Azam, Azam Udini utawaharibia

Subirini jamani mtawafanya washindwe kutuma salamu za Kuzaliwa kwa Yesu bure. Msiwatilie nongwa hao Azam
 
wewe mwenyewe hapa unaleta udini au hujaelewa tu
 
Kuna mtu kawataja huko juu kibao, sina haya ya kurudia,
Kina Tido, Peter kahemele, Mpenja, Ivona, Walikuwepo kina Charles, kuna yule mdada wa Morning Trumpet, kuna yule mwalimu wa watoto, na wengine wengi,

Tuache uongo,
10 vs 90
 
Wengine hao hapo
 
Ni aibu unajiita jina la mtu mkubwa hivo halafu huna akili hata chembe,

Nipe official statistics za kuprove Azamtv ana wafanyakazi wengi waislam
Wewe dada angu unashinda haswa, ile ni TV ya mtu binafsi hata akiweka waislamu wote wala hainihusu
 
Wewe ndio kimbelembele ungeangalia zako Agape TV wala usingesumbua watu humu
 
...Maria Therezia
ni Kilatini ??? Elewa Una hosoma ....!!

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
...SITA ndio Wengi ??? [emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Hii reasoning yako hadi kufikia hitimisho la udini ni ya ajabu zaidi ya huyo mtangazaji.
 
Yaan ashindwe kutamka "Maria Theresa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauko serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…