielewa kwenye ili bcz ni kisheria zaidi) ndio maana pamoja ni TBC ni bure lakini itawekwa kwenye kulipa bcz ya kuonyesha mpira katika muda wa kuonyesha World cup mechi.
Kwenye king'uzi ganFunga tu hutaona mechi Zote. Kil siku mechi moja..
Dakika ya 87 Ecuador [emoji1092] 2 Qatar [emoji1203] buyu...Heri yako mkuu, mimi toka asubuh umeme upo, mida yao ya kuubeba ndiyo huu, mtanijuza matokeo