Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kwahio blaza unataka kunyonya ikiwa kubwa,...oooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katufelisha kweli huyumwanaume anatakiwa kulalamika ugari umekuwa mlaini.kwa nini maharage yanaongezwa viungo vya mboga.yani huyu katufanya JF tukikoment tunaonekana wanawake humu
Tafuta helaWanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.
View attachment 3052605
Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Hata mimi nakuunga mkono mia kwa mia mojawapo hili la mleta madaKuna mambo hua akiandika mwanaume akili yangu hua inapata mawazo sana aiseeee....🤔
Wee jombaa nia aje?,unakulaje chakula ya watoto?...wewe saizi yako ni double kick!!!Wanajukwaa ni mimi tu au wote! Jana nilimtuma mtoto akaninulie Azam Ukwaju zile za Jero Jero na kumwmabia aniwekee kwenye fridge! Cha ajabu naona kama ujazo umepungua! Ice Lolly za Ukwaju za Azam zimepugua kipimo sio kawaida, karatasi zimejaa upepo tupu.
View attachment 3052605
Mwanzoni ulianza vizuri sana Kimfuko kilikuwa kinajaa ice lolly ila sasa hivi ni upepo tu! na mnachukua jero jero zetu!? Shukuru kwamba unajulikana na watu na umesambaza bidhaa Tanzania nzima ila kiukweli Jambo Foods ameanza kukupiga bao mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Rudisheni kipimo cha mwanzo, watu wameshtukia mchezo wenu! Biashara ni nzuri sana ya hizi Ice Cream na Ice Lolly ila msitumie nguvu ya kibiahsra kuharibu.
Mimi nachojua wanaume snacks zao ni bangi,mirungi, sigara sasa wewe unapata wapi nguvu ya kunyonya ice cream ya ukwaju 🙄
Komando kumbe nawewe unanyonyaga2 men down
mimi mwenyewe nakulaga sana izo kitu, chuma kikisimama Gomes pale kuchimba dawa, nakamata 2 natafuna
Kwa mwanaume ni sawa kunyonya ice cream 🙄Kula ukwaju it is better than to smoke Cigarettes , Weed , and Milaaa
Mwanaume rijali kulalamika ashkrimu haijaenea kuna ShidaKwa mwanaume ni sawa kunyonya ice cream 🙄